Rais Samia akubali ongezeko la asilimia 23.3 kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma

Rais Samia akubali ongezeko la asilimia 23.3 kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma

Nahis hii sio kwa watumishi wote bali watakao guswa ni wale wa mshahara wa chinu kabisa
 
Hapo nimeongea na mtumishi mmoja wa umma anasema hiyo nyongeza ya 23% ipo hivi.
Kama Kima cha chini cha mshahara ni laki tatu itakuwa hivi
300,000 × 0.23 = 69,000.
Kwa hiyo watumishi wote wa serikali wataongezewa 69,000 kwenye mishahara yao.
Kwa aliyekuwa analipwa
500,000+ 69,000 =569,000
600,000+69,000=669,000
700,000+69,000=769,000
1,000,000+69,000=1,069,000
Hivyo hivyo kwa mishahara ya ngazi zote.
Hakuna utaratibu kama huo kwenye kupandisha mishahara !!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
OFF COURSE WOTE WAAJIRIWA WOTE WATAPATA NYONGEZA HII ILA "DIMINISHING RATE UP WARDS" ( SAMAHANI SIJUI VEMA KISWAHILI CHAKE ....ILA NI HIVI MWENYE MSHAHARA GHAFI WA 270,000/= AKIONGEZEWA 23.3%, ANAYEFUATA WA 320,000 ATAPATA NYONGEZA YA CHINI KATI YAKE NA ALIYEMFUATIA KWA TOFAUTI YA 5% AU ZAIDI KULINGANA NA MAAMUZI ( NA FEDHA ILIYOTOLEWA )
....HIVYO ATAPATA NYONGEZA YA 23.3% PUNGUZA 5% AU ZAIDI = 18.3 %AU CHINI YA 18.3 % ...
ITAENDA HIVI KWA KWENDA KIMA CHA JUU HADI TUIKUTE 0.001%. LIMIT
Yaap hii ndio formula ya calculation, hasa ili kumuinua mwenye kima cha chini zaidi kuliko wa juu yake
 
Hapo nimeongea na mtumishi mmoja wa umma anasema hiyo nyongeza ya 23% ipo hivi.
Kama Kima cha chini cha mshahara ni laki tatu itakuwa hivi
300,000 × 0.23 = 69,000.
Kwa hiyo watumishi wote wa serikali wataongezewa 69,000 kwenye mishahara yao.
Kwa aliyekuwa analipwa
500,000+ 69,000 =569,000
600,000+69,000=669,000
700,000+69,000=769,000
1,000,000+69,000=1,069,000
Hivyo hivyo kwa mishahara ya ngazi zote.
Huyo ni mtumishi wa Kanisa.
 

Hii 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa Watumishi wa Umma? Ina maana gani hasa? Msishangilie kwa hili​

Ache ku comment kama huna uwezo wa kuelewa.
Siku zote mshahara huogezwa kwa kutaja kima cha chini lakini ngaxi zingine pia zinaongezeka

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
 
Huyo hajaelewa! Hapo hawajaongeza mshahara kwa asilimia 23.3%! Serikali imekubali ongezeko la mshahara kwa 23.3% kwa kila cha chini! Maana yake kwamba kama kila cha chini kilikuwa lakini mbili(200,00) inamaa itaongeza 23.3% kwa kimya hicho cha chini na kuwa kama 238,000/,=kwa maana hiyo 38,000/= ndo ongezeko kwa nagzi hiyo ya chini si kwa ngazi nyingine! Sio kuwa mshahara umepanda kwa asilimia 23.3% kwa wafanya kazi wote hapana!
wewe ni mbulula nenda kalale, huna akili, umeshaona wapi kitu kama hicho??? nikukumbushe tuu wee mbuzi kikwete 2015 Daraja D alilitoa toka 630,000/ hadi 716,000/= je hawa walikuwa kima cha chini??? nyioko

Sent from my M2103K19G using JamiiForums mobile app
 
Naelewa nachosema, nchi zote Duniani hutumia hiyo standard katika kuset mishahara. Unapongeza mshahara huwezi sema kila kada itakuwa hivi na hivi, Unataja kwa ujumla sasa kima cha chini kitapanda kwa % kadhaa, hapo una maanisha wengine wataongezeka kutokana na asilimia hizo hapo.

SERIKALI INAPANDISHWA MISHAHARA KWA WATUMISHI WAKE WOTE KWA UJUMLA NA RATE SAWA. MTATOFAUTINA POSHO KULINGANA NA TAASISI.
wewe umeongea ukweli mtupu! ndivyo ilivyo.

Sent from my M2103K19G using JamiiForums mobile app
 
Rais Samia kwenye masuala mengine anajitahidi, yupo fast to act, which is good.

Ila kwenye mambo ya siasa anakuwa mgumu sana kuelewa mpaka pawepo na vikao vya maridhiano, tena hata kwenye masuala yaliyo wazi kisheria, ajabu sana; sijui wakina nani wanamdanganya, hajiamini.
Mzee nenda taratibu, binadamu sisi hatujakamilika.Kwa hiyo tumvumilie maana muda bado anao wa kutosha.
 
Back
Top Bottom