Emmanuel Methusela
Member
- Sep 22, 2018
- 6
- 6
Weka picha ya hayo magazeti Kama uthibitisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe Ni chawa wa Nani anayekutuma hapa kupinga pinga kila kitu? Maana naona akili yako na mawazo yako yanafikiri na kuwaza kuwa kila mtu anayeandika hapa analipwa Kama wewe unavyolipwa kupinga pinga kila kitu hapaUmelipwa na utalipwa bahati mbaya viwango vyako vya uchawa vipo chini sana.
Weka Basi huo ushahidi na ukweli wakoIfike Hatua Uone Aibu Maana Ukweli Haujifichi
Upuuzi mtupu,unajua mikataba aliyoingia huko china?Swala kwamba wachina wote walioshitakiwa hapa bongo waachiliwe,tufungue milango zaidi wachina waje kuwekeza,ndio sharti la kusamehewa bilioni 34!!!! Kweli!! Mama anatumia bilioni 300 kwenye safari,tunatumia bilioni 341,zingine kununua magari,harafu tunauza nchi kwa ajiri ya bilioni 34!!Ndugu zangu Rais Samia ameirejesha heshima ya Tanzania Kimataifa, Sasa Tanzania inazungumzwa na kuandikwa kwa Mazuri, Sasa kurasa za mbele za magazeti Ni juu ya fursa ambazo Tanzania imezipata kutokana na kuimarika kwa diplomasia yetu ya kiuchumi iliyoimarishwa na Rais Samia,Sasa Tanzania inagonga vichwa vya habari kwa Mazuri, Sasa Tanzania ipo msitari wa mbele katika unufaikaji wa fursa mbalimbali za kiuchumi kimataifa ,
Sasa Tanzania haisimangwi Wala kuchafuliwa katika vyombo vya habari au Taasisi za kimataifa, Sasa hakuna mabarua au mataarifa ya kuilaani Tanzania juu ya ukandamizaji wa haki za binadamu, Hakuna maonyo na matahadhari ya kuwekewa vikwazo na jumuiya au Taasisi za kimataifa, Hakuna mwanaharakati anayekwenda Taasisi za kimataifa kutaka Tanzania itengwe au kuwekewa vikwazo vya kiuchumi, Sasa kila mtu anaipenda na kuikubali Tanzania kwa namna inavyozingatia misingi ya utawala Bora na Sheria katika kuongoza nchi
Sasa kila Taasisi ya kimataifa imerejesha Imani kwa Tanzania,Sasa Tanzania imekuwa Kama funguo yenye uwezo wa kufungua kila kufuri, Sasa Tanzania inaaminika na kila Taasisi na kila nchi na kila kiongozi anatamani kushirikiana na Tanzania katika nyanja tofauti tofauti, Sasa Jina Tanzania unaweza pokelea Msamaha , Sasa Tanzania imekuwa kivutio Cha watalii na wawekezaji wakubwa, Sasa makampuni na wafanyabiashara wakubwa wanatafuta fursa za kuwekeza Tanzania, Sasa Biashara zinaongezeka badala ya kupungua, Sasa watanzania wanaheshimika ,kupokelewa vizuri na kukubalika popote waendapo,
Hakika ushawishi wa Tanzania Chini ya uongozi wa Rais Samia umekuwa mkubwa Sana na umeipatia heshima kubwa Sana Tanzania kimataifa, Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia na kutumia fursa hii ya kuimarika kwa diplomasia yetu ya uchumi inayosimamiwa na kuongozwa na Mama Samia katika kuinuka kiuchumi
Kazi iendeleee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Jioni kachukue malipo yako LumumbaKwani wewe Ni chawa wa Nani anayekutuma hapa kupinga pinga kila kitu? Maana naona akili yako na mawazo yako yanafikiri na kuwaza kuwa kila mtu anayeandika hapa analipwa Kama wewe unavyolipwa kupinga pinga kila kitu hapa
Nchi ngapi zinabadilishana wafungwa? Nchi ngapi huwa zinawaachia wafungwa wa nchi flan kwa makubaliano flani? Nchi ngapi huwa zinafanya makubaliano juu ya wafungwa wao ? Mwaka Jana tu hapa si tuliwasamehe na kuhitaji wafungwa Wa Ethiopia warudishwe kwao pale alipokuja Rais wao kuonana na Hayati Dr Magufuli? Acha mawazo finyu na kuonyesha upeo mdogo katika masuala ya kimataifa,Upuuzi mtupu,unajua mikataba aliyoingia huko china?Swala kwamba wachina wote walioshitakiwa hapa bongo waachiliwe,tufungue milango zaidi wachina waje kuwekeza,ndio sharti la kusamehewa bilioni 34!!!! Kweli!! Mama anatumia bilioni 300 kwenye safari,tunatumia bilioni 341,zingine kununua magari,harafu tunauza nchi kwa ajiri ya bilioni 34!!
Hapa wale wadogo zangu mnaofanya kazi kwa mchina,mtashikwa mpaka makalio na hamtafsnya kitu,mchina huwezi kumshitaki!!
Lakini Bora mchina,kuliko Arabs,ambao mama ameanza kuwakaribisha kila Kona,it's totally fucked up.
Silipwagi kuandika hapa Mimi Bali Ni uzalendo wangu unaonifanya kufanya hivyoJioni kachukue malipo yako Lumumba
Kama umeweza kuingia humu naamini ukitaka hayo magazeti unayapata tu bila shida yoyote ileWeka picha ya hayo magazeti Kama uthibitisho