Rais Samia akishiriki ufunguzi wa Mkutano wa World Innovation Summit for Health 2022, Qatar leo Oktoba 4, 2022

Rais Samia akishiriki ufunguzi wa Mkutano wa World Innovation Summit for Health 2022, Qatar leo Oktoba 4, 2022

SSH haogopi wala hana sababu ya kuogopa kundi fulani la watu. Kama ni safari ambayo ikulu na washauri wake wanaona inayo faida kwa Tanzania hakuna haja hata kidogo ya kuogopa kusafiri.
Namuona mke wa Mseven sijui wa Kagame
 
Rais Samia hajawahi fanya ziara ya hasara,ukiacha ukweli kwamba amealikwa na atahutubia ila kuna fursa pia anazisaka..

Soma hapa 👇

Screenshot_20221004-155903.png
 
Hii kituko ya karne.
Kazi ni tengua,teua,apisha kisha mbio kwa wajomba.
Sijui mawaziri wana kazi gani
 
Ukweli ni kwamba hata Ikulu yenyewe inaona aibu kutangaza ziara za nje za Rais kwa sababu zimezidi!

Hivi tunavyozungumza Samia yupo Qatar 🇶🇦 na haipo taarifa yeyote rasmi kutoka Ofisi ya Rais kuujuza Umma kuhusu safari ya nje ya Rais.

Nb: Inakuwaje Rais asafiri kisiri-siri kama siyo kuogopa aibu?!

Ieleweke, Samia wa juzi aliyekuwa U.K na Msumbiji ndiye Samia aliyepo Doha tokea jana.

View attachment 2377011
Mkuu nilimuona kwenye mikutano huko Saudia ila ghafla bin vuu nasikia Qatar
 
Hii handshake huwa anaikwepa sana huku tanzania. Ila akikutana na rangi nyeupe anawapa tu mikono. Kifupi ana mahaba sana na watu wa nje kuliko wa tanzania.

Muangalie hata uso wake akiwa anaongea au anasalimiana na viongozi wenzie wa tanzania kisha muangalie akisalimiana na viongozi wa nje.
 
Nchi iko mikononi mwa RAHABU, wakristo watanielewa!
 
Zanzibar ingeungana na Oman badala ya Tanganyika, leo Zanzibar ingekuwa na maendeleo na uchumi mzuri sana. Karume aliingia mkenge.
 
Zanzibar ingeungana na Oman badala ya Tanganyika, leo Zanzibar ingekuwa na maendeleo na uchumi mzuri sana. Karume aliingia mkenge.
Hakuna cha maendeleo wala nini.Huwezi kusema ingeendelea kwa kutegemea nchi nyingine badala ya wewe mwenyewe.pamoja na hivyo,zanzibar ndiyo mnufaika wa huu muungano uchwara uliokumbatiwa na viongozi uchwara wa ccm
 
Hakuna cha maendeleo wala nini.Huwezi kusema ingeendelea kwa kutegemea nchi nyingine badala ya wewe mwenyewe.pamoja na hivyo,zanzibar ndiyo mnufaika wa huu muungano uchwara uliokumbatiwa na viongozi uchwara wa ccm

Una wivu tu wewe. Fikiria utajiri wa mafuta ya ghuba ungekuja kuwekeza Zanzibar halafu unasema Zanzibar isingeendelea. Haiwezekani.
 
Back
Top Bottom