Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Huyu mwanamke bana...
Atatulaza njaa
Atatulaza njaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu kichwani kwako wewe uliyeamua kumchukia. Kwetu sisi wengine ni kiongozi wetu mkuu hakuna aibu yoyote.Ukweli ni kwamba hata Ikulu yenyewe inaona aibu kutangaza ziara za nje za Rais kwa sababu zimezidi!
Hivi tunavyozungumza Samia yupo Qatar 🇶🇦 na haipo taarifa yeyote rasmi kutoka Ofisi ya Rais kuujuza Umma kuhusu safari ya nje ya Rais.
Nb: Inakuwaje Rais asafiri kisiri-siri kama siyo kuogopa aibu?!
View attachment 2377011
SSH haogopi wala hana sababu ya kuogopa kundi fulani la watu. Kama ni safari ambayo ikulu na washauri wake wanaona inayo faida kwa Tanzania hakuna haja hata kidogo ya kuogopa kusafiri.Kama zina tija acha afanye
Labda ana stunt double [emoji16][emoji16][emoji16]Unaweza kudhan wapo wawili
Sorry banah jana nilimuona Saudia sikujua kama ameshaemda huko Qatar ila ndo nimeona now kwenye page ikuluNimeona picha kwenye mtandao fulani ukimwoneeha Rais samia akihutubia kwenye mkutano wa ubunifu wa Afya huko Doha Qatar...
Saa ngapi rais wetu kaenda huko? Au alihutubu kwa video?
Kama kaenda huko mbona hatuambiwi?View attachment 2376988
Nimeona picha kwenye mtandao fulani ukimwoneeha Rais samia akihutubia kwenye mkutano wa ubunifu wa Afya huko Doha Qatar...
Saa ngapi rais wetu kaenda huko? Au alihutubu kwa video?
Kama kaenda huko mbona hatuambiwi?View attachment 2376988
Vasco da Gama junior
Bruh hatari 😄Labda ana stunt double [emoji16][emoji16][emoji16]
Kiguu na njia ila watanzania wabane matumizi huyu hadi 2025 atakuwa amevunja rekodi ya duniaUkweli ni kwamba hata Ikulu yenyewe inaona aibu kutangaza ziara za nje za Rais kwa sababu zimezidi!
Hivi tunavyozungumza Samia yupo Qatar 🇶🇦 na haipo taarifa yeyote rasmi kutoka Ofisi ya Rais kuujuza Umma kuhusu safari ya nje ya Rais.
Nb: Inakuwaje Rais asafiri kisiri-siri kama siyo kuogopa aibu?!
Ieleweke, Samia wa juzi aliyekuwa U.K na Msumbiji ndiye Samia aliyepo Doha tokea jana.
View attachment 2377011
It is a collective responsibility. You have no right to question. Labda kaenda kukagua viwanja vya kombe la dunia. Kwasababu rais wa sura Leon naye alienda kuvkagua japo nchi yake haitacheza.Ukweli ni kwamba hata Ikulu yenyewe inaona aibu kutangaza ziara za nje za Rais kwa sababu zimezidi!
Hivi tunavyozungumza Samia yupo Qatar 🇶🇦 na haipo taarifa yeyote rasmi kutoka Ofisi ya Rais kuujuza Umma kuhusu safari ya nje ya Rais.
Nb: Inakuwaje Rais asafiri kisiri-siri kama siyo kuogopa aibu?!
Ieleweke, Samia wa juzi aliyekuwa U.K na Msumbiji ndiye Samia aliyepo Doha tokea jana.
View attachment 2377011
Rais ni Taasisi, haiwezi kulipua mambo.Nimeshangaa maana huyu bibi jana tu jioni sana kuna chocho alikua... sasa kwa logistics za urais zilivyo kwamba baada ya kutoka kwa ile chocho alijiandaa na kuondoka saa ngapi kuhudhuria hii halfa? Au ndo kulipua lipua mambo?
View attachment 2377031
View attachment 2377033
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki ufunguzi wa Mkutano wa World Innovation Summit for Health 2022 Multaqa Centre - Doha Qatar leo tarehe 04 Oktoba, 2022.
Kama ni siri wewe hizi picha umezitoa wapi na taarifa umetoa wapi acheni mawazo mgando mama anaimarisha diplomasiaUkweli ni kwamba hata Ikulu yenyewe inaona aibu kutangaza ziara za nje za Rais kwa sababu zimezidi!
Hivi tunavyozungumza Samia yupo Qatar 🇶🇦 na haipo taarifa yeyote rasmi kutoka Ofisi ya Rais kuujuza Umma kuhusu safari ya nje ya Rais.
Nb: Inakuwaje Rais asafiri kisiri-siri kama siyo kuogopa aibu?!
Ieleweke, Samia wa juzi aliyekuwa U.K na Msumbiji ndiye Samia aliyepo Doha tokea jana.
View attachment 2377011
Dogo acha saundiNazipenda hotel za pale Hamad international airport. Pengine madam naye anazipenda.
Kilaitu kimepangwa mzee Rais hawezi kuondoka tu kama wewe unavyoenda kwa mjomba wako na lengo la safari zake zote ni kuimarisha diplomasiaNimeshangaa maana huyu bibi jana tu jioni sana kuna chocho alikua... sasa kwa logistics za urais zilivyo kwamba baada ya kutoka kwa ile chocho alijiandaa na kuondoka saa ngapi kuhudhuria hii halfa? Au ndo kulipua lipua mambo?