Rais Samia akutana na Baraza la Maaskofu (TEC), Kilaini aelezea Historia yake na utaifishaji wa mashule 1970

Rais Samia akutana na Baraza la Maaskofu (TEC), Kilaini aelezea Historia yake na utaifishaji wa mashule 1970

Acha unafiki mkuu.
Kuna wasabato wapo kwenye game na huwajui, sema hao uliowataja ni ndoano dhidi ya nyangumi.
Ndio maana nika declare mapema mimi sina hulka za kidini. Lakini huo mtirirko unatia doa.
 
Kanisa la mitume, mitume wake wote waliuwawa na asikari wa kirumi

Na huyo mtume petro mnae msema kuwa ni papa wa kwanza aliuwawa mwaka 64 AD na asikari wa kirumi katika mji wa rumi
Na wakati huo hata mamlaka ya kanisa wa cheo cha upapa haukuwepo.

Kumbuka cheo cha papa kimeanzishwa mnamo mwaka 312 AD yaani miaka miaka 248 baadae baada ya kifo cha Petro

Sasa huyo petro atakuwaje Papa wakwanza wa katoliki?.

ROHO WA MUNGU akuongoze maana najua umekalilishwa hivyo.
Petro ni Papa wetu, unaweza ukawa huupendi ukweli lakini ndio huo.
 
Ndiyo maana wakampa Magufuli tuzo ya kuishinda Covid19 siyo?

View attachment 1829337
damn.png
 
Hatamki kwa sababu tu haju lakini si kwa kudhamiria.

Hajui tofauti ya Bwana Asifiwe na tumsifu Yesu Kristo, yeye ni muislam

Kwa mara ya kwanza nimemsikia mama akitamka ...."Tumsifu Yesu Kristo..."
Mimi ni muumini wa dini za jadi ila jambo la mama kutotamka maneno hayo limekuwa likivuma Sana hapa!
 
Kanisa katoliki halijaweza kabisa kutuletea viongozi watenda haki,wenye upendo na kujali maisha na utu wa watu!! Ukiacha hawa wadogo tizama yule wa awamu yakwanza,yatatu na tano!! Watu tumeteseka mmmno na kanisa halikukemea bali kusifu!

Kanisa hili huwa linajali sana pesa na miradi,kufukuza/kutenga wanaokosea,kutosamehe na ukali usiostahili,kujipa utakatifu usio wakweli,usomi feki na viongoz wa kutooa/kuolewa huku kadhaa wakimega megana kisela nk. nk.

Hawastahili kukosoa kosoa madoa serikalini maana wao wanamidoa sugu!!
 
makanisa ya kilokole hayana mifuno, askofu huyo huyo, Mweka hazina huyo huyo, Mtafuta manunuzi ya kanisa huyo huyo, Mtunza stoo huyo huyo, Signatory wa benki huyo huyo, Mwenyekiti wa bodi ya kanisa huyo huyo, mwesabu sadaka huyo huyo..
Ni kweli lakini kabisa walokole hawana mifumo na Ni udhaifu mkubwa wa kiutendaji. Hata hivyo haiondoi ukweli kuwa Roma Ni kanisa la kishetani completely
Tangu jina,historia,mafundisho mpaka mifumo yake Ni ya kipepo kabisa
 
Nipe evidence, imeandikwa wapi?
Mkuu sio kila kinachoaminiwa kimeandikwa. Kumbuka lipo andiko ndani ya Biblia linalosema kuwa haya yameandikwa ili mpate kuamini ingawa yapo mengi yaliyofanyika na hayakuandikwa.

Wewe amini hivyo, achana na kutafuta ushahidi. Kuna maandiko na mapokeo, na yote hutumika pamoja.
 
Mkuu sio kila kinachoaminiwa kimeandikwa. Kumbuka lipo andiko ndani ya Biblia linalosema kuwa haya yameandikwa ili mpate kuamini ingawa yapo mengi yaliyofanyika na hayakuandikwa.

Wewe amini hivyo, achana na kutafuta ushahidi. Kuna maandiko na mapokeo, na yote hutumika pamoja.
Laiti Biblia ingekuwa inawakilishwa kihisia na kibinafsi ninaimani kila mwanadamu angekuwa na Miungu yake kama ilivyo kuwa nyakati za Giza.
 
Lile ambalo mwasisi wake ni Yesu Kristo na Papa wake wa kwanza ni mtume Petro.
Bhaghosha? Waruni Hawa waliomsurubu Yesu na kutesa na kuua Mitume? Waliasisi wapi kanisa? Na lini? Nakuombea siku moja neema ya Bwana ikuangazie uijue kweli nayo ikuweke huru.
 
Ofisi ya upelelezi ya Rwanda (RIB) imethibitisha kuwa inamshikilia Mkuu wa makasisi wa Kanisa katoliki Parokia ya Rwamagana nchini humo, Jean-Marie Telesphore Ingabire, ambaye anashukiwa kusaidia katika madai ya wizi na kufich ushahidi.

Msemaji wa RIB, Thierry Murangira, ameiambia BBC, kuwa Padre Ingabiri amekamatwa na mamilioni ya fedha yanayodaiwa kuwa ni ya wizi.

"Mkuu wa mapadri wa Parokia ya Rwamagana ya Kanisa Katoliki yuko mahabusu, anashutumiwa wa kusaidia katika madai mashitaka ya wizi, huku uchunguzi ukiendelea"-Murangira.

Uchunguzi bado unaendelea kubaini kiasi cha pesa kilichohusika, alisema Bw Murangira na kuongeza kuwa kasisi huyo alikuwa akitunza pesa haramu zinazodaiwa kuibwa, jambo lililowafanyawaendelee na wizi.

Vyanzo mbalimbali vinaonesha kuwa watu kadhaa walikamatwa tangu mwishoni mwa wiki iliyopita kwa tuhuma za wizi, akiwemo ndugu zake Padre Ingabire ambao walipatikana wakiwa wamejificha na "kiwango kikubwa cha fedha ."

Kasisi huyo anasemekana kushindwa kuelezea ni kwa vipi alikuwa na mamilioni ya fedha nyumbani kwake, wakati msako ulipofanyika kwenye makazi yake.

Aidha Murangira amesema kuwa RIB inatarajia kupata maelezo zaidi wakati uchunguzi ukiendelea.
#ChanzoBBCSwahili
#StarTvUpdates
 
  • Lengo la Shule zetu sio kufanya biashara bali kutoa huduma bila kujali uwezo wa wazazi wanaotaka kueleimisha watoto wao kama ilivyo Sera ya Serikali yako ya Awamu ya Sita
Hapa naona jinsi tulivyodanganywa, shule za katoliki zilivyoghali hivyo?

Zijengwe na waumini na bado waumini hao wakitaka somesha watoto hapo, ada ni sawa na wasioshiriki kujenga shule hiyo, halafu useme sio biashara?

Na kumbi zao ni vivyo hivyo.
 
Huu ni ukuu wa Kanisa Katoliki la Roma, wasabato na walokole na nyie tafuteni "platform" zenu ili muweze kukutana na Rais.
Taratibu Amesema Atakutana Na Madhehebu Yote
Tunza Kauli Yako Baadaye Utaona Soni Mwenyewe 😶🤗😇
 
Nilianzisha uzi humu kuhusu kiini cha salam mpya ya mama. Baada ya mda uzi ule uliondolewa, ila leo nimemsikia akisalimia maaskofu katoliki kwa salamu yao!
 
Back
Top Bottom