Nani ana shida na kura za machinga na nyie wapiga Domo wa mijini?
Huku Vijijini watu wanamshukuru Rais kwa barabara,madaraja,vituo vya afya ,shule nk
Ukienda Vijijini story ni tofauti na za kwenye mitandao na mijini.Hivi mtoa mada ukifuatilia logic ya Jenerali Ulimwengu aliposema alikataa kuwa DC mjini bali alitaka Wilayani,ulimielewa?
Rais hana haja ya kuhangaika Sana na nyie machinga na wapuuzi wengine wa mjini yeye ana deal na watu wa Vijijini na wanawake, watumishi na watu wanaopenda biashara na wasanii..
Haya makundi yatamfanya apite kilaini tuu 2025,hutaki acha.