Ni kwa kima Cha chini tu, hivi ni kweli hamuelewi?Ni rahisi kueleweka kwa ku mention kuongeza kiwango cha chini. Kwa sababu huko juu wanapokea viwango tofauti vya mishahara na ongezeko lao pia ni tofauti.
Hauwezi kuwaongezea wafanyakazi wote asilimia zinazolingana. Mafano awa wafanyakazi wawili kama wataongezewa asilimia sawa:
Tshs 270,000(23.3%) = 62,910
Tshs 3,000,000(23.3%) = 699,000
Kwa hiyo mtu anayepokea 3,000,000 ameongezewa mara 10 zaidi ya mtu anayepokea kiwango cha chini. Wakati wa kiwango cha chini ndiye ana struggle to meet ends meet!!
Vipi yule wa legacy alikwamaga wapi? Mwenzake amekwenda kwa 23%. Roho mbaya haijengi, Ona sasa hakumaliza hata tenure ya pili.Wanune kwa sababu gani?
Hayo mabadiliko yanaisaidia chadema kuingia madarakani?
like upo sahihi zile category za PAYE zinauwa wajuu mbaya kwa hiyo watakupa huku saa hiyo hiyo anakunyang"anya kwenye PAYE...ni sawasawa na kufutiwa na mashitaka halafu unakamatwa hapohapo kwa mashitaka hayohayo na nyiongeza yakeWewe ndio huelewi mzee, soma kwa makini na uelewe.
Nyongeza ya mshahara haichagui kundi la watu, hutoka kwa wote, utakachoona wewe ni utofauti katika TAKE HOME yako tu. Na hapo utaona utofauti sana kutokana na kodi kuwa na utofauti kulingana na mshahara mmoja na mwingine.
Kuna makundi manne ya viwango vya kodi vya P.A.Y.E kwahiyo wewe utaona umeongezeka kidogo kutokana na makato ya kodi.
Haiwezi ikawa hivyo mkuu - hilo ni ongezeko la jumla na ndio maana inahitajika kujua mtu anafall kweye tax band gani ili kuwa na specific % increase, although wa chini watapata ongezeko kubwa mana kodi ni ndogo... Ngoja tupate jedwali la kodi na jinsi walivyoainisha kwanza, ni mapema kucalculate hivyo.Kwa wanaojua hesabu, ili mtu apate chake calculation zake zinakuwa vipi....?
Je, kila mtu anaongezewa 23.3% ya kiwango chake cha sasa cha mshahara [basic salary] anaupata sasa, kwa mfano;
MTUMISHI: Joseph Mang'ula
KADA YA UTUMISHI: Afya
NGAZI YA MSHAHARA: TGSS D.
KIWANGO: TZS 760,000
## Hii 23.3% itaingia kama ilivyo? Kwa maana ya;
760,000 × 23.3/100 = 177, 080
##KWA HIYO; Kwa ukokotozi huo, maana yake nyongeza ya 23.3% kwa mtumishi huyu itakuwa TZS 177, 080
##Na ukijumulisha na basic salary yake ya zamani, mtumishi huyu basic salary yake kuanzia July, 2022 itakuwa;
TZS 177,080 + 760,000
= TZS 937,000 [BS]
## Kama inakokotolewa hivi, basi naweza kusema SIYO HABA. Serikali imefanya vizuri...
I stand to be corrected
Soma vizuri barua uelewe panzi weweTatizo kuna watu humu hata maana ya asilimia 23% hamjui ni vichwa panzi mnashangilia tu kama mazuzu! Serikali imepandisha kwa wale wanaopata kima cha chini kwa asilimia 23% Ila kwa wengine haijaweka wazi! Hesabu ni mhimu sana maishani!
Hongereni watumwa wa serikali ila mkumbuke izo ni hela za kukusaidia kukabilia na ugumu wa maisha sio mwende kununulia magari halafu mwanze tena kuisumbua serikali ya sisiemuNasubiria mapovu na CHUKI kutoka kwa watu wasiokuwa Watumishi[emoji1][emoji1][emoji1]
Hujui hesabuKama mshahara wa mwalimu ni degree ni 756,000/= kwa mwezi ...
Kama mama kaongeze asilimia 23.3% maana yake kwa mwezi mwalimu huyo atakuwa anapata ngapi ...?
23.3/100 ×756,000=176,148
Kwa hivyo basi baada ya kuongeza mshahara maana yake mwalimu wa degree anaenda kupata ...
756,000+176,148= 932,148 kwa mwezi ....
Au Mimi nawaza tofauti wadau ?????
Swali la msingi Sana.Hii 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa Watumishi wa Umma? Ina maana gani hasa? Msishangilie kwa hili
Mm nilipitia pia twitter kuona ikulu walichopost ndio nikawaelewa vizuri
View attachment 2224293
SanaNi jambo jema
Wee zuzu, kwahiyo kima cha chini cha mtumishi wa umma ni 760000?Mkuu naomba unitajie kiasi cha chini mtumishi wa umma ....
Mimi hizo ni calculation zangu Mimi ni vema ukaja na calculation zako zilizo sahihi kama kweli wewe unajua mambo ..!!
Tofauti na hapo wewe ni mpumbavu ,na mjinga ambaye hujielewi mbwa wewe [emoji28]
Kima cha chini hakitozwi kodi mkuu.Je wewe ni mtumishi wa serikali? Maana kuongeza asilimia za mshahara kwa kima cha chini hakujaanza mwaka huu.
Kumbuka hata kwenye kodi ilipunguzwa kwa wenye kima cha chini ikawa asilimia 8 kwa wenye kima vha chini kama sijakosea wakati ambao hawapo kwenye kima cha chini wanalipa zaidi ya hapo.
Hivyo wanapotumia kima cha chini wana sababu zao za kimahesabu. Hii 23% sio flat rate na utakuja kukiri mwenye hapa.
Kubisha mie siwezi.
Tusaidie wewe mwenzetu mwenye elimu, hilo ongezeko la 23% maana yake nini