Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,928
Hivi tulichelewa wapi kumpata huyu Rais? Hakika natafakari sipati jibu. Na ninakuhakikishia Kanisa Katoliki watarejeshewa shule zao zote. Halafu muone zitajavyokarabatiwa na kufaulisha Kwa viwango. Hawa wakatoliki ni kiboko. Ni intellectuals kwelikweli.
Tunakuombea maisha marefu mama yetu.
Tunakuombea maisha marefu mama yetu.