Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mpuuzi mwenyewe, Makamba umeme unakatika kila saa, mafuta yapo juu na vitu vingine mbona hatuoni akihojiwa?Acheni siasa za udini anahojiwa na Mhe Rais kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake sio kwa sababu ya dini yake kama watu wanakwambia samaki wameisha Ziwa Victoria kwa sababu ameshindwa kudhibiti uvuvi haramu na leo bei ya samaki haishikiki, watu wanauana kila siku kwa migogoro ya wakulima na wafugaji wewe unaleta upuuzi wa udini?
Akitengua mwislam mmoja anaweka waislam 8Anawapa Jina baya Ili awafukuze, Nia ni kuwaweka wamwabuduo Baal kitini.
Lazima tupitie njia hiyo Ili ije NURU tena iangaze ktk Nchi.
Ameeen
Kwani wanashida na kipara? Labda msomari kwa alivyo muandama na mbolea, Lakini watakua wamesha ya maliza.Mmeanza kuwasagia kunguni..anyway hiyo wizara aliiweza luhaga mpina..sa100 amrudishe hapo...ila sijui kama watakaa meza moja kwenye kikao cha baraza na yule kipara.
#MaendeleoHayanaChama
Mbona kama wewe ndie unaehaingaika zaidi kuliko hata Rais mwenyewe,tuliza wenge weweAcha ujinga tumia akili hakuna anayetaka cheo cha mtu anayetoa uongozi ni Mwenyezi Mungu na sio wewe yaani tusindwe kumuunga mkono Mhe Rais aliyeonyesha kutoridhishwa na utendaji kazi wa Mashimba wewe unaleta mzaha
Tuliza makalio sasa,unawashwa washwa ya nini?Hakuna anayemfitini mtu wewe ndio unafanya fitna kama Rais amekwambia amempa onyo la mwisho wewe ni nani kupinga?
Kwani aliyekuwa waziri wa mifugo awamu ya nne ni nani?CCM mnawaza fitina tu
Luhaga MpinaKwani aliyekuwa waziri wa mifugo awamu ya nne ni nani?
Nafasi imetafutwa mpk imepatikana ππππRais Samia Suluhu Hassan amenukuliwa na magazeti mengi ya leo akitoa onyo la mwisho kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kutokana na usimamizi mbovu wa Wizara yake na kudaiwa huku fedha nyingi zikidaiwa kupotelea kwenye mifuko ya watu.
Naungana na Rais Samia, Mashimba ameonyesha kushindwa kwa kiwango kikubwa kutekeleza majukumu yake hasa katika maeneo kadhaa ikiwemo kusababisha kushamiri kwa migogoro ya wakulima na wafugaji kurudi upya na watu kuuana mfano Kilindi, Rufiji, Kilimanjaro, Mbeya na maeneo mengine ya nchi mambo ambayo hapo nyuma yalitulia.
Mashimba ameshindwa kusimamia Rachi za Taifa na kusababisha Serikali kupoteza mapato mengi kutokana na usimamizi mbovu wa sekta hiyo.
Pia kulikuwa na utaratibu wa kuogesha mifugo kwa dawa za ruzuku jambo hilo Waziri Mashimba ameua utaratibu huo na kusasabisha wafugaji wengi kushindwa kuongesha mifugo yao na mingi kufa kwa magonjwa.
Mashimba pia ameshindwa kusimamia sekta ya uvuvi na kusababisha samaki kupungua sana Ziwa Victoria na maeneo mengine kutokana na kushamiri kwa uvuvi haramu na kusababisha uhaba wa samaki na dagaa na kwamba anadaiwa kuwa hafanyi juhudi zozote za kudhibiti uvuvi haramu kwa kisingizio kuwa Rais amesema watu wasionewe.
Mashimba amekuwa akitumia vibaya jina la Rais kwamba ndiye ameruhusu uvuvi haramu na mifugo iendelee kutoroshwa nje ya nchi jambo ambalo sio la kweli kwani hakuna kiongozi wa Serikali aliyeapishwa kulinda rasilimali za nchi akaruhusu ziharibiwe eti kwa kisingizio cha hataki watu kuonewa wakati Sheria za nchi zinataka mali hizo zilindwe.
Mimi nimefanya kazi na Mashimba akiwa kama Manager wangu kwenye shirika kubwa tu na baadae akawa Director, Bampa to Bampa nimekua naye karibu miaka 7 na ninajua uwezo wake wa kwazi ni mkubwa sana, ila kama Kuna fitina za kisiasa basi Kwa sababu aliingia kwenye Siasa hatakosa wanafiki, isitoshe tunajua Kanda ya ziwa inaondolewa kiaina lakini ni watu wenye uwezo mkubwa tu wa kufanya kazi