Rais Samia akishiriki ufunguzi wa Mkutano wa World Innovation Summit for Health 2022, Qatar leo Oktoba 4, 2022

Rais Samia akishiriki ufunguzi wa Mkutano wa World Innovation Summit for Health 2022, Qatar leo Oktoba 4, 2022

Ukweli ni kwamba hata Ikulu yenyewe inaona aibu kutangaza ziara za nje za Rais kwa sababu zimezidi!

Hivi tunavyozungumza Samia yupo Qatar 🇶🇦 na haipo taarifa yeyote rasmi kutoka Ofisi ya Rais kuujuza Umma kuhusu safari ya nje ya Rais.

Nb: Inakuwaje Rais asafiri kisiri-siri kama siyo kuogopa aibu?!

View attachment 2377011
Aibu kichwani kwako wewe uliyeamua kumchukia. Kwetu sisi wengine ni kiongozi wetu mkuu hakuna aibu yoyote.
 
Nimeona picha kwenye mtandao fulani ukimwoneeha Rais samia akihutubia kwenye mkutano wa ubunifu wa Afya huko Doha Qatar...

Saa ngapi rais wetu kaenda huko? Au alihutubu kwa video?

Kama kaenda huko mbona hatuambiwi?View attachment 2376988
Sorry banah jana nilimuona Saudia sikujua kama ameshaemda huko Qatar ila ndo nimeona now kwenye page ikulu
 

Attachments

  • IMG-20221004-WA0053.jpg
    IMG-20221004-WA0053.jpg
    58.6 KB · Views: 2
Kwa hizi safari za Mama Kikwete cha Mtoto.
 
Ukweli ni kwamba hata Ikulu yenyewe inaona aibu kutangaza ziara za nje za Rais kwa sababu zimezidi!

Hivi tunavyozungumza Samia yupo Qatar 🇶🇦 na haipo taarifa yeyote rasmi kutoka Ofisi ya Rais kuujuza Umma kuhusu safari ya nje ya Rais.

Nb: Inakuwaje Rais asafiri kisiri-siri kama siyo kuogopa aibu?!

Ieleweke, Samia wa juzi aliyekuwa U.K na Msumbiji ndiye Samia aliyepo Doha tokea jana.

View attachment 2377011
Kiguu na njia ila watanzania wabane matumizi huyu hadi 2025 atakuwa amevunja rekodi ya dunia
 
Ukweli ni kwamba hata Ikulu yenyewe inaona aibu kutangaza ziara za nje za Rais kwa sababu zimezidi!

Hivi tunavyozungumza Samia yupo Qatar 🇶🇦 na haipo taarifa yeyote rasmi kutoka Ofisi ya Rais kuujuza Umma kuhusu safari ya nje ya Rais.

Nb: Inakuwaje Rais asafiri kisiri-siri kama siyo kuogopa aibu?!

Ieleweke, Samia wa juzi aliyekuwa U.K na Msumbiji ndiye Samia aliyepo Doha tokea jana.

View attachment 2377011
It is a collective responsibility. You have no right to question. Labda kaenda kukagua viwanja vya kombe la dunia. Kwasababu rais wa sura Leon naye alienda kuvkagua japo nchi yake haitacheza.
 
Nimeshangaa maana huyu bibi jana tu jioni sana kuna chocho alikua... sasa kwa logistics za urais zilivyo kwamba baada ya kutoka kwa ile chocho alijiandaa na kuondoka saa ngapi kuhudhuria hii halfa? Au ndo kulipua lipua mambo?
Rais ni Taasisi, haiwezi kulipua mambo.
 
Ukweli ni kwamba hata Ikulu yenyewe inaona aibu kutangaza ziara za nje za Rais kwa sababu zimezidi!

Hivi tunavyozungumza Samia yupo Qatar 🇶🇦 na haipo taarifa yeyote rasmi kutoka Ofisi ya Rais kuujuza Umma kuhusu safari ya nje ya Rais.

Nb: Inakuwaje Rais asafiri kisiri-siri kama siyo kuogopa aibu?!

Ieleweke, Samia wa juzi aliyekuwa U.K na Msumbiji ndiye Samia aliyepo Doha tokea jana.

View attachment 2377011
Kama ni siri wewe hizi picha umezitoa wapi na taarifa umetoa wapi acheni mawazo mgando mama anaimarisha diplomasia
 
Nimeshangaa maana huyu bibi jana tu jioni sana kuna chocho alikua... sasa kwa logistics za urais zilivyo kwamba baada ya kutoka kwa ile chocho alijiandaa na kuondoka saa ngapi kuhudhuria hii halfa? Au ndo kulipua lipua mambo?
Kilaitu kimepangwa mzee Rais hawezi kuondoka tu kama wewe unavyoenda kwa mjomba wako na lengo la safari zake zote ni kuimarisha diplomasia
 
Back
Top Bottom