Utakufa nacho kijiba cha rohoHii handshake huwa anaikwepa sana huku tanzania. Ila akikutana na rangi nyeupe anawapa tu mikono. Kifupi ana mahaba sana na watu wa nje kuliko wa tanzania.
Muangalie hata uso wake akiwa anaongea au anasalimiana na viongozi wenzie wa tanzania kisha muangalie akisalimiana na viongozi wa nje.
Wanga wengi bongo..ukiwapa mikono umeisha..!Hii handshake huwa anaikwepa sana huku tanzania. Ila akikutana na rangi nyeupe anawapa tu mikono. Kifupi ana mahaba sana na watu wa nje kuliko wa tanzania.
Muangalie hata uso wake akiwa anaongea au anasalimiana na viongozi wenzie wa tanzania kisha muangalie akisalimiana na viongozi wa nje.
Watu mna siri sana ! kumbe mama kaondoka tena hamsemi , Khaaa !!!!View attachment 2377031
View attachment 2377033
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki ufunguzi wa Mkutano wa World Innovation Summit for Health 2022 Multaqa Centre - Doha Qatar leo tarehe 04 Oktoba, 2022.
Kufahamu ziara nyingine za Rais Soma Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Mar 2021
View attachment 2377031
View attachment 2377033
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki ufunguzi wa Mkutano wa World Innovation Summit for Health 2022 Multaqa Centre - Doha Qatar leo tarehe 04 Oktoba, 2022.
Kufahamu ziara nyingine za Rais Soma Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Mar 2021
Mwache 'Maza' a-'innovate', sijui ana'innovate' uchawi gani katika maswala ya afya!Wakati anaendelea kupuyanga kwenye nchi za wenzake, asisahau bidhaa muhimu nchini kwake kama mchele, maharage, na unga wa mahindi, nk. Havikamatiki kwa sasa. Na hapa sijataja vifaa vya ujenzi na mafuta ya petrol, diesel, nk.
Nimeongea kwa nia njema kabisa. Maana wakiona vijana wake akina Lucas mwashambwa, watanuna.
Pole sana mkuu, unaishi na majonzi kwa miaka mitatu ijayo mpaka 2025, na akituridhisha na kazi yake tunae mpaka 2030.Sema wewe.ondoa neno sisi maana mimi huyo siyo kiongozi wangu