MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Hii 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa Watumishi wa Umma? Ina maana gani hasa? Msishangilie kwa hili
Anahusikaje hapa? Kwani yeye asingepandisha? Mbona alishusha PAYE mkuu!Yule Ibilisi anajisikia vibaya huko kuzimu
Kiongozi, umesoma hilo tangazo lenyewe au umeishia post ya mleta mada?Hii 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa Watumishi wa Umma? Ina maana gani hasa? Msishangilie kwa hili
Hahaha kabisaSukuma Gang hutawaona hapa.. samia anafanya ambayo mungu wao alishindwa kwa miaka 6 halafu bado Yanamuabudu kama Wafuasi wa nabii Zumarid
Wewe kiazi kichwa changu sijakikabidhi kwa serikali kama wewe, hebu tushangilie kima cha chini kimeongezeka.Ww unajua sheria zaidi ya serikali? Au ww unajua kugundua makosa kuliko serikali?
Utanuna sana mwaka huu sukuma gang! Samia anazidi kuupiga nwingiTunakamuana ili kulipana mishahara tu.
Miradi ya maendeleo imelala huko.
Watu tunawaza kula tu.
Mara zote sekta binafsi pia wanasetiwa viwango, hawajipangii mishahara hovyo.Mtakula mlikopeleka mboga
Hapa kwa kima cha chini ni 23. Ila kwa waliovuka kima cha chini wamepugiwa hesabu zingine.Naomba nieleweshwe; 23% imeongezeka kwa kile kima cha chini tu au wote?
TUCTA walisema wanataka tzs 1,050,000 kama kima cha chini, hii ingekuwa ni ongezeko la asilimia ngapi?
Kima cha chini ni tzs ngapi?
Mwinyi aliongeA 15% kwa wote au kima cha chini?
Asanteni
Huelewi kitu kaa kimya!Usimsahau mnyarwanda aliyekulia usukumani Suzy Elias na nduguze Nyani Ngabu Nyankurungu2020 na wengineo
Mm ni mtumishi mzee, kwa taarifa yako hata walipopunguza kodi kuwa 8% effect unaiona kwenye mshahara wako. Kama mtumishi hukuona kuna nyongeza ya elfu kadhaa ya pesa imeongezeka kwako??Je wewe ni mtumishi wa serikali? Maana kuongeza asilimia za mshahara kwa kima cha chini hakujaanza mwaka huu.
Kumbuka hata kwenye kodi ilipunguzwa kwa wenye kima cha chini ikawa asilimia 8 kwa wenye kima vha chini kama sijakosea wakati ambao hawapo kwenye kima cha chini wanalipa zaidi ya hapo.
Hivyo wanapotumia kima cha chini wana sababu zao za kimahesabu. Hii 23% sio flat rate na utakuja kukiri mwenye hapa.
Kubisha mie siwezi.
Nanakusaidia wewe kupiga vizinga vilivyononanona pale mtaa wa kijani😂Wanune kwa sababu gani?
Hayo mabadiliko yanaisaidia chadema kuingia madarakani?
Kwani hujui kama kula lazima lakini kuoga hiari🤸Tunakamuana ili kulipana mishahara tu.
Miradi ya maendeleo imelala huko.
Watu tunawaza kula tu.
Kalinde kabuli chato! Tunazidi kuizika legacyWengi huenda bado hamjaelewa
Kwani hizo pesa zitakutosha sasa ?Sukuma Gang hutawaona hapa.. samia anafanya ambayo mungu wao alishindwa kwa miaka 6 halafu bado Yanamuabudu kama Wafuasi wa nabii Zumarid