The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,967
- 4,267
The increament is between 9% and 23.3%...Miaka sita ya JPM bila nyongeza ya mishahara ilikuwa unpopular action ya mwamba, he was wrong kutoongeza wafanyakazi mishahara kwa mda mrefu kiasi hicho wakati maisha yanazidi kuwa magumu.
Kwa hili mh. Rais apongezwe sana, hata sisi ambao hatupo serikalini tutaona impact yake positively.
23.3% siamini kama yaweza kuwa flat rate hasa ukisoma maelezo ya Bi. Zuhura, ila kutakuwa na rate ya nyongeza(hapa hawajaweka wazi)
Ifike Kipindi Unaenda Sheli kujaza Mafuta Umeweka Pesa Kwenye Begi.Mi nadhani ingekuwa vyema kama tungeongeza tija katika uzalishaji ili pesa ipande thamani na mshahara ule ule uweze kutosha, vinginevyo tunaweza kusababisha kukwama kwa miradi ya maendeleo kutokana na pesa yote kulipa watu mishahara
Basic salary yako itakuwa hivi.Hebu nisaidieni kwa mnaojua kukokotoa hizo asilimia. Kwa mfano mwenye basic salary ya 940, 000/= hiyo aailimia 23 ndio inakuwa sh. ngapi?
Hapo umezungumzia chumi mbili tofauti.Gharama za maisha hazipungui kwa kupunguza uwezo wa raia wako kufanya manunuzi tu.
Hata kuongeza matumizi ya serikali kwa mataifa mengine kama kutoa tenda, kufanya malipo makubwa nje bila kuongeza uwezo wa manunuzi kwa raia wako nako kunaongeza gharama za maisha sababu wananchi wako wanakuwa hawana pesa.
Viwanja vitauzwa hata milioni na hiyo milioni mtu hatakuwa nayo sababu hulipi mishahara na raia hawana uwezo wa maendeleo zaidi ya kula.
Unatakiwa kubalance, ukiona raia wana pesa nyingi unazipunguza, ukiona raia hawana pesa unaziongeza. Wakati mwingine gharama za maisha zinakuwa juu sababu uchumi unakuwa ni wa serikali tu bila kuhusisha wananchi, na wafanyabiashara monopoly wachache wenye maamuzi
Kabisa mkuu!The increament is between 9% and 23.3%...
Defenetely, YES, it's not flat rate...
Pamoja na hayo, siyo haba hii...
Mathalani mtu mwenye BS ya 3,000,000 ukimwekea 9% maana yake ni almost TZS 300,000...
Hii siyo ndogo, ni kubwa...
Usichoelewa nn Ngumbaru mwenzangu? Akili nzito Kama uji!Nashangaa mijitu inashangilia. Inamaana kuwa wale wenye mishahara ya laki mbili wataongezewa hiyo asilimia ila wenye mishahara mingine hakuna nyongeza
Sio kweli! % inapungua kila unapopanda juu, usije shangaa kule juu wanaambulia 5% ambayo inaweza kuwa huo mshahara wako baada ya nyongeza ya hiyo 23.3%[emoji41][emoji41]Naelewa nachosema, nchi zote Duniani hutumia hiyo standard katika kuset mishahara. Unapongeza mshahara huwezi sema kila kada itakuwa hivi na hivi, Unataja kwa ujumla sasa kima cha chini kitapanda kwa % kadhaa, hapo una maanisha wengine wataongezeka kutokana na asilimia hizo hapo.
SERIKALI INAPANDISHWA MISHAHARA KWA WATUMISHI WAKE WOTE KWA UJUMLA NA RATE SAWA. MTATOFAUTINA POSHO KULINGANA NA TAASISI.
Uko sawa ila hukukumbuka makato na tax kwenye hiyo 300,000The increament is between 9% and 23.3%...
Defenetely, YES, it's not flat rate...
Pamoja na hayo, siyo haba hii...
Mathalani mtu mwenye BS ya 3,000,000 ukimwekea 9% maana yake ni almost TZS 300,000...
Hii siyo ndogo, ni kubwa...
hizi ni zile habari huwa Zinawachoma Sana nyie Sukuma gang ππππWanune kwa sababu gani?
Hayo mabadiliko yanaisaidia chadema kuingia madarakani?
TujiylizeMeaning kila mtumishi ataongrzewa 62,910
MkuuMwenye basic ya 940000 hapo anapata ngapi
Hawakuongeza mshahara mwaka jana, walichofanya wao ni kusogeza kiwango ambacho unatakiwa kulipa KODI.Mwaka jana waliongeza kima cha chini kutoka 170,000/= mpaka 270,000/= lakini wale wa juu hatukuguswa.
270000. Laki mbili na sabini elfu ndio kima cha chiniKwani kwa sasa kima cha chini ni sh ngapi?
Mimi nadhani pia JPM aliwaangalia sana watuwa chini(sio waajiriwa) aliwapa uhuru mkubwa sana katika kutafuta riziki zao, hadi kufikia kuamua wao wafanye biashara popote, na hili lilifanya mtu wa chini asilalamike, tofauti na mfanykazi ambaye mda wote kipindi cha JPM alikuwa haishi kulalama.Hapo umezungumzia chumi mbili tofauti.
Ile ya serikali kuwa na pesa na ile ya wananchi kuwa na pesa.
Ni jambo la kuamua.
Tofauti ya Samia na Magufuli ndio hii.
Samia ameamua kuwapa pesa wananchi na Magufuli yeye aliamua Serikali ndio iwe na pesa.
Sada hapo kila chumi ina faida na hasara.
Lakini mwisho wa siku mwananchi anapaswa kunufaika na serikali pia kufanya mambo ya maendeleo hilo lazima liwe balanced.
Mshahara unapanda mkuu, unachoona wewe kupungua ni kutokana na KODI. ILA BASIC YAKO LAZIMA ISOME NYONGEZA YA 23.3%Sio kweli! % inapungua kila unapopanda juu, usije shangaa kule juu wanaambulia 5% ambayo inaweza kuwa huo mshahara wako baada ya nyongeza ya hiyo 23.3%[emoji41][emoji41]
Hadi sasa najiuliza mlikuwaje watumishi ikiwa kusoma na kuelewa hamuwezi?Hebu nisaidieni kwa mnaojua kukokotoa hizo asilimia. Kwa mfano mwenye basic salary ya 940, 000/= hiyo aailimia 23 ndio inakuwa sh. ngapi?
Yanaingia hivyo hivyo ππMambo ya Sukuma Gang yanaingiaje hapa?
Yaani watu kama nyie ndio mliokuwa mnawaponza walimu wenu wanaonekana hawajui kufundisha.