Rais Samia alishiriki filamu ya Royal Tour bila kinga ya heshima ya nchi. Tunashuhudia makosa ya kudhalilisha nchi

Rais Samia alishiriki filamu ya Royal Tour bila kinga ya heshima ya nchi. Tunashuhudia makosa ya kudhalilisha nchi

Sasa mshachelewa...
Tulipaswa kupiga makelele mapema sana. Tulipowaambia ROYAL TOUR ni chambo mlitujibu kuwa anaupiga mwingi.
Ngojeni nchi ifunguke tujue mengi...!!

NB: Matajiri wanaitaka Ngorongoro. Ila madhara yake yatakuwa zaidi ya uwepo wa Masai.
Ati kuna Mwarabu alitaka kuwekeza eneo hilo wakati wa Awamu ya Tano lakini akanyimwa. Awamu hii amekubaliwa na anagharamia ujenzi wa makazi mapya ya hao Wamasai wanaohamishwa huko.

Kama ni kweli lengo lake ni kumilikishwa Hifadhi ya Ngorongoro, kwa jinsi hiyo, hakuna shaka hifadhi zote zitabinafsishwa kwa waliochangia utengenezaji wa filamu ya "Royal Tour" kwa kisingizio cha kuboresha na kuimarisha Utalii
 
Ati kuna Mwarabu alitaka kuwekeza eneo hilo wakati wa Awamu ya Tano lakini akanyimwa. Awamu hii amekubaliwa na anagharamia ujenzi wa makazi mapya ya hao Wamasai wanaohamishwa huko.

Kama ni kweli lengo lake ni kumilikishwa Hifadhi ya Ngorongoro. Kwa jinsi hiyo, hakuna shaka hifadhi zote zitabinafsishwa kwa waliochangia utengenezaji wa filamu ya "Royal Tour" kwa kisingizio cha kuboresha na kuimarisha Utalii
Acha bangi, hata kama mna chuki na mama siyo kwa viwango hivi.

Ngorongoro ni urithi wa dunia.
 
Pungu
Wa-TZ wenzangu!

Wakati wa Wikileak nilitambua walioendelea na hasa US wanatumia maafisa wa ubalozini ili kuzifahamu nchi walimo. Balozi zao zinatumika sana kuwaelewesha tabia za viongozi wetu; uwezo na udhaifu wao.

Ina maana Peter Greenberg alikuja akiwa director wa film lakini naaamini kupitia ubalozi wake alishafahamu tabia za rais wetu hadi mambo ya ndani, na ukiangalia film hii, rais alichotwa akili hadi akamuona ni rafiki kuliko hata sisi wa-TZ.

Ukiangalia Film ya Royal Tour kiutu uzima, (Siyo kama mtoto anayefurahia wanyama) inatia kichefu-chefu jinsi rais wa nchi alivyopunguziwa thamani hadi kufikia kuwa mcheza film akiwa ikulu. Walifikia hatua ya kuitana majina kama wana mahusiano ya ziada. Peter! Mama Samia!

Haya yangeondolewa wakati wa ku-edit! Nadhani yaliachwa makusudi na naamini kwa uhusiano huu Peter sasa atatumika kiurafiki kuwasiliana na rais moja kwa moja.

Kule twitter Maria Sarungi kaibua jingine nami nimethibitisha. Wamasai wanaitwa ni 'PRIMITIVE' na huyo director wa film na ikaachwa kama sehemu ya maelezo ya film ya Tanzania! Yaani tuna raia PRIMITIVE! Rais Samia anaambiwa Magufuli alipatwa na COVID anakubali, Yeah! wakati wa-TZ hatujawahi kuambiwa jambo kama hilo. Kwa nini haya yote yametokea?

Ikulu yetu haina usalama. Namaanisha watu wanaostahili kumulazimisha rais aendane na matakwa ya taifa na siyo uamuzi wake, hawapo na hawana nguvu hizo. Ina maana rais mzembe anaweza angamiza taifa. Tabia zake binafsi zinatambaa na anazungukwa na watu wa aina yake bila kizuizi.

Very, Very Sorry!
Punguza hasira.
Punguza wivu.
Subiri matokeo.
 
Mtu binafsi kivipi wakati Inatangaza utalii wa Tanzania? Watu mnadeal na vitu vidogo na kusahau kupitia movie hiyo ndio tutazidi kupromote utalii kimataifa.

Nakumbuka Movie ya Darfur ilifanya Mataifa yapate picha hasa ya kinachoendelea na tokea hapo ndio misaada ya kibanadamu ikaanza pelekwa!!
Huoni kuwa kutangaza utalii wa Tanzania kungeweza kufanywa na wizara husika na taasisi zenye uhusiano na utalii bila kumhusisha moja kwa moja mkuu wa nchi binafsi?
 
Tatizo unafanya personofication badala ya kuangalia mantiki ya hoja na nini implication yake kwa taifa letu.

Ukiangalia ile picha hata utamaduni wetu watanzania uliwekwa rehani. Imagine mtu baki anamshika Mama yetu pasi staha, kweli!

Yaani mimi nilijisikia vibaya sana kuona mtu kama mama yangu anashikwa na libaba nisilolifahamu...Kwakweli hili jambo limenisononesha mimi kama mtanzania moja, sijui wenzangu.

Lakini kuvunjika kwa koleo siyo mwisho wa uhunzi, dhamira ya Rais wetu pengine ilikuwa njema ila tu hakujua ita imply nini kwa raia...Na mimi nauliza kweli Rais wetu analindwa? Mpambe wake kwanini alikubali haya? Je inaruhusiwa mpambe kuondoka nyuma ya Mh. Rais iwe kwa namna yeyote ile?

(hapa ndo umeharibu,ulianza vizuri)mkumbuke bado hatuja pona kwenye vidonda vya Rais wetu kuaga dunia akiwa katika kazi ya urais na kwa wiki nzima haikujulikana alikuwa wapi, kisha baadaye wanaibuka watu ambao wana chuki isiyokifani tena wanakiri hadharani kuwa walikuwa wanamchukia...Hivi tunapata somo gani hapa?

Tujitafakari kama taifa!
 
Acha bangi, hata kama mna chuki na mama siyo kwa viwango hivi.

Ngorongoro ni urithi wa dunia.
Najua Ngorongoro ni Urithi wa Dunia na ndio maana wenye uwezo kifedha wanaitaka.

Kumilikishwa ni tofauti na hilo unalodhani litaathiri nafasi ya Ngorongoro katika dunia. Kwa hiyo yawezekana moja ya sababu ya kubinafsisha, kama nia ni hiyo, itakuwa kulinda Urithi huo, kwani Wamasai kuishi eneo hilo kunadaiwa kuharibu mazingira na kuhatarisha mazingira ya Ngorongoro.
 
Ni uthibitisho kuwa "Royal Tour" ni mradi wa watu binafsi kwa jina la JMT na Rais wake, ambapo taasisi nzima iliwekwa pembeni kuruhusu ubakaji huu. Nadhani alitakiwa kushauriwa kwanza kama huu mradi ilikuwa ni lazima ifanywe na kiongozi wa nchi badala ya wizara husika. Dunia inapitia kipindi kigumu sana kwa wasanii kujipenyeza kwenye siasa au kinyume chake kama ilivyo kule Ukraine.
Nadhani aliepeleka hili Wazo ndio muhusika hata wakupiga hiyo Hela manake Kampuni Haina usajiri
 
JPM mnayemuunga mkono si ndio alimchagua Samia mbona hamkupinga?? Acheni unafiki kama hamkusema cku anchaguliwa then msijitoe ufahamu sahivi.

By the way mlisema MaRais wanafanyiwa vetting na TISS na sijui Rais hachaguliwi ila anateuliwa.... Kelele zilikua nyingi kuonyesha CCM hamkosei kwenye teuzi. Vipi sasa mnalialia au mnakiri JPM aliwaachia bomu?? Na kama ni bomu kwanni mnapenda kumuona alikua perfect kwenye maamuzi yake??
Usimsingizie Jpm, Magufuri hawezi kuchagua kilaza hawe makamu wake,huyu aliletwa na akina Kikwete, Magufuri mwenyewe anakili kuwa chaguo lake lilikuwa Hussein Mwinyi,ila alizidiwa nguvu na hakina Kikwete
 
Wa-TZ wenzangu!

Wakati wa Wikileak nilitambua walioendelea na hasa US wanatumia maafisa wa ubalozini ili kuzifahamu nchi walimo. Balozi zao zinatumika sana kuwaelewesha tabia za viongozi wetu; uwezo na udhaifu wao.

Ina maana Peter Greenberg alikuja akiwa director wa film lakini naaamini kupitia ubalozi wake alishafahamu tabia za rais wetu hadi mambo ya ndani, na ukiangalia film hii, rais alichotwa akili hadi akamuona ni rafiki kuliko hata sisi wa-TZ.

Ukiangalia Film ya Royal Tour kiutu uzima, (Siyo kama mtoto anayefurahia wanyama) inatia kichefu-chefu jinsi rais wa nchi alivyopunguziwa thamani hadi kufikia kuwa mcheza film akiwa ikulu. Walifikia hatua ya kuitana majina kama wana mahusiano ya ziada. Peter! Mama Samia!

Haya yangeondolewa wakati wa ku-edit! Nadhani yaliachwa makusudi na naamini kwa uhusiano huu Peter sasa atatumika kiurafiki kuwasiliana na rais moja kwa moja.

Kule twitter Maria Sarungi kaibua jingine nami nimethibitisha. Wamasai wanaitwa ni 'PRIMITIVE' na huyo director wa film na ikaachwa kama sehemu ya maelezo ya film ya Tanzania! Yaani tuna raia PRIMITIVE! Rais Samia anaambiwa Magufuli alipatwa na COVID anakubali, Yeah! wakati wa-TZ hatujawahi kuambiwa jambo kama hilo. Kwa nini haya yote yametokea?

Ikulu yetu haina usalama. Namaanisha watu wanaostahili kumulazimisha rais aendane na matakwa ya taifa na siyo uamuzi wake, hawapo na hawana nguvu hizo. Ina maana rais mzembe anaweza angamiza taifa. Tabia zake binafsi zinatambaa na anazungukwa na watu wa aina yake bila kizuizi.

Very, Very Sorry!
aisee punguza jazba mkuu, mama anaupiga mwingi.
 
Kauli kuu " nchi haina watu wa kusimamia rais afuate matakwa ya taifa" na hawawezi kumfanya chochote
 

Mapicha picha tyuu ,sorry but in my Faith and Bealive Wemen wher not ment to be Leaders sio kanisan sio msikitini Hii kitu Impact yake in futer ni kubwa sana , mungu ibariki tanzania yangu nakupenda sana my Tz....
Mkuu, Umefanya kusudi ili tukukosoe au ndio kuandika kwako?
Bealive/ believe, Wemen/women, wher/were, ment/ meant, in futer/ in future!

Ingawaje pamoja na makosa yako ya uandishi, ila tutachopaswa kujua ni kwamba kuna wanawake kwenye vitabu vya imani (biblia) walikuwa na hekima na busara. Na wengine walikuwa jasiri mfano Debora,na waliongoza taifa.
Udhaifu wa mtu mmoja hauwezi kushusha hadhi ya wanawake wote.
Tofauti za kibaiolojia haziwezi kutumika kama kigezo cha kuwa kiongozi bora au vinginevyo.
 
Mtu binafsi kivipi wakati Inatangaza utalii wa Tanzania? Watu mnadeal na vitu vidogo na kusahau kupitia movie hiyo ndio tutazidi kupromote utalii kimataifa.

Nakumbuka Movie ya Darfur ilifanya Mataifa yapate picha hasa ya kinachoendelea na tokea hapo ndio misaada ya kibanadamu ikaanza pelekwa!!
Hivi wew kilaza lini utakuwa na akili!!???
Vijisent kidogo tu tiali ushaiuza nchi yako na ndugu zako..
Filamu ni mali ya mtu binafsi sasa raisi alicheza kama mtu binafsi au raisi!???
Hiyo hati miliki ya movie ni ya hao wafadhili au ni ya serikali!??
Kama kacheza hiyo movie ilikuwa ni sehemu ya majukumu ya raisi kwa siku 14
mbona haina hati miliki ya serikali???
Nimemaliza vilaza kama ninyi sina hamna nafasi ya kuendelea kujibizana na nami
pengine akili zitawarudi kwenye pumzi zenu za mwisho.
 
Sasa mkuu amekosea wapi kuwaita primitives? kwanini tunakua hatupendi kusikia ukweli
 
Back
Top Bottom