Rais Samia akubali ongezeko la asilimia 23.3 kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma

Rais Samia akubali ongezeko la asilimia 23.3 kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma

Ni rahisi kueleweka kwa ku mention kuongeza kiwango cha chini. Kwa sababu huko juu wanapokea viwango tofauti vya mishahara na ongezeko lao pia ni tofauti.

Hauwezi kuwaongezea wafanyakazi wote asilimia zinazolingana. Mafano awa wafanyakazi wawili kama wataongezewa asilimia sawa:

Tshs 270,000(23.3%) = 62,910
Tshs 3,000,000(23.3%) = 699,000

Kwa hiyo mtu anayepokea 3,000,000 ameongezewa mara 10 zaidi ya mtu anayepokea kiwango cha chini. Wakati wa kiwango cha chini ndiye ana struggle to meet ends meet!!
Ni kwa kima Cha chini tu, hivi ni kweli hamuelewi?
 
Labda wamegundua wakiweka kimya kama enzi za JK mtavuta mkwanja muendelee kudai.
Hata wasingetangaza kupanda kwa bei za vitu kunategemea factor nyingi Sana si ongezeko la mshahara tu.
 
Wewe ndio huelewi mzee, soma kwa makini na uelewe.

Nyongeza ya mshahara haichagui kundi la watu, hutoka kwa wote, utakachoona wewe ni utofauti katika TAKE HOME yako tu. Na hapo utaona utofauti sana kutokana na kodi kuwa na utofauti kulingana na mshahara mmoja na mwingine.

Kuna makundi manne ya viwango vya kodi vya P.A.Y.E kwahiyo wewe utaona umeongezeka kidogo kutokana na makato ya kodi.
like upo sahihi zile category za PAYE zinauwa wajuu mbaya kwa hiyo watakupa huku saa hiyo hiyo anakunyang"anya kwenye PAYE...ni sawasawa na kufutiwa na mashitaka halafu unakamatwa hapohapo kwa mashitaka hayohayo na nyiongeza yake
 
Kwa wanaojua hesabu, ili mtu apate chake calculation zake zinakuwa vipi....?

Je, kila mtu anaongezewa 23.3% ya kiwango chake cha sasa cha mshahara [basic salary] anaupata sasa, kwa mfano;

MTUMISHI: Joseph Mang'ula

KADA YA UTUMISHI: Afya

NGAZI YA MSHAHARA: TGSS D.

KIWANGO: TZS 760,000

## Hii 23.3% itaingia kama ilivyo? Kwa maana ya;

760,000 × 23.3/100 = 177, 080

##KWA HIYO; Kwa ukokotozi huo, maana yake nyongeza ya 23.3% kwa mtumishi huyu itakuwa TZS 177, 080

##Na ukijumulisha na basic salary yake ya zamani, mtumishi huyu basic salary yake kuanzia July, 2022 itakuwa;

TZS 177,080 + 760,000
= TZS 937,000 [BS]

## Kama inakokotolewa hivi, basi naweza kusema SIYO HABA. Serikali imefanya vizuri...

I stand to be corrected
Haiwezi ikawa hivyo mkuu - hilo ni ongezeko la jumla na ndio maana inahitajika kujua mtu anafall kweye tax band gani ili kuwa na specific % increase, although wa chini watapata ongezeko kubwa mana kodi ni ndogo... Ngoja tupate jedwali la kodi na jinsi walivyoainisha kwanza, ni mapema kucalculate hivyo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo kuna watu humu hata maana ya asilimia 23% hamjui ni vichwa panzi mnashangilia tu kama mazuzu! Serikali imepandisha kwa wale wanaopata kima cha chini kwa asilimia 23% Ila kwa wengine haijaweka wazi! Hesabu ni mhimu sana maishani!
Soma vizuri barua uelewe panzi wewe
 
Nasubiria mapovu na CHUKI kutoka kwa watu wasiokuwa Watumishi[emoji1][emoji1][emoji1]
Hongereni watumwa wa serikali ila mkumbuke izo ni hela za kukusaidia kukabilia na ugumu wa maisha sio mwende kununulia magari halafu mwanze tena kuisumbua serikali ya sisiemu
 
Kama mshahara wa mwalimu ni degree ni 756,000/= kwa mwezi ...

Kama mama kaongeze asilimia 23.3% maana yake kwa mwezi mwalimu huyo atakuwa anapata ngapi ...?

23.3/100 ×756,000=176,148


Kwa hivyo basi baada ya kuongeza mshahara maana yake mwalimu wa degree anaenda kupata ...

756,000+176,148= 932,148 kwa mwezi ....


Au Mimi nawaza tofauti wadau ?????
Hujui hesabu
 
Mm nilipitia pia twitter kuona ikulu walichopost ndio nikawaelewa vizuri
View attachment 2224293

Mbona hata kwenye barua ya ikulu iliyowekwa hapa imeeleza hayo hayo niliyoyaandika hapa?

Haya hivyo lengo langu halijujikita sana kuwa nani Yuko sahihi na nani hayuko sahihi, la hasha. Tatizo langu ilikua kuwaita wengine hawana akili, mbaya zaidi ukawalenga waalimu.
 
Tusaidie wewe mwenzetu mwenye elimu, hilo ongezeko la 23% maana yake nini
 
Miaka sita ya JPM bila nyongeza ya mishahara ilikuwa unpopular action ya mwamba, he was wrong kutoongeza wafanyakazi mishahara kwa mda mrefu kiasi hicho wakati maisha yanazidi kuwa magumu.

Kwa hili mh. Rais apongezwe sana, hata sisi ambao hatupo serikalini tutaona impact yake positively.

23.3% siamini kama yaweza kuwa flat rate hasa ukisoma maelezo ya Bi. Zuhura, ila kutakuwa na rate ya nyongeza(hapa hawajaweka wazi)
 
Kuna watu tangu wanze kazi hawajawahi kuongezwa mshahara nao wanabisha kwenye huu Uzi yaani kusubiri waelezwe hata hawataki.
 
Mkuu naomba unitajie kiasi cha chini mtumishi wa umma ....

Mimi hizo ni calculation zangu Mimi ni vema ukaja na calculation zako zilizo sahihi kama kweli wewe unajua mambo ..!!


Tofauti na hapo wewe ni mpumbavu ,na mjinga ambaye hujielewi mbwa wewe [emoji28]
Wee zuzu, kwahiyo kima cha chini cha mtumishi wa umma ni 760000?
Nwalimu bwana!
Wewe bila shaka ndo wale maticha fulani maneno maneno tuu
 
Je wewe ni mtumishi wa serikali? Maana kuongeza asilimia za mshahara kwa kima cha chini hakujaanza mwaka huu.
Kumbuka hata kwenye kodi ilipunguzwa kwa wenye kima cha chini ikawa asilimia 8 kwa wenye kima vha chini kama sijakosea wakati ambao hawapo kwenye kima cha chini wanalipa zaidi ya hapo.
Hivyo wanapotumia kima cha chini wana sababu zao za kimahesabu. Hii 23% sio flat rate na utakuja kukiri mwenye hapa.
Kubisha mie siwezi.
Kima cha chini hakitozwi kodi mkuu.
 
Maelezo yanasema kima cha Chini,, ina maana wale wanaolipwa kima cha chini ndio wameongezewa hizo asilimia au ni watumishi wote wa umma..???

Be that as it may,, Nitoe pongezi kwa Mama...
 
Tusaidie wewe mwenzetu mwenye elimu, hilo ongezeko la 23% maana yake nini

Yaani kima cha chini kinapoongezeka kwa asilimia 23 maana yake wewe piga hesabu kwenye basic salary yako itaongezeka 23% na mwajiriwa mpya atakuta kiwango cha kuanzia kimepanda au haujaelewa nini?
 
Back
Top Bottom