Rais Samia akutana na Baraza la Maaskofu (TEC), Kilaini aelezea Historia yake na utaifishaji wa mashule 1970


Kwa mwendazake uliyoyaandika yalikumbukwa?
 
Afanye nini mridhike? Hayo makundi mengine yalimuomba wakutane?

Sky, wakumbushe pia japo kuna kitu kinaitwa jumuiya ya kikristu, kuna TEC ambacho ni chombo ya wakatoliki tu. Ni hawa TEC ndio walikuwa na jambo na mama.

Tumefikia hatua mbaya, ya kuwa walalamikaji wa kila jambo! Jamaa angetumia muda huu kuhimiza wengine nao waombe miadi na mama!
 
moghasa, BW Mkapa aliposema Watanzania wengi ni wapumbavu alimaaminisha watu kama wewe. Mimi nimekupa fact ambayo wewe huijui na bado unabisha.

Kama unajuwa Gervas Nyaisonga alioatikana vipi weka unachojuwa hapa halafu mimi nitakupa A- Z
 
Usimpangie rais nini Cha kufanya, kweli tz ipo na madhehebu mengi ila si yote yanamwabudu Mungu? So akikutana na dhehebu moja katika kuwakilisha mengine shida ipo wapi acha uchochezi
 
Yaani wewe hata ujifichefiche unajulikana mapemaaa. Akili zako hazina uwezo wa kutengeneza cover hata ya majani. Ukiharisha tu anayepita anajua hapa kanya Nani!
 
Ndio maana ibilisi akapita naye
Inamaana kumbe Hata Yesu alipitishwa Left na Ibilisi? maana alikuwa pia na mzozo wa kimaslahi na wafia dini dizaini hii ya Katoliki, kumbuka biashara hekaluni.
 
Mimi nilivyoona anakutana na Catholic leaders akilini kwangu ikanijia kuna siku nyingine hapo mbele atakutana na Waislamu.
Swali je, wewe umewaza hivyo??? Kwani mama Samia siku za kukalia kiti zimeisha mpk ulalamike??? Why always negative guys.
 
Nyaisonga ni Nani???? Afu mwendazake alikuahidi nini mbona hamuishi kumsema
 
Wabongo tunapenda sana kusifia vitu ordinary...

Na viongozi wetu sasa washatujua, wanafanya vitu ili nao watrend
 
Kama ni "CHUMA" mbona kimepigwa mweleka na Covid19?!! Na sasaivi Chuma kishaliwa na kutu ardhini,

go Samia, #2038
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…