Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizindua Jukwaa la Mfumo wa Chakula barani Afrika leo tarehe 17 Machi, 2023 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizindua Jukwaa la Mfumo wa Chakula barani Afrika leo tarehe 17 Machi, 2023 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
tusipoteze muda na chochote siku hii ya leo ila tuchape kazi na kuboresha kilimo chetu[emoji23]Mama Samia rais wetu siku ya leo amefungua mkutano mkubwa wa wadau wa kilimo ulimwenguni kote. Mkutano umefanyika Ikulu jijijini Dar es Salaam. Tunakushukuru kwa juhudi kubwa kwenye sekta ya kilimo na kwa kuonesha kwa watanzania kuwa, tusipoteze muda na chochote siku hii ya leo ila tuchape kazi na kuboresha kilimo chetu. Hongera kwa uchapa kazi wako!
Huyu bwana na Mshika remote, si wakawapiga watu kwa kuwauzia hisa za voda....
Chawa km chawa,mi nitamsifia siku akisema TZ hatutaki mashoga as Kenya na ug vinginevyo nitamuona mnafiki na muuza nchi Kwa mashogaMama Samia rais wetu siku ya leo amefungua mkutano mkubwa wa wadau wa kilimo ulimwenguni kote. Mkutano umefanyika Ikulu jijijini Dar es Salaam. Tunakushukuru kwa juhudi kubwa kwenye sekta ya kilimo na kwa kuonesha kwa watanzania kuwa, tusipoteze muda na chochote siku hii ya leo ila tuchape kazi na kuboresha kilimo chetu. Hongera kwa uchapa kazi wako!
Achana na trivial issues. Struggle to be rich like Elon musk.Chawa km chawa,mi nitamsifia siku akisema TZ hatutaki mashoga as Kenya na ug vinginevyo nitamuona mnafiki na muuza nchi Kwa mashoga
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizindua Jukwaa la Mfumo wa Chakula barani Afrika leo tarehe 17 Machi, 2023 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Muosha huoshwa, nae ikifika zam yake watamfyeka tu na itabakia story🤣tusipoteze muda na chochote siku hii ya leo ila tuchape kazi na kuboresha kilimo chetu[emoji23]
Unakumbuka kipindi kile jamaa anafanya teuzi kujaza nafasi na wakati huo ata mwili wa waziri wetu haijapumzishwa? Hii ilikuwa inaashiria hakuna kupoteza siku kwenye mambo ya uombolezaji.Muosha huoshwa, nae ikifika zam yake watamfyeka tu na itabakia story🤣
Kama ungeyajua hayo usingeandika pumba ulizoandika,yaan hufanani na huo ushenzi ulizoandika unless uko bwiiiiiAchana na trivial issues. Struggle to be rich like Elon musk.