Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haaSio "zari" ni "zali" pimbi wewe
Aisee 😂😂😂😂mimi mwenyewe hapa nahisi kuna mtego mkubwa sana
Haya poaNi kweli huna, sio ww tu karibu walimu wote hamna.
Kusoma tu hiyo document na kuelewa umeshindwa
Yawezekana kabisa percentage ikatofautiana. Kwa kawaida kima Cha chini huongezewa kwa asilimia kubwa halafu asilimia inakuwa inspungua kwa kadri mshahara unavyokuwa unaongezeka!Wote inaongezeka percent hiyo au ni wale wa kima cha chini tu?
Lakini Kuna issue moja: Hadi Sasa kima Cha chini kilikuwa hakitozwi Kodi, je baada ya ongezeko hili kitaendelea kutozwa Kodi? Kama kikitozwa Kodi bado take home itasinyaa!Hebu ngoja hapa:-
23.3/100=0.233
0.233×270000/= =62,910
KWA hiyo:-
270000+62910=332,910/=
KWA kima cha CHINI hicho!!
Nakaribisha masahihisho kama yapo!!
Mimi Raisi ajaye nimeona hivi KWA lima cha CHINI ya wewe je!!?
Kikiwekwa wazi Kuna watu wanaweza kuzimia!!Kima cha juu ni kipi
Ni kweli lakini nimesema kutokana na uzoefu maana hii si Mara ya kwanza kupandisha kima Cha chini. Haijawahi kutokea kuwa watumishi wote wakaongezwa kwa asilimia zinazofanana. Labda ianzie Mwaka huu!!Kumbuka wa kima cha juu hata akiongezwa 23.3%, makato yake ni makubwa kuliko huyu wa kima cha chini, kuanzia PAYE, PSSSF, BIMA, vyama vya wafanyakazi etc.
Maana yake ni kuwa mishahara imepanda Ila kwa kima Cha chini imepanda kwa asilimia 23. Haiwezekani kuainisha kiasi kwa Kila mshahara. Kwa kawaida asilimia ya ongezeko hupungua kwa kadri mshahara unavyokuwa mkubwa. Ila kwa kuwa tuna MAMA na anajua kuwa wafanyakazi wamesota kwa miaka 6, anaweza kuagiza watumishi wa ngazi zote wapate ongezeko la asilimia 23.3!! Tutafurahi!kwenye chapisho kumeandikwa IKIWEMO KIMA CHA CHINI kwa 23.3% hii umeelewa vipi!?.
Hata sio kikubwa, labda Mil 9Kima cha juu ni kipi
Ilo ni darajaNa je ongezeko hili litahesabika kama salary step?
Mfano D1 aende D2?
Hii umeipata wapi? weka ushahidi!The increament is between 9% and 23.3%...
Defenetely, YES, it's not flat rate...
Pamoja na hayo, siyo haba hii...
Mathalani mtu mwenye BS ya 3,000,000 ukimwekea 9% maana yake ni almost TZS 300,000...
Hii siyo ndogo, ni kubwa...
TUCTA ni tawi la CCM usitarajie hata siku moja wakafanya hivyo, katika awamu ya 5 ndo hawakusikika kabisa wamekuja kuibuka awamu hii wakiwa na hayo mapendekezo mkononiIla
TUCTA kupendekeza mafao ya wastaafu walipwe asilimia 33 ni usaliti mkubwa kwa wafanyakazi. Jambo zito kama hilo TUCTA walipaswa waendeshe zoezi la kupata maoni ya wafanyakazi kila sehemu ya ajira ( taw) ndipo wawasilishe kikokotoo kinachotokana na wafanyakazi wenyewe. Kwa kikokotoo hicho kuna wafanyakazi wengi wataambulia sh milioni saba mpaka 25 badala ya kati ya shilingi milioni 40 hadi mia walizokuwa wanapata awali kwa wale waliostaafu bila cheo. Ninamaanisha malipo ya mkupuo.
Kupunguzwa kwa rate ya kikokotoo ni suicide rope kwa wafanyakazi
Kama Hilo jedwali unalo tuwekee hapa! Utakuwa umefanya la maana Sana!Inaishia 9% Hawa ni wale ealiopo kwenye bar. Nadhani mtawekewa jedwali humu kila mtu ajione amekaa wapi. Cha muhimu wa chini kabisa ndo 23.3%
kima cha chini ni sh ngapi ? ngoja tupige hesabu tuoneHii 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa Watumishi wa Umma? Ina maana gani hasa? Msishangilie kwa hili
Mkuu, ikiwezekana hilo jedwali ulifungulie uzi maalumu kwani hili jambo limekuwa ni mjadala mkubwa mitandaoni.Inaishia 9% Hawa ni wale ealiopo kwenye bar. Nadhani mtawekewa jedwali humu kila mtu ajione amekaa wapi. Cha muhimu wa chini kabisa ndo 23.3%