Rais Samia Ameiheshimisha Tanzania Kimataifa, Ushawishi Wake waviteka vyombo vyote vya Habari

Rais Samia Ameiheshimisha Tanzania Kimataifa, Ushawishi Wake waviteka vyombo vyote vya Habari

Nazani umeona faida na fursa zilizopatikana kutokana na ziara ya mh Rais China, tumesamehewa Deni la takribani billioni 31, lakini pia fursa mbalimbali za kiuchumi tumezipata zitakazo chochea secta za uvuvi,kilimo,biashara n,k
31b kati ya pesa kiasi gani wanazo tudai??na ni pesa kiasi gani wanazoondoka nazo kupitia malipo ya miradi wanayoifanya hapa nchini.??

#MaendeleoHayanaChama
 
IMG_20221101_154222.jpg
 
Ndugu zangu Rais Samia ameirejesha heshima ya Tanzania Kimataifa, Sasa Tanzania inazungumzwa na kuandikwa kwa Mazuri, Sasa kurasa za mbele za magazeti Ni juu ya fursa ambazo Tanzania imezipata kutokana na kuimarika kwa diplomasia yetu ya kiuchumi iliyoimarishwa na Rais Samia,Sasa Tanzania inagonga vichwa vya habari kwa Mazuri, Sasa Tanzania ipo msitari wa mbele katika unufaikaji wa fursa mbalimbali za kiuchumi kimataifa ,

Sasa Tanzania haisimangwi Wala kuchafuliwa katika vyombo vya habari au Taasisi za kimataifa, Sasa hakuna mabarua au mataarifa ya kuilaani Tanzania juu ya ukandamizaji wa haki za binadamu, Hakuna maonyo na matahadhari ya kuwekewa vikwazo na jumuiya au Taasisi za kimataifa, Hakuna mwanaharakati anayekwenda Taasisi za kimataifa kutaka Tanzania itengwe au kuwekewa vikwazo vya kiuchumi, Sasa kila mtu anaipenda na kuikubali Tanzania kwa namna inavyozingatia misingi ya utawala Bora na Sheria katika kuongoza nchi

Sasa kila Taasisi ya kimataifa imerejesha Imani kwa Tanzania,Sasa Tanzania imekuwa Kama funguo yenye uwezo wa kufungua kila kufuri, Sasa Tanzania inaaminika na kila Taasisi na kila nchi na kila kiongozi anatamani kushirikiana na Tanzania katika nyanja tofauti tofauti, Sasa Jina Tanzania unaweza pokelea Msamaha , Sasa Tanzania imekuwa kivutio Cha watalii na wawekezaji wakubwa, Sasa makampuni na wafanyabiashara wakubwa wanatafuta fursa za kuwekeza Tanzania, Sasa Biashara zinaongezeka badala ya kupungua, Sasa watanzania wanaheshimika ,kupokelewa vizuri na kukubalika popote waendapo,

Hakika ushawishi wa Tanzania Chini ya uongozi wa Rais Samia umekuwa mkubwa Sana na umeipatia heshima kubwa Sana Tanzania kimataifa, Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia na kutumia fursa hii ya kuimarika kwa diplomasia yetu ya uchumi inayosimamiwa na kuongozwa na Mama Samia katika kuinuka kiuchumi

Kazi iendeleee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Rais Samia Suluhu kuusu kuimarisha diplomasia ni moto wa kuotea mbali aisee watanzania wote tunamuelewa sana mama maana anafanya mambo makubwa sana ndani ya muda mchache
 
Kaiheshimisha nchi kwa kuwa Sasa Tanzania imechukua nafasi take Kama nchi huru, inasikilizwa na kuaminika na ndio maana unaona ikipunguziwa na kusamehewa baadhi ya madeni take, huo Ni ushawishi mkubwa sana
Kweli kabisa Rais Samia Suluhu ameirejesha nchi kwenye mstari maana haya mambo tulisahau kabisa
 
Mimi silipwi kuandika hapa Bali naandika ukweli nao uona katika uongozi wa Rais Samia
Yah right.

Some of us have been here for ages. We can easily tell what is real and what is fake. Keep on with your propaganda. It's your leaving anyway.
 
Ndugu zangu Rais Samia ameirejesha heshima ya Tanzania Kimataifa, Sasa Tanzania inazungumzwa na kuandikwa kwa Mazuri, Sasa kurasa za mbele za magazeti Ni juu ya fursa ambazo Tanzania imezipata kutokana na kuimarika kwa diplomasia yetu ya kiuchumi iliyoimarishwa na Rais Samia,Sasa Tanzania inagonga vichwa vya habari kwa Mazuri, Sasa Tanzania ipo msitari wa mbele katika unufaikaji wa fursa mbalimbali za kiuchumi kimataifa ,

Sasa Tanzania haisimangwi Wala kuchafuliwa katika vyombo vya habari au Taasisi za kimataifa, Sasa hakuna mabarua au mataarifa ya kuilaani Tanzania juu ya ukandamizaji wa haki za binadamu, Hakuna maonyo na matahadhari ya kuwekewa vikwazo na jumuiya au Taasisi za kimataifa, Hakuna mwanaharakati anayekwenda Taasisi za kimataifa kutaka Tanzania itengwe au kuwekewa vikwazo vya kiuchumi, Sasa kila mtu anaipenda na kuikubali Tanzania kwa namna inavyozingatia misingi ya utawala Bora na Sheria katika kuongoza nchi

Sasa kila Taasisi ya kimataifa imerejesha Imani kwa Tanzania,Sasa Tanzania imekuwa Kama funguo yenye uwezo wa kufungua kila kufuri, Sasa Tanzania inaaminika na kila Taasisi na kila nchi na kila kiongozi anatamani kushirikiana na Tanzania katika nyanja tofauti tofauti, Sasa Jina Tanzania unaweza pokelea Msamaha , Sasa Tanzania imekuwa kivutio Cha watalii na wawekezaji wakubwa, Sasa makampuni na wafanyabiashara wakubwa wanatafuta fursa za kuwekeza Tanzania, Sasa Biashara zinaongezeka badala ya kupungua, Sasa watanzania wanaheshimika ,kupokelewa vizuri na kukubalika popote waendapo,

Hakika ushawishi wa Tanzania Chini ya uongozi wa Rais Samia umekuwa mkubwa Sana na umeipatia heshima kubwa Sana Tanzania kimataifa, Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia na kutumia fursa hii ya kuimarika kwa diplomasia yetu ya uchumi inayosimamiwa na kuongozwa na Mama Samia katika kuinuka kiuchumi

Kazi iendeleee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu

Sina Shida kabisa na Rais wangu mpendwa. Shida yangu ni wewe Kama mpaka leo ukiona nchi ya Africa inaandikwa vizuri na wazungu unadhani ndo sifa. Usipogusa maslahi yao hawana Shida Ila siku Zote wana ajenda za Siri. Uchumi ndo msingi wa mahusiano yoyote. It’s never a win win situation. Mzalendo fake.
 
Kaiheshimisha nchi kwa kuwa Sasa Tanzania imechukua nafasi take Kama nchi huru, inasikilizwa na kuaminika na ndio maana unaona ikipunguziwa na kusamehewa baadhi ya madeni take, huo Ni ushawishi mkubwa sana

Ila mkuu akili yako ni Sawa kweli? Narudia naipenda nchi yangu na nampenda mama yetu.
 
Ndugu zangu Rais Samia ameirejesha heshima ya Tanzania Kimataifa, Sasa Tanzania inazungumzwa na kuandikwa kwa Mazuri, Sasa kurasa za mbele za magazeti Ni juu ya fursa ambazo Tanzania imezipata kutokana na kuimarika kwa diplomasia yetu ya kiuchumi iliyoimarishwa na Rais Samia,Sasa Tanzania inagonga vichwa vya habari kwa Mazuri, Sasa Tanzania ipo msitari wa mbele katika unufaikaji wa fursa mbalimbali za kiuchumi kimataifa ,

Sasa Tanzania haisimangwi Wala kuchafuliwa katika vyombo vya habari au Taasisi za kimataifa, Sasa hakuna mabarua au mataarifa ya kuilaani Tanzania juu ya ukandamizaji wa haki za binadamu, Hakuna maonyo na matahadhari ya kuwekewa vikwazo na jumuiya au Taasisi za kimataifa, Hakuna mwanaharakati anayekwenda Taasisi za kimataifa kutaka Tanzania itengwe au kuwekewa vikwazo vya kiuchumi, Sasa kila mtu anaipenda na kuikubali Tanzania kwa namna inavyozingatia misingi ya utawala Bora na Sheria katika kuongoza nchi

Sasa kila Taasisi ya kimataifa imerejesha Imani kwa Tanzania,Sasa Tanzania imekuwa Kama funguo yenye uwezo wa kufungua kila kufuri, Sasa Tanzania inaaminika na kila Taasisi na kila nchi na kila kiongozi anatamani kushirikiana na Tanzania katika nyanja tofauti tofauti, Sasa Jina Tanzania unaweza pokelea Msamaha , Sasa Tanzania imekuwa kivutio Cha watalii na wawekezaji wakubwa, Sasa makampuni na wafanyabiashara wakubwa wanatafuta fursa za kuwekeza Tanzania, Sasa Biashara zinaongezeka badala ya kupungua, Sasa watanzania wanaheshimika ,kupokelewa vizuri na kukubalika popote waendapo,

Hakika ushawishi wa Tanzania Chini ya uongozi wa Rais Samia umekuwa mkubwa Sana na umeipatia heshima kubwa Sana Tanzania kimataifa, Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia na kutumia fursa hii ya kuimarika kwa diplomasia yetu ya uchumi inayosimamiwa na kuongozwa na Mama Samia katika kuinuka kiuchumi

Kazi iendeleee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Wimbo WA Ney kuhusu Tozo ulifutwa , Uhuru WA kutoa maoni uko wap
 
Ndugu zangu Rais Samia ameirejesha heshima ya Tanzania Kimataifa, Sasa Tanzania inazungumzwa na kuandikwa kwa Mazuri, Sasa kurasa za mbele za magazeti Ni juu ya fursa ambazo Tanzania imezipata kutokana na kuimarika kwa diplomasia yetu ya kiuchumi iliyoimarishwa na Rais Samia,Sasa Tanzania inagonga vichwa vya habari kwa Mazuri, Sasa Tanzania ipo msitari wa mbele katika unufaikaji wa fursa mbalimbali za kiuchumi kimataifa ,

Sasa Tanzania haisimangwi Wala kuchafuliwa katika vyombo vya habari au Taasisi za kimataifa, Sasa hakuna mabarua au mataarifa ya kuilaani Tanzania juu ya ukandamizaji wa haki za binadamu, Hakuna maonyo na matahadhari ya kuwekewa vikwazo na jumuiya au Taasisi za kimataifa, Hakuna mwanaharakati anayekwenda Taasisi za kimataifa kutaka Tanzania itengwe au kuwekewa vikwazo vya kiuchumi, Sasa kila mtu anaipenda na kuikubali Tanzania kwa namna inavyozingatia misingi ya utawala Bora na Sheria katika kuongoza nchi

Sasa kila Taasisi ya kimataifa imerejesha Imani kwa Tanzania,Sasa Tanzania imekuwa Kama funguo yenye uwezo wa kufungua kila kufuri, Sasa Tanzania inaaminika na kila Taasisi na kila nchi na kila kiongozi anatamani kushirikiana na Tanzania katika nyanja tofauti tofauti, Sasa Jina Tanzania unaweza pokelea Msamaha , Sasa Tanzania imekuwa kivutio Cha watalii na wawekezaji wakubwa, Sasa makampuni na wafanyabiashara wakubwa wanatafuta fursa za kuwekeza Tanzania, Sasa Biashara zinaongezeka badala ya kupungua, Sasa watanzania wanaheshimika ,kupokelewa vizuri na kukubalika popote waendapo,

Hakika ushawishi wa Tanzania Chini ya uongozi wa Rais Samia umekuwa mkubwa Sana na umeipatia heshima kubwa Sana Tanzania kimataifa, Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia na kutumia fursa hii ya kuimarika kwa diplomasia yetu ya uchumi inayosimamiwa na kuongozwa na Mama Samia katika kuinuka kiuchumi

Kazi iendeleee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Wewe ni chawa mpuuzi sana!
 
CHAWA ON DUTY
Ndugu zangu Rais Samia ameirejesha heshima ya Tanzania Kimataifa, Sasa Tanzania inazungumzwa na kuandikwa kwa Mazuri, Sasa kurasa za mbele za magazeti Ni juu ya fursa ambazo Tanzania imezipata kutokana na kuimarika kwa diplomasia yetu ya kiuchumi iliyoimarishwa na Rais Samia,Sasa Tanzania inagonga vichwa vya habari kwa Mazuri, Sasa Tanzania ipo msitari wa mbele katika unufaikaji wa fursa mbalimbali za kiuchumi kimataifa ,

Sasa Tanzania haisimangwi Wala kuchafuliwa katika vyombo vya habari au Taasisi za kimataifa, Sasa hakuna mabarua au mataarifa ya kuilaani Tanzania juu ya ukandamizaji wa haki za binadamu, Hakuna maonyo na matahadhari ya kuwekewa vikwazo na jumuiya au Taasisi za kimataifa, Hakuna mwanaharakati anayekwenda Taasisi za kimataifa kutaka Tanzania itengwe au kuwekewa vikwazo vya kiuchumi, Sasa kila mtu anaipenda na kuikubali Tanzania kwa namna inavyozingatia misingi ya utawala Bora na Sheria katika kuongoza nchi

Sasa kila Taasisi ya kimataifa imerejesha Imani kwa Tanzania,Sasa Tanzania imekuwa Kama funguo yenye uwezo wa kufungua kila kufuri, Sasa Tanzania inaaminika na kila Taasisi na kila nchi na kila kiongozi anatamani kushirikiana na Tanzania katika nyanja tofauti tofauti, Sasa Jina Tanzania unaweza pokelea Msamaha , Sasa Tanzania imekuwa kivutio Cha watalii na wawekezaji wakubwa, Sasa makampuni na wafanyabiashara wakubwa wanatafuta fursa za kuwekeza Tanzania, Sasa Biashara zinaongezeka badala ya kupungua, Sasa watanzania wanaheshimika ,kupokelewa vizuri na kukubalika popote waendapo,

Hakika ushawishi wa Tanzania Chini ya uongozi wa Rais Samia umekuwa mkubwa Sana na umeipatia heshima kubwa Sana Tanzania kimataifa, Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia na kutumia fursa hii ya kuimarika kwa diplomasia yetu ya uchumi inayosimamiwa na kuongozwa na Mama Samia katika kuinuka kiuchumi

Kazi iendeleee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
 
31b kati ya pesa kiasi gani wanazo tudai??na ni pesa kiasi gani wanazoondoka nazo kupitia malipo ya miradi wanayoifanya hapa nchini.??

#MaendeleoHayanaChama
Walikuwa na Haki ya kulipwa kiasi chote tulichokuwa tunadaiwa bila kupunguza hata Senti moja, kwa hiyo kupunguza kiasi hicho Kama msamaha sisi Tunashukuru maana Ni kitendo kinachoonyesha Imani kwetu na Nia ya Kuendelea kushirikiana, kwani fedha hizi zitatusaidia katika miradi ya maendeleo hapa nchini itakayo saidia katika mzunguko wa fedha,

Pia kusema wanaondoka na pesa Ni Haki yai na siyo Tanzania tu Bali Ni popote pale mtu anakuwa na haki ya kulipwa stahiki yake, kwa hiyo hatuwezi kusema hatutaki kutoa pesa nje wakati huo huo tunataka miradi,hiyo haiwezekani popote ,
 
Wimbo WA Ney kuhusu Tozo ulifutwa , Uhuru WA kutoa maoni uko wap
Uhuru una mipaka yake inayosimamiwa na Sheria, kanuni taratibu na miongozo mbalimbali, huwezi ukatumia Uhuru wako kutukana au kudhalilisha wengine halafu ukasema huo ndio Uhuru
 
Back
Top Bottom