Rais Samia akosa imani na Waziri Mashimba Ndaki

Rais Samia akosa imani na Waziri Mashimba Ndaki

Huyo rais Samia asitafute kichochoro cha kuficha udhaifu wake.. kwann yeye asishauri hizo ranch zikasimamiwa kwa mtindo anaoutaka yeye. Kwani waziri mashimba yuko Uruguaya??
 
Rais Samia Suluhu Hassan amekunuliwa na magazeti mengi ya leo akitoa onyo la mwisho kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kutokana na usimamizi mbovu wa Wizara yake na kudaiwa huku fedha nyingi zikidaiwa kupotelea kwenye mifuko ya watu.

Naungana na Rais Samia, Mashimba ameonyesha kushindwa kwa kiwango kikubwa kutekeleza majukumu yake hasa katika maeneo kadhaa ikiwemo kusababisha kushamiri kwa migogoro ya wakulima na wafugaji kurudi upya na watu kuuana mfano Kilindi, Rufiji, Kilimanjaro, Mbeya na maeneo mengine ya nchi mambo ambayo hapo nyuma yalitulia.

Mashimba ameshindwa kusimamia Rachi za Taifa na kusababisha Serikali kupoteza mapato mengi kutokana na usimamizi mbovu wa sekta hiyo.

Pia kulikuwa na utaratibu wa kuogesha mifugo kwa dawa za ruzuku jambo hilo Waziri Mashimba ameua utaratibu huo na kusasabisha wafugaji wengi kushindwa kuongesha mifugo yao na mingi kufa kwa magonjwa.

Mashimba pia ameshindwa kusimamia sekta ya uvuvi na kusababisha samaki kupungua sana Ziwa Victoria na maeneo mengine kutokana na kushamiri kwa uvuvi haramu na kusababisha uhaba wa samaki na dagaa na kwamba anadaiwa kuwa hafanyi juhudi zozote za kudhibiti uvuvi haramu kwa kisingizio kuwa Rais amesema watu wasionewe.

Mashimba amekuwa akitumia vibaya jina la Rais kwamba ndiye ameruhusu uvuvi haramu na mifugo iendelee kutoroshwa nje ya nchi jambo ambalo sio la kweli kwani hakuna kiongozi wa Serikali aliyeapishwa kulinda rasilimali za nchi akaruhusu ziharibiwe eti kwa kisingizio cha hataki watu kuonewa wakati Sheria za nchi zinataka mali hizo zilindwe.
Kwa sisi wavuvi ziwa Tanganyika kata ya kalya wilaya uvinza tunaomba tupewe engine zetu mlizo zikwapua nakurudishiwa Mali zetu alizochoma magu kimakosa tofauti nahapo nafikiria mm wavuvi wangu nafamilia zetu tuache kuhesabiwa hata kupiga kura marufuku chama changu ccm sinawakumpa kura upinzani sitaki naona tunapuuzwa sehemu alizo haribu mwendazake mmewalipa kama wakina lisu lakini sisi wavuvi masikini mnatudharau noishi kwatabu sana kwa tamaa za mwendazake
 
Na ule mradi wao mpya wa kuvisha heleni mifugo ni sehemu ya kutaka kuibia wafugaji tu.

Sasa heleni inaongeza nini kwa wafugaji na mifugo yao ?

Lile zoezi lao la chapa limeishia wapi ?

Hii wizara ifutwe tu.
Huu wako ni Upuuzi kabisa
 
Wewe jamaa tunakuona unavohangaika huu ni uzi wa tatu umeuandika leo tu,kuhusu waziri mashimba.
Tunakuuliza una nini naye?

Au kuna mtu amekutuma umchafue?
Au ww unataka ndio upewe hio nafasi?
Au wewe ni muathirika wa utendaji wake? Au kuna mahali umenyimwa fursa huko kwenye uvuvi?

Acheni chuki binafsi nyie? mashimba ni waziri makini sana,mchapa kazi ndio maana Magufuli alimuona akampa wizara na mama akamuamini

Acheni majungu,acha mtu afanye kazi yake.

We ndio huyo Mashimba mwenyewe nini au mchepuko wake? Sio kwa kupanick huko!
 
Mimi nimefanya kazi na Mashimba akiwa kama Manager wangu kwenye shirika kubwa tu na baadae akawa Director, Bampa to Bampa nimekua naye karibu miaka 7 na ninajua uwezo wake wa kwazi ni mkubwa sana, ila kama Kuna fitina za kisiasa basi Kwa sababu aliingia kwenye Siasa hatakosa wanafiki, isitoshe tunajua Kanda ya ziwa inaondolewa kiaina lakini ni watu wenye uwezo mkubwa tu wa kufanya kazi

Kama walipewa hizo nafasi kiana, ni sahihi kabisa wakiondolewa kiaina.
 
Kipindi kile akiwa Zonal Manager shirikani alikua mtu poa Sana, nimekumbuka devotion. Ila hii wizara ina lawama Sana.
😆🤣😆🤣Sio lawama tu,yani huko huko wanakufitini,unapakaziwa tuhuma kibao km huyu mleta mada hapo juu alivotumwa 😆😆 achafue hali ya hewa,kila Dakika anaanzisha uzi mpya kuhusu hii wizara.

mbona kina makamba, mwigulu hasemi lolote wapo wapo tu.
Yaani unajua kabisa kuna mpango ovu,

Hatari sana hii nchi 😆
 
Rais Samia Suluhu Hassan amenukuliwa na magazeti mengi ya leo akitoa onyo la mwisho kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kutokana na usimamizi mbovu wa Wizara yake na kudaiwa huku fedha nyingi zikidaiwa kupotelea kwenye mifuko ya watu.

Naungana na Rais Samia, Mashimba ameonyesha kushindwa kwa kiwango kikubwa kutekeleza majukumu yake hasa katika maeneo kadhaa ikiwemo kusababisha kushamiri kwa migogoro ya wakulima na wafugaji kurudi upya na watu kuuana mfano Kilindi, Rufiji, Kilimanjaro, Mbeya na maeneo mengine ya nchi mambo ambayo hapo nyuma yalitulia.

Mashimba ameshindwa kusimamia Rachi za Taifa na kusababisha Serikali kupoteza mapato mengi kutokana na usimamizi mbovu wa sekta hiyo.

Pia kulikuwa na utaratibu wa kuogesha mifugo kwa dawa za ruzuku jambo hilo Waziri Mashimba ameua utaratibu huo na kusasabisha wafugaji wengi kushindwa kuongesha mifugo yao na mingi kufa kwa magonjwa.

Mashimba pia ameshindwa kusimamia sekta ya uvuvi na kusababisha samaki kupungua sana Ziwa Victoria na maeneo mengine kutokana na kushamiri kwa uvuvi haramu na kusababisha uhaba wa samaki na dagaa na kwamba anadaiwa kuwa hafanyi juhudi zozote za kudhibiti uvuvi haramu kwa kisingizio kuwa Rais amesema watu wasionewe.

Mashimba amekuwa akitumia vibaya jina la Rais kwamba ndiye ameruhusu uvuvi haramu na mifugo iendelee kutoroshwa nje ya nchi jambo ambalo sio la kweli kwani hakuna kiongozi wa Serikali aliyeapishwa kulinda rasilimali za nchi akaruhusu ziharibiwe eti kwa kisingizio cha hataki watu kuonewa wakati Sheria za nchi zinataka mali hizo zilindwe.
Ujinga, kwani upuuzi anoufanya makamba kwenye mafuta hajauona, mbona hakuna siku alosima kupayuka .

Bei za vifurushi kupanda kiholela mbona hajamsema Nape, tena ndo kwanza kauchuna.

Inatengenezwa fitna kumtoa mtu hapa, haya amlete shamte aiongoze wizara.
 
Wasukuma wanafutwa kwa kufuatana, hapa anatafutiwa gia ya kumwondoa.


Wakimwondoa tu, naweka orodha ya wateule na waandamz wengne wasukuma wanavochomolewa
 
Huo umbea anao rais aliyesema hana imani na ww kwenye kazi. Unatukanwa na nani, ww hata kutukanwa ni kama kupewa sifa za bure.
😆😆😆nyenyenye,Wewe sio luaga mpina kweli?kwani akina makamba,mwigulu ndio wapo smart sana? 🤣.
 
Wasukuma wanafutwa kwa kufuatana, hapa anatafutiwa gia ya kumwondoa.


Wakimwondoa tu, naweka orodha ya wateule na waandamz wengne wasukuma wanavochomolewa
Sidhani issue ni ukabila. Office yoyote ile bila kujali kabila lako. Ukizingua imekula kwako
 
Mimi nimefanya kazi na Mashimba akiwa kama Manager wangu kwenye shirika kubwa tu na baadae akawa Director, Bampa to Bampa nimekua naye karibu miaka 7 na ninajua uwezo wake wa kwazi ni mkubwa sana, ila kama Kuna fitina za kisiasa basi Kwa sababu aliingia kwenye Siasa hatakosa wanafiki, isitoshe tunajua Kanda ya ziwa inaondolewa kiaina lakini ni watu wenye uwezo mkubwa tu wa kufanya kazi
Mzee wa watu anafanya kazi nzuri sn, sema mpango uliopo ni waislamu wateuliwe kwenye nafasi nyingi, juzi kaondoa wakuu wa mikoa 8 wakristo akaweka waislamu 6
 
Back
Top Bottom