Rais Samia akutana na Baraza la Maaskofu (TEC), Kilaini aelezea Historia yake na utaifishaji wa mashule 1970

Hii si Salamu tu.... The same ukisalimua kwa kihaya uwapo huko au kichaa uwapo huko... Nini shida yake??
Mawazo yetu finyu Sana jamani
 
Aisee mwendazake kweli alizingua yani naona nyaisonga analalamika mbele ya mama rais Samia kwamba kanisa likipata hasara Sana kwenye taasisi zake za elimu nk. Aisee yani mwendazake Basi tu.
Huyu ni mnafiki tu
 
Msemakweli ni mpenzi wa Mungu..

Lazima niwaambie ukweli ndugu zangu..
Alitoa Biti Moja Kali Sana Yule Sister Aliyejiua

Ninyi Viongozi Wa Dini Mniombee Nina Siri Zenu Nyingi Sana 😆😅😄😃😂😁😀
Niendelee Kuzitunza
 
Kwamba kigogo aliwakilisha taifa kwa miaka sita kasoro😂😂
 
Aisee mwendazake kweli alizingua yani naona nyaisonga analalamika mbele ya mama rais Samia kwamba kanisa likipata hasara Sana kwenye taasisi zake za elimu nk. Aisee yani mwendazake Basi tu.
Hapa umeandika ushuzi
 
Wakishapata faida nono .. shukran Yao ni waraka kwa Viongozi wasio wa dini yao
Inaonekana waraka huwa unakuuma sana, kama hutaki kuuona hama nchi. Nyie wazee mna fikra mgando, chovu, za kichawi sana.
 
Ni kweli kabisa alipokuwa hai hakuna aliyethubutu kufungua mdomo wake. Leo hii yule aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha kageuka kabisa anahoji mambo ambayo JPM alipokuwa hai hangeweza kuyahoji.

Watanzania wengi ni wanafiki, na siku zote msingi wa unafiki ni uoga, kukwepa ule utayari wa kuyakabili majukumu.
 
Nipo pembeni nimejibanza huku nawasoma tu.
 
Alikutana na viongozi wote wa dini


Pia inawezekana TEC walimwomba; ulitaka akatae?

halafu inakuwaje unalaumu as if siku zimeisha

tuache upotosha wenye lengo la kuharibu
 
Hakupaswa kutengwa, ukristo hauwatengi wenye dhambi, nyie mnaojiona wenye haki hapa duniani ndio mtachomwa moto.
 
Kanisa liache kutaka mteremko
Limeanzisha huduma za Elimu na Afya kibiashara
Basi lilipe kodi lisitake mteremko wa kusamehewa kodi wakati linatengeneza fedha
Enyi wanafiki, wengi huwa mnakiri biashara ziliyumba wakati wa Magufuli, ila coz linazungumziwa kanisa hapo nawaona mnatoa mapovu tu.

Hizo huduma zimeanzishwa kibiashara sababu zinatakiwa kujiendesha, kuwalipa wafanyakazi na wahudumu wengine mishahara.

Sijaona kwenye hiyo habari hapo juu wapi Kanisa limeomba lisilipe kodi, hii habari ya kodi umeitoa wapi? mna mihemko mibaya sana nyie wazee wa madrasa.
 
Kum******ko
 
Aliemlisha sakrament KABLA ya kufa nahisi anaelekea kumfwata
 
Labda walimualika utajuaje?!
Sema kama Ratiba yake imeishia hapo!
Tusiwe wepesi wa kusema sema mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…