Rais Samia akishiriki ufunguzi wa Mkutano wa World Innovation Summit for Health 2022, Qatar leo Oktoba 4, 2022

Rais Samia akishiriki ufunguzi wa Mkutano wa World Innovation Summit for Health 2022, Qatar leo Oktoba 4, 2022

Hii handshake huwa anaikwepa sana huku tanzania. Ila akikutana na rangi nyeupe anawapa tu mikono. Kifupi ana mahaba sana na watu wa nje kuliko wa tanzania.

Muangalie hata uso wake akiwa anaongea au anasalimiana na viongozi wenzie wa tanzania kisha muangalie akisalimiana na viongozi wa nje.
Utakufa nacho kijiba cha roho
 
Hii handshake huwa anaikwepa sana huku tanzania. Ila akikutana na rangi nyeupe anawapa tu mikono. Kifupi ana mahaba sana na watu wa nje kuliko wa tanzania.

Muangalie hata uso wake akiwa anaongea au anasalimiana na viongozi wenzie wa tanzania kisha muangalie akisalimiana na viongozi wa nje.
Wanga wengi bongo..ukiwapa mikono umeisha..!
 
View attachment 2377031
View attachment 2377033
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki ufunguzi wa Mkutano wa World Innovation Summit for Health 2022 Multaqa Centre - Doha Qatar leo tarehe 04 Oktoba, 2022.



Kufahamu ziara nyingine za Rais Soma Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Mar 2021


Video fupi hotuba ya Rais Samia Hassan nchini Qatar 🇶🇦



WISH an initiative founded by Qatar Foundation in 2013, WISH has become a leading global platform where scientists, entrepreneurs and policy makers meet to develop solutions to major health issues facing the world today and explore ways in which innovation can improve these issues for the future.

The mission of WISH is closely aligned to the vision of Her Highness Sheikha Moza bint Nasser, Chairperson of Qatar Foundation, and represents her ongoing commitment to raising the standards of healthcare nationally and internationally.
WISH Agenda - WISH 2022
 
Wakati anaendelea kupuyanga kwenye nchi za wenzake, asisahau bidhaa muhimu nchini kwake kama mchele, maharage, na unga wa mahindi, nk. Havikamatiki kwa sasa. Na hapa sijataja vifaa vya ujenzi na mafuta ya petrol, diesel, nk.

Nimeongea kwa nia njema kabisa. Maana wakiona vijana wake akina Lucas mwashambwa, watanuna.
Mwache 'Maza' a-'innovate', sijui ana'innovate' uchawi gani katika maswala ya afya!

Kuna wataalam wangapi kutoka kwenye hiyo wizara wanaoshiriki kwenye mkutano huo.

Msululu anaofuatana nao gharama zake zingetosha na kuzidi gharama ambazo wataalam hao wangezitumia.

Matokeo ya mkutano huo yangeleta manufaa kwa nchi kuliko uwepo wake huko.

Hata hivyo, mbona aliyosema kwenye hiyo hotuba yake hayatolewi ili tuyaone na kuyajadili sisi wananchi?
Ameyasema hayo kwenye mkutano huo kwa manufaa ya nani?
 
Back
Top Bottom