Rais Samia akutana na Baraza la Maaskofu (TEC), Kilaini aelezea Historia yake na utaifishaji wa mashule 1970

Rais Samia akutana na Baraza la Maaskofu (TEC), Kilaini aelezea Historia yake na utaifishaji wa mashule 1970

Kwa bahati mbaya sana Uongozi wa juu kabisa wa nchi hii umehodhiwa na dhehebu(catholic) na dini hiyo, (Muslim) for over sixty years now wao ndio wamekuwa wakishika all the prominent positions in this country. Unaweza usiamini ila ndio ukweli. Hivyo wakikutana wanaelewana maana hao ndio watawala halisi nchi hii.

Kwa mwendazake uliyoyaandika yalikumbukwa?
 
Afanye nini mridhike? Hayo makundi mengine yalimuomba wakutane?

Sky, wakumbushe pia japo kuna kitu kinaitwa jumuiya ya kikristu, kuna TEC ambacho ni chombo ya wakatoliki tu. Ni hawa TEC ndio walikuwa na jambo na mama.

Tumefikia hatua mbaya, ya kuwa walalamikaji wa kila jambo! Jamaa angetumia muda huu kuhimiza wengine nao waombe miadi na mama!
 
No wonder B.Mkapa alisema watanzania wengi ni wapumbavu na malofa, you made me believe this statement! Hii kahawa umeinywa wapi bwashee! Au unataka kutuaminisha kuwa unajua interijensia! Unapotoa allegation kubwa kama hili toa na chanzo cha habari yako. Yaani unaongea utadhani wewe ni Nyaisonga mwenyewe.
moghasa, BW Mkapa aliposema Watanzania wengi ni wapumbavu alimaaminisha watu kama wewe. Mimi nimekupa fact ambayo wewe huijui na bado unabisha.

Kama unajuwa Gervas Nyaisonga alioatikana vipi weka unachojuwa hapa halafu mimi nitakupa A- Z
 
Kitendo Cha Rais Samia kukutana na viongozi wa kanisa katoliki pekee ni cha kibaguzi sana Rais anahubiri haki huku akijua kuwa tabia aliyoianzisha ya kuwagawa Watanzania kwa imani ya Dini zao si cha kiungwana Tanzania ina madhehebu mengi sana kwa nn ukutane na dhehebu moja tu uyaache mengine huo sio ubaguzi? najitahidi sana kulazimisha kukupicgis debe lkn dah yataka moyo kwa hiyo utakutana na wasabato, Walutheri, waanglikani, PAG, Washia wasuni hapana umekosea sana
Usimpangie rais nini Cha kufanya, kweli tz ipo na madhehebu mengi ila si yote yanamwabudu Mungu? So akikutana na dhehebu moja katika kuwakilisha mengine shida ipo wapi acha uchochezi
 
Kitendo Cha Rais Samia kukutana na viongozi wa kanisa katoliki pekee ni cha kibaguzi sana Rais anahubiri haki huku akijua kuwa tabia aliyoianzisha ya kuwagawa Watanzania kwa imani ya Dini zao si cha kiungwana Tanzania ina madhehebu mengi sana kwa nn ukutane na dhehebu moja tu uyaache mengine huo sio ubaguzi? najitahidi sana kulazimisha kukupicgis debe lkn dah yataka moyo kwa hiyo utakutana na wasabato, Walutheri, waanglikani, PAG, Washia wasuni hapana umekosea sana
Yaani wewe hata ujifichefiche unajulikana mapemaaa. Akili zako hazina uwezo wa kutengeneza cover hata ya majani. Ukiharisha tu anayepita anajua hapa kanya Nani!
 
Huyo mleta mada ni Musiba
Huyo
JamiiForums1429062167.jpg
 
Ndio maana ibilisi akapita naye
Inamaana kumbe Hata Yesu alipitishwa Left na Ibilisi? maana alikuwa pia na mzozo wa kimaslahi na wafia dini dizaini hii ya Katoliki, kumbuka biashara hekaluni.
 
Kitendo Cha Rais Samia kukutana na viongozi wa kanisa katoliki pekee ni cha kibaguzi sana Rais anahubiri haki huku akijua kuwa tabia aliyoianzisha ya kuwagawa Watanzania kwa imani ya Dini zao si cha kiungwana Tanzania ina madhehebu mengi sana kwa nn ukutane na dhehebu moja tu uyaache mengine huo sio ubaguzi? najitahidi sana kulazimisha kukupicgis debe lkn dah yataka moyo kwa hiyo utakutana na wasabato, Walutheri, waanglikani, PAG, Washia wasuni hapana umekosea sana
Mimi nilivyoona anakutana na Catholic leaders akilini kwangu ikanijia kuna siku nyingine hapo mbele atakutana na Waislamu.
Swali je, wewe umewaza hivyo??? Kwani mama Samia siku za kukalia kiti zimeisha mpk ulalamike??? Why always negative guys.
 
Nyaisonga ni Nani???? Afu mwendazake alikuahidi nini mbona hamuishi kumsema
 
Wabongo tunapenda sana kusifia vitu ordinary...

Na viongozi wetu sasa washatujua, wanafanya vitu ili nao watrend
 
Wamuache kiumbe wa mwenyezi Mungu apumzike kwa amani, alivyokuwa hai mbona wote waliufyata....kile chuma hapa ndio nakikubali, undava undava...sasa hivi wapumbavu wananyanyua midomo na wengine kufikia kiasi cha kutaka kuanza kumsumbua mama.... RIP Magu....(mwenyezi Mungu msamehe huyu mzee kila ovu lake na umpe pumziko la amani milele)...

Nilipingana na kile chuma kwenye mitazamo fulani fulani, ila kuna mafala aliwanyoosha....eti leo nao wanavimba vifua kwa mama...jamaa alikuwa akiongea watu wote kimya kasoro kigogo tu...yaani kama mwamba basi ni kigogo peke yake...wengine wote mafala tu..bora mkae kimya tu, maana kama kudai haki mngeidai kipindi kile tuone kweli mnadai haki...
Kama ni "CHUMA" mbona kimepigwa mweleka na Covid19?!! Na sasaivi Chuma kishaliwa na kutu ardhini,

go Samia, #2038
 
Back
Top Bottom