Rais Samia akutana na Mwalimu Wake aliyemfundisha Chuo kikuu cha Mzumbe Mwaka 1983-1986

Inatusaidia nini sisi hii habari?
 
Inatusaidia nini sisi hii habari?
Inatusaidia kujuwa kuwa ukiwa juu basi usisahau na kuwasahau waliokufikisha hapo.lakini pia tujitahidi kuwatendea haki watu wote tuwapo katika sehemu zetu za kazi maana hatujui kesho watakuwa akina nani na vipi watakuwa msaada katika maisha yetu.
 
Kumbe ni jinsi unavyojiweka ukiwa Raisi
Yaani mwalimu anakimbia hivyo na kwenda kumkumbatia Rais hivyo ila walinzi hawaku panic wala kujifanya kumlinda sana na mikeke kama mtangulizi
Nakumbuka mpaka Magu aseme mwacheni tena kwa sauti lakini bado walinzi watamzunguka huyo mtu kama ana bomb
Ila kama ni wame stage nao sawa ingawa siamini sana naona ni imani tu na wananchi mama amekubali hali hiyo maana kuna maraisi waoga Africa
 
Rais wetu ni mtu wa watu na kipenzi cha watanzania.
 
hivi ulimaliza chuo kweli gentleman kwa Sup zile? dah 🐒

au hata ulivyoenda kusapua ukakamatwa tena?

ila Tatizo haiku walimu gentleman, ni wewe mwenyewe ndio ulikua issue 🐒
Huyo hawezi kusoma chuo wala kupokelewa chuo chochote kile maana hana akili kichwani.
 
Hiyo siku mtume anaongea wewe ulikuwa wapi?
 
Bado sijapata ban inakuuma sana.

Waliniambia kuwa wewe Shoger kumbe ni kweli aisee.
Si unaona unavyo ropoka ropoka.ndio maana nikasema wewe kwa akili yako hakuna chuo kinaweza kupokea.maana chuo wanakwenda watu wenye akili Timamu na wanaojitambua vyema.
 
hivi ulimaliza chuo kweli gentleman kwa Sup zile? dah 🐒

au hata ulivyoenda kusapua ukakamatwa tena?

ila Tatizo haiku walimu gentleman, ni wewe mwenyewe ndio ulikua issue 🐒
One mjinga mwingine huyu.

Mmekusanyana wote kutembelea nyota za wengine.

Hapo ulipo unategemea unitukane ili upate ujiko. Fala mzee wewe. Fanya mambo yako achana na mimi.
 
One mjinga mwingine huyu.

Mmekusanyana wote kutembelea nyota za wengine.

Hapo ulipo unategemea unitukane ili upate ujiko. Fala mzee wewe. Fanya mambo yako achana na mimi.
Hujitambui kabisa.
 
Si unaona unavyo ropoka ropoka.ndio maana nikasema wewe kwa akili yako hakuna chuo kinaweza kupokea.maana chuo wanakwenda watu wenye akili Timamu na wanaojitambua vyema.
Haha. Hapo umekaa unasubiri nipate ban ufirahi. Hopeless fellow.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…