Jimmywatanzania
JF-Expert Member
- May 8, 2015
- 514
- 274
Unaweza kutaja wakuu wa mikoa wasabato na wapendekoste?Mimi sio Mdini lakini ina nipa shaka sana hali hii
1. Musiba ni msabato
2. Sabaya ni Msabato
3. Odunga ni Msabato
4. Josefu Ni msabato
5..........
Ndio maama wasabato hawapendi siasa. Maana hawaiwezi.
nothing personal