Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sisi wavuvi ziwa Tanganyika kata ya kalya wilaya uvinza tunaomba tupewe engine zetu mlizo zikwapua nakurudishiwa Mali zetu alizochoma magu kimakosa tofauti nahapo nafikiria mm wavuvi wangu nafamilia zetu tuache kuhesabiwa hata kupiga kura marufuku chama changu ccm sinawakumpa kura upinzani sitaki naona tunapuuzwa sehemu alizo haribu mwendazake mmewalipa kama wakina lisu lakini sisi wavuvi masikini mnatudharau noishi kwatabu sana kwa tamaa za mwendazakeRais Samia Suluhu Hassan amekunuliwa na magazeti mengi ya leo akitoa onyo la mwisho kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kutokana na usimamizi mbovu wa Wizara yake na kudaiwa huku fedha nyingi zikidaiwa kupotelea kwenye mifuko ya watu.
Naungana na Rais Samia, Mashimba ameonyesha kushindwa kwa kiwango kikubwa kutekeleza majukumu yake hasa katika maeneo kadhaa ikiwemo kusababisha kushamiri kwa migogoro ya wakulima na wafugaji kurudi upya na watu kuuana mfano Kilindi, Rufiji, Kilimanjaro, Mbeya na maeneo mengine ya nchi mambo ambayo hapo nyuma yalitulia.
Mashimba ameshindwa kusimamia Rachi za Taifa na kusababisha Serikali kupoteza mapato mengi kutokana na usimamizi mbovu wa sekta hiyo.
Pia kulikuwa na utaratibu wa kuogesha mifugo kwa dawa za ruzuku jambo hilo Waziri Mashimba ameua utaratibu huo na kusasabisha wafugaji wengi kushindwa kuongesha mifugo yao na mingi kufa kwa magonjwa.
Mashimba pia ameshindwa kusimamia sekta ya uvuvi na kusababisha samaki kupungua sana Ziwa Victoria na maeneo mengine kutokana na kushamiri kwa uvuvi haramu na kusababisha uhaba wa samaki na dagaa na kwamba anadaiwa kuwa hafanyi juhudi zozote za kudhibiti uvuvi haramu kwa kisingizio kuwa Rais amesema watu wasionewe.
Mashimba amekuwa akitumia vibaya jina la Rais kwamba ndiye ameruhusu uvuvi haramu na mifugo iendelee kutoroshwa nje ya nchi jambo ambalo sio la kweli kwani hakuna kiongozi wa Serikali aliyeapishwa kulinda rasilimali za nchi akaruhusu ziharibiwe eti kwa kisingizio cha hataki watu kuonewa wakati Sheria za nchi zinataka mali hizo zilindwe.
Huu wako ni Upuuzi kabisaNa ule mradi wao mpya wa kuvisha heleni mifugo ni sehemu ya kutaka kuibia wafugaji tu.
Sasa heleni inaongeza nini kwa wafugaji na mifugo yao ?
Lile zoezi lao la chapa limeishia wapi ?
Hii wizara ifutwe tu.
Upuuzi upi ?Huu wako ni Upuuzi kabisa
Wewe jamaa tunakuona unavohangaika huu ni uzi wa tatu umeuandika leo tu,kuhusu waziri mashimba.
Tunakuuliza una nini naye?
Au kuna mtu amekutuma umchafue?
Au ww unataka ndio upewe hio nafasi?
Au wewe ni muathirika wa utendaji wake? Au kuna mahali umenyimwa fursa huko kwenye uvuvi?
Acheni chuki binafsi nyie? mashimba ni waziri makini sana,mchapa kazi ndio maana Magufuli alimuona akampa wizara na mama akamuamini
Acheni majungu,acha mtu afanye kazi yake.
Mimi nimefanya kazi na Mashimba akiwa kama Manager wangu kwenye shirika kubwa tu na baadae akawa Director, Bampa to Bampa nimekua naye karibu miaka 7 na ninajua uwezo wake wa kwazi ni mkubwa sana, ila kama Kuna fitina za kisiasa basi Kwa sababu aliingia kwenye Siasa hatakosa wanafiki, isitoshe tunajua Kanda ya ziwa inaondolewa kiaina lakini ni watu wenye uwezo mkubwa tu wa kufanya kazi
😆🤣😆🤣Sio lawama tu,yani huko huko wanakufitini,unapakaziwa tuhuma kibao km huyu mleta mada hapo juu alivotumwa 😆😆 achafue hali ya hewa,kila Dakika anaanzisha uzi mpya kuhusu hii wizara.Kipindi kile akiwa Zonal Manager shirikani alikua mtu poa Sana, nimekumbuka devotion. Ila hii wizara ina lawama Sana.
Ujinga, kwani upuuzi anoufanya makamba kwenye mafuta hajauona, mbona hakuna siku alosima kupayuka .Rais Samia Suluhu Hassan amenukuliwa na magazeti mengi ya leo akitoa onyo la mwisho kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kutokana na usimamizi mbovu wa Wizara yake na kudaiwa huku fedha nyingi zikidaiwa kupotelea kwenye mifuko ya watu.
Naungana na Rais Samia, Mashimba ameonyesha kushindwa kwa kiwango kikubwa kutekeleza majukumu yake hasa katika maeneo kadhaa ikiwemo kusababisha kushamiri kwa migogoro ya wakulima na wafugaji kurudi upya na watu kuuana mfano Kilindi, Rufiji, Kilimanjaro, Mbeya na maeneo mengine ya nchi mambo ambayo hapo nyuma yalitulia.
Mashimba ameshindwa kusimamia Rachi za Taifa na kusababisha Serikali kupoteza mapato mengi kutokana na usimamizi mbovu wa sekta hiyo.
Pia kulikuwa na utaratibu wa kuogesha mifugo kwa dawa za ruzuku jambo hilo Waziri Mashimba ameua utaratibu huo na kusasabisha wafugaji wengi kushindwa kuongesha mifugo yao na mingi kufa kwa magonjwa.
Mashimba pia ameshindwa kusimamia sekta ya uvuvi na kusababisha samaki kupungua sana Ziwa Victoria na maeneo mengine kutokana na kushamiri kwa uvuvi haramu na kusababisha uhaba wa samaki na dagaa na kwamba anadaiwa kuwa hafanyi juhudi zozote za kudhibiti uvuvi haramu kwa kisingizio kuwa Rais amesema watu wasionewe.
Mashimba amekuwa akitumia vibaya jina la Rais kwamba ndiye ameruhusu uvuvi haramu na mifugo iendelee kutoroshwa nje ya nchi jambo ambalo sio la kweli kwani hakuna kiongozi wa Serikali aliyeapishwa kulinda rasilimali za nchi akaruhusu ziharibiwe eti kwa kisingizio cha hataki watu kuonewa wakati Sheria za nchi zinataka mali hizo zilindwe.
😆😆😆nyenyenye,Wewe sio luaga mpina kweli?kwani akina makamba,mwigulu ndio wapo smart sana? 🤣.Huo umbea anao rais aliyesema hana imani na ww kwenye kazi. Unatukanwa na nani, ww hata kutukanwa ni kama kupewa sifa za bure.
Sidhani issue ni ukabila. Office yoyote ile bila kujali kabila lako. Ukizingua imekula kwakoWasukuma wanafutwa kwa kufuatana, hapa anatafutiwa gia ya kumwondoa.
Wakimwondoa tu, naweka orodha ya wateule na waandamz wengne wasukuma wanavochomolewa
Hahahahaha MUNGU fundiCCM mnawaza fitina tu
Hasa wakristo ndiyo vita ya huyu bibiWanatafutwa wote wenye vinasaba na uncle watoswe na mama wa Kambo!!!
kamba na Mwigu hao hawana DOA sio!!!!
Hao watatolewa Kwa shinikizo la wenyewe Nchi.
Time will tell.
Kwenye siasa kuna fitina nyingi lakini hata wamtengue,ninaamini uwezo wake ni mkubwwaKipindi kile akiwa Zonal Manager shirikani alikua mtu poa Sana, nimekumbuka devotion. Ila hii wizara ina lawama Sana.
Mzee wa watu anafanya kazi nzuri sn, sema mpango uliopo ni waislamu wateuliwe kwenye nafasi nyingi, juzi kaondoa wakuu wa mikoa 8 wakristo akaweka waislamu 6Mimi nimefanya kazi na Mashimba akiwa kama Manager wangu kwenye shirika kubwa tu na baadae akawa Director, Bampa to Bampa nimekua naye karibu miaka 7 na ninajua uwezo wake wa kwazi ni mkubwa sana, ila kama Kuna fitina za kisiasa basi Kwa sababu aliingia kwenye Siasa hatakosa wanafiki, isitoshe tunajua Kanda ya ziwa inaondolewa kiaina lakini ni watu wenye uwezo mkubwa tu wa kufanya kazi
Kiaina ndiyo kitu gani?na ilivyo sahihi unayoijua wewe ndiyo kitu ganiKama walipewa hizo nafasi kiana, ni sahihi kabisa wakiondolewa kiaina.
Hata mimi namkubali sn huyo faza kinachomtesa ni dini yakeKwenye siasa kuna fitina nyingi lakini hata wwamtengue,ninaamini uwezo wake mkubwwa
Unaelewa maana ya uvuvi haramu?Huo uvuvi haramu si samaki tunakula sie binadamu au hao samaki wana matumizi mengine kwa watanzania?