Inawezekana ni kweli mlikuwa mnaungwa mkono kwanini badala ya kuiba KURA mkaiba mchakato wote wa uchaguziccm chini ya JPM ilikua inaungwa mkono na wananchi wengi sana, hata mngepiga kura mwaka mzima kulikua hamna namna mnashinda ule uchaguzi, mengi yalitokea lakini bado kulikua hamna namna mnashinda, CCM ya mkapa pamoja na JPM ndo ccm nlizojivunia sana kua mwana CCM, Japokua kuitoa ccm hata mkiungana vyama vyote hamtaweza kuitoa sio kwa sababu wanaiba kura ila ccm wapo wengi sana nadhan ni chama cha 8 ama 7 duniani saaahv
Lakini bado mnatumia Bunduki kuzuia watu wasifanye siasaNani ana shida na kura za machinga na nyie wapiga Domo wa mijini?
Huku Vijijini watu wanamshukuru Rais kwa barabara,madaraja,vituo vya afya ,shule nk
Ukienda Vijijini story ni tofauti na za kwenye mitandao na mijini.Hivi mtoa mada ukifuatilia logic ya Jenerali Ulimwengu aliposema alikataa kuwa DC mjini bali alitaka Wilayani,ulimielewa?
Rais hana haja ya kuhangaika Sana na nyie machinga na wapuuzi wengine wa mjini yeye ana deal na watu wa Vijijini na wanawake, watumishi na watu wanaopenda biashara na wasanii..
Haya makundi yatamfanya apite kilaini tuu 2025,hutaki acha.
Punda haendi bila mijerediLakini bado mnatumia Bunduki kuzuia watu wasifanye siasa
Mna uhakika!? Maana mchecheto wa kusema 2025 ni samia mmeanza mapema. Mpaka hapo ni wazi hamjiamini. Huyo bibi yenu atafika 2025 kachoka sana. Hana nafasi tena 2025.CCM hatujawahi kutegemea makaratasi ya kupigia kura kupata rais, mpende msipende 2025 Samia ndo rais, na kwenye chama tutaprint fomu moja tu kwa ajili ya Samia.
Yupo Madagascar kurudisha ile dawa, anadai hela yetu..Kwani Kabudi anasemaje......
Ni upuuzi tu kusema anawajengea miundombinu. Mpaka miundombinu inakamilika watakuwa wanakula nini!? Angewajengea kwanza miundombinu kama anavyodai kisha akawapange huko . Otherwise ni nonsense tu hiyo statement.Hilo ndiyo kosa lenu kubwa kuona eti Make Tanzania Great Again mnaona eti ulikuwa mpango mbaya kiasi kwamba mnamwaminisha Mama eti hao ni wafuasi wa falsafa mbaya wakati wananchi waliipenda Tanzania mpya. Na mkamdanganya Mama achome masoko (kariakoo, mwenge, mbeya etc) eti akija kujenga watu wataona kawajali wakati inajulikana mpango wa Mliomuambia wa kuwavuruga wananchi then atafute suluhisho yeye mwenyewe, juzi kasikika eti anaongea na wafadhili waje wajenge miundombinu wa machinga, yaani akope ili kujenga masoko ya machinga??? Kila machinga anamuona Mama hayupo sahihi kwa sababu tulishaambiwa na Dkt Magufuli nchi hii tajiri na hakuna haja ya kuwatoza watu tozo, ila yeye kadanganywa
Mama alidanganywa na kikundi cha kihuni cha akina MakambaNi upuuzi tu kusema anawajengea miundombinu. Mpaka miundombinu inakamilika watakuwa wanakula nini!? Angewajengea kwanza miundombinu kama anavyodai kisha akawapange huko . Otherwise ni nonsense tu hiyo statement.
Trust me bibi yangu kama wiki mbili tatu zilizopita alikuwa mjini hapa. Yaani huko watu hawampendi kabisa huyo mama. Mbaya zaidi hadi wanawake wenzie.Papara zake baada ya kuchukua kiti ndiyo zitamgarimu, na kama kweli CCM huiba kura basi ili mama abaki 2025 wajipange kuiba kweli kweli, la sivyo hali si nzuri. Kibaya zaidi mama hakubaliki hadi vijijini.
Yaani 2025 ni Samia hilo halina mjadala kabisa ni utamaduni wetu CCM kwa incubent president hashindanishwi kwenye ngwe yake ya pili.Mna uhakika!? Maana mchecheto wa kusema 2025 ni samia mmeanza mapema. Mpaka hapo ni wazi hamjiamini. Huyo bibi yenu atafika 2025 kachoka sana. Hana nafasi tena 2025.
Usisumbuke kushauri mazuzu ,mazuzu ni kenge awasikii mpaka watoke damuMimi niliuona uongozi wa Rais Samia kinabii nikauona ni uongozi unaoelekea kuanguka ila watu wasiomtakia mema walimsifu na kusema anaupiga mwingi kumbe walikuwa wanampoteza
Rais Samia kabla ya kujijenga kisiasa alitakiwa kwanza awe mtulivu atengeneze urafiki na wapiga kura wake awafariji waliofiwa walau atulie kwa muda hata wa mwaka mmoja ndipo aanze mabadiliko ndani ya serikali yake lkn hawakumshauri vizuri badala yake akaanza visasi kwa kiwango cha hali ya juu
kwa sasa anaona Pamevuja anaona nguvu ya chuki dhidi yake inaongezeka lkn it's too late
Nasisitiza kuwa, kugombea Samia 2025 ni anguko kuu la CCM
Wananchi gani unazumgumzia?Wewe mlamba makalio wa Nzilankende unabii umeupata wapi?
Mama Samia amerudisha the Rule of Law na Utawala wake unapendwa na Wananchi.
Kweni kuna,Wananchi wa aina ngapi?Wananchi gani unazumgumzia?
Inawezekana ni kweli mlikuwa mnaungwa mkono kwanini badala ya kuiba KURA mkaiba mchakato wote wa uchaguzi
Ulitaka awafariji akina nani?? Mbona watu wengine akili zenu hazifanyi kazi? Yaami Msiba wa ccm unataka kuufanya msiba wa kitaifa?Mimi niliuona uongozi wa Rais Samia kinabii nikauona ni uongozi unaoelekea kuanguka ila watu wasiomtakia mema walimsifu na kusema anaupiga mwingi kumbe walikuwa wanampoteza
Rais Samia kabla ya kujijenga kisiasa alitakiwa kwanza awe mtulivu atengeneze urafiki na wapiga kura wake awafariji waliofiwa walau atulie kwa muda hata wa mwaka mmoja ndipo aanze mabadiliko ndani ya serikali yake lkn hawakumshauri vizuri badala yake akaanza visasi kwa kiwango cha hali ya juu
kwa sasa anaona Pamevuja anaona nguvu ya chuki dhidi yake inaongezeka lkn it's too late
Nasisitiza kuwa, kugombea Samia 2025 ni anguko kuu la CCM
Basi sawa komredi endelea kutokukubaliana na mwenyekiti wetu hadi 2030 atakapotoka madarakani aaamin!
Hawa wahuni wanashangaza sana. Hakuna aliyekuwa anamuunga mkono shetani bali malaika zake tu.Inawezekana ni kweli mlikuwa mnaungwa mkono kwanini badala ya kuiba KURA mkaiba mchakato wote wa uchaguzi
Kwa kuwa wewe ni mwenye kujua Siri za Mungu....wewe utafika?!!hio 2030 sjui kama atafika