Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaishia 9% Hawa ni wale ealiopo kwenye bar. Nadhani mtawekewa jedwali humu kila mtu ajione amekaa wapi. Cha muhimu wa chini kabisa ndo 23.3%Sio kweli! % inapungua kila unapopanda juu, usije shangaa kule juu wanaambulia 5% ambayo inaweza kuwa huo mshahara wako baada ya nyongeza ya hiyo 23.3%[emoji41][emoji41]
Si haba mitano tenaTujiylize
Mkuu
KWA kima cha chini pesa itakayo ongezeka ni 62,910/=
Hivyo
940000+62910= 1,002,910/=
Hiyo ni kama ongezeko likiwa constant KWA wote!!!
Watu wasiokua na ajira ndio wengiMimi nadhani pia JPM aliwaangalia sana watuwa chini(sio waajiriwa) aliwapa uhuru mkubwa sana katika kutafuta riziki zao, hadi kufikia kuamua wao wafanye biashara popote, na hili lilifanya mtu wa chini asilalamike, tofauti na mfanykazi ambaye mda wote kipindi cha JPM alikuwa haishi kulalama.
[emoji2][emoji2]Hiko kichwa fanyia kazi nyingine.
Sasa hivi low class wanaumia zaidi, trust me. Lakini pia hata wafanyabiashara wanaumia kwa sababu uwezo wa kununua wa watu umepungua hivyo biashara nyingi hazifanyi vizuri.Watu wasiokua na ajira ndio wengi
Wenye ajira za serikali hawazidi milioni moja.
Sasa kuwafurahisha watu milioni moja na kuacha milioni 50 wasononeke sidhani kama ni wazo zuri.
Duru za humu jf na sio za kupuuzwa ni kuwa hatapewa mitano FDR atachukua !!!!!!Si haba mitano tena
Yaani una kipato kidogo kiasi hiki? Kwann usijiajiri tu?Mwenye basic ya 940000 hapo anapata ngapi
Kwa hiyo wasio kima cha chini wanapata ngapi?Hii 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa Watumishi wa Umma? Ina maana gani hasa? Msishangilie kwa hili
Wewe jamaa mbona una akili za kichawi sana ?. Hebu basi tufanye hao watumishi wa serikali wasiwe hata wanapokea mshahara maana umeumia sana kuongezewa hako ka nyongeza .Watu wasiokua na ajira ndio wengi
Wenye ajira za serikali hawazidi milioni moja.
Sasa kuwafurahisha watu milioni moja na kuacha milioni 50 wasononeke sidhani kama ni wazo zuri.
Na yeye sio kima cha chini🤣🤣🤣Basic salary yako itakuwa hivi.
940,000 + (940,000 x 23.3%) = 1,159,020
Kutokea hapo sasa utakata
NHIF
PSSF
CWT/ TALGWU etc
PAYE nk
Mfano hai sasa.
BASIC SALARY ... 1,159,020
PSSF 5% (57,951)
INCOME TAX (128,000 + (101,069 × 30%)) = (158,320.7)
NHIF 4% ..............
TALGWU/CWT 5% ..............
HAPO UTAONA JINSI MSHAHARA UTAVYOKATWA PAKUBWA ZAIDI.
NB nimeashume tu haudaiwi HESLB, BENKI wala SACCOS yoyote. Na hizo % za NHIF na CWT na vyama vya wafanayakazi sina uhakika kama zinafanana.
Utajionea mwenyewe jinsi hiyo 23.3% itakavyoenda kukupasua.
Tujiylize
Mkuu
KWA kima cha chini pesa itakayo ongezeka ni 62,910/=
Hivyo
940000+62910= 1,002,910/=
Hiyo ni kama ongezeko likiwa constant KWA wote!!!
Anaupiga mwingi ila tunamsubiri kwenye suala la katibaMhe. Rais Samia Suluhu Hassan akubali ongezeko la 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma.
View attachment 2224213View attachment 2224214
Mwaka jana kima cha chini walitoka 170000 hadi 270000. Wengine huku tukaongezewa buku mbili mia tank 2500.Naelewa nachosema, nchi zote Duniani hutumia hiyo standard katika kuset mishahara. Unapongeza mshahara huwezi sema kila kada itakuwa hivi na hivi, Unataja kwa ujumla sasa kima cha chini kitapanda kwa % kadhaa, hapo una maanisha wengine wataongezeka kutokana na asilimia hizo hapo.
SERIKALI INAPANDISHWA MISHAHARA KWA WATUMISHI WAKE WOTE KWA UJUMLA NA RATE SAWA. MTATOFAUTINA POSHO KULINGANA NA TAASISI.
Elite mwenzangu KongoleeWewe jamaa mbona una akili za kichawi sana ?. Hebu basi tufanye hao watumishi wa serikali wasiwe hata wanapokea mshahara maana umeumia sana kuongezewa hako ka nyongeza .
Hawakuongeza mshahara mwaka jana, walipunguza KODI na kupandisha level ya kipato ambacho mtu atalipia KODI.Mwaka jana kima cha chini walitoka 170000 hadi 270000. Wengine huku tukaongezewa buku mbili mia tank 2500.
Kimfaacho mtu chake batamaji wwYaani una kipato kidogo kiasi hiki? Kwann usijiajiri tu?