Rais Samia akutana na Baraza la Maaskofu (TEC), Kilaini aelezea Historia yake na utaifishaji wa mashule 1970

Huu ni ukuu wa Kanisa Katoliki la Roma, wasabato na walokole na nyie tafuteni "platform" zenu ili muweze kukutana na Rais.
makanisa ya kilokole hayana mifuno, askofu huyo huyo, Mweka hazina huyo huyo, Mtafuta manunuzi ya kanisa huyo huyo, Mtunza stoo huyo huyo, Signatory wa benki huyo huyo, Mwenyekiti wa bodi ya kanisa huyo huyo, mwesabu sadaka huyo huyo..
 
makanisa ya kilokole hayana mifuno, askofu huyo huyo, Mweka hazina huyo huyo, Mtafuta manunuzi ya kanisa huyo huyo, Mtunza stoo huyo huyo, Signatory wa benki huyo huyo, Mwenyekiti wa bodi ya kanisa huyo huyo, mwesabu sadaka huyo huyo..
Hizo labda ni ministry ila so called walokole kama TAG/EAGT/FPCT wana mifumo kuanzia jimbo mpaka makao makuu na wana taasisi nyingi chini yao kma vyuo,vituo vya media,shule, hospitali,NGOs n.k so mifumo ipo. More so wanayo CPCT ambayo ni umoja wa makanisa yote ya kipentekoste Tanzania so obviously wana platform.
 


No big no hakuna viongozi wa hovyo kama TAG.
 
Huu ni ukuu wa Kanisa Katoliki la Roma, wasabato na walokole na nyie tafuteni "platform" zenu ili muweze kukutana na Rais.

[emoji871]Mhubiri 8:9
Hayo yote nimeyaona, nami nimetafakari moyoni mwangu kila kazi ambayo imefanywa chini ya jua, wakati ambapo mwanadamu amemtawala mwanadamu mwenzake kwa kumuumiza.+

[emoji871]Katika vita vya Har–Magedoni, Ufalme wa Mungu utaziharibu serikali zote za wanadamu zilizojaa ukatili na ufisadi.
 
Noma sana kiongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…