Rais Samia Ameiheshimisha Tanzania Kimataifa, Ushawishi Wake waviteka vyombo vyote vya Habari

Rais Samia Ameiheshimisha Tanzania Kimataifa, Ushawishi Wake waviteka vyombo vyote vya Habari

Umelipwa na utalipwa bahati mbaya viwango vyako vya uchawa vipo chini sana.
Kwani wewe Ni chawa wa Nani anayekutuma hapa kupinga pinga kila kitu? Maana naona akili yako na mawazo yako yanafikiri na kuwaza kuwa kila mtu anayeandika hapa analipwa Kama wewe unavyolipwa kupinga pinga kila kitu hapa
 
Ndugu zangu Rais Samia ameirejesha heshima ya Tanzania Kimataifa, Sasa Tanzania inazungumzwa na kuandikwa kwa Mazuri, Sasa kurasa za mbele za magazeti Ni juu ya fursa ambazo Tanzania imezipata kutokana na kuimarika kwa diplomasia yetu ya kiuchumi iliyoimarishwa na Rais Samia,Sasa Tanzania inagonga vichwa vya habari kwa Mazuri, Sasa Tanzania ipo msitari wa mbele katika unufaikaji wa fursa mbalimbali za kiuchumi kimataifa ,

Sasa Tanzania haisimangwi Wala kuchafuliwa katika vyombo vya habari au Taasisi za kimataifa, Sasa hakuna mabarua au mataarifa ya kuilaani Tanzania juu ya ukandamizaji wa haki za binadamu, Hakuna maonyo na matahadhari ya kuwekewa vikwazo na jumuiya au Taasisi za kimataifa, Hakuna mwanaharakati anayekwenda Taasisi za kimataifa kutaka Tanzania itengwe au kuwekewa vikwazo vya kiuchumi, Sasa kila mtu anaipenda na kuikubali Tanzania kwa namna inavyozingatia misingi ya utawala Bora na Sheria katika kuongoza nchi

Sasa kila Taasisi ya kimataifa imerejesha Imani kwa Tanzania,Sasa Tanzania imekuwa Kama funguo yenye uwezo wa kufungua kila kufuri, Sasa Tanzania inaaminika na kila Taasisi na kila nchi na kila kiongozi anatamani kushirikiana na Tanzania katika nyanja tofauti tofauti, Sasa Jina Tanzania unaweza pokelea Msamaha , Sasa Tanzania imekuwa kivutio Cha watalii na wawekezaji wakubwa, Sasa makampuni na wafanyabiashara wakubwa wanatafuta fursa za kuwekeza Tanzania, Sasa Biashara zinaongezeka badala ya kupungua, Sasa watanzania wanaheshimika ,kupokelewa vizuri na kukubalika popote waendapo,

Hakika ushawishi wa Tanzania Chini ya uongozi wa Rais Samia umekuwa mkubwa Sana na umeipatia heshima kubwa Sana Tanzania kimataifa, Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia na kutumia fursa hii ya kuimarika kwa diplomasia yetu ya uchumi inayosimamiwa na kuongozwa na Mama Samia katika kuinuka kiuchumi

Kazi iendeleee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Upuuzi mtupu,unajua mikataba aliyoingia huko china?Swala kwamba wachina wote walioshitakiwa hapa bongo waachiliwe,tufungue milango zaidi wachina waje kuwekeza,ndio sharti la kusamehewa bilioni 34!!!! Kweli!! Mama anatumia bilioni 300 kwenye safari,tunatumia bilioni 341,zingine kununua magari,harafu tunauza nchi kwa ajiri ya bilioni 34!!
Hapa wale wadogo zangu mnaofanya kazi kwa mchina,mtashikwa mpaka makalio na hamtafsnya kitu,mchina huwezi kumshitaki!!
Lakini Bora mchina,kuliko Arabs,ambao mama ameanza kuwakaribisha kila Kona,it's totally fucked up.
 
Kwani wewe Ni chawa wa Nani anayekutuma hapa kupinga pinga kila kitu? Maana naona akili yako na mawazo yako yanafikiri na kuwaza kuwa kila mtu anayeandika hapa analipwa Kama wewe unavyolipwa kupinga pinga kila kitu hapa
Jioni kachukue malipo yako Lumumba
 
Upuuzi mtupu,unajua mikataba aliyoingia huko china?Swala kwamba wachina wote walioshitakiwa hapa bongo waachiliwe,tufungue milango zaidi wachina waje kuwekeza,ndio sharti la kusamehewa bilioni 34!!!! Kweli!! Mama anatumia bilioni 300 kwenye safari,tunatumia bilioni 341,zingine kununua magari,harafu tunauza nchi kwa ajiri ya bilioni 34!!
Hapa wale wadogo zangu mnaofanya kazi kwa mchina,mtashikwa mpaka makalio na hamtafsnya kitu,mchina huwezi kumshitaki!!
Lakini Bora mchina,kuliko Arabs,ambao mama ameanza kuwakaribisha kila Kona,it's totally fucked up.
Nchi ngapi zinabadilishana wafungwa? Nchi ngapi huwa zinawaachia wafungwa wa nchi flan kwa makubaliano flani? Nchi ngapi huwa zinafanya makubaliano juu ya wafungwa wao ? Mwaka Jana tu hapa si tuliwasamehe na kuhitaji wafungwa Wa Ethiopia warudishwe kwao pale alipokuja Rais wao kuonana na Hayati Dr Magufuli? Acha mawazo finyu na kuonyesha upeo mdogo katika masuala ya kimataifa,

Pili naona umeandika uongo uongo mwingi Sana hapa, embu Weka huo ushahidi wako wa kutumika kiasi hicho Cha fedha katika ziara na safari za Rais wetu mpendwa ,siyo kuandika kwa kujifurahisha tu hapa utafikiri unazungumza na watoto wa shule ya msingi wasioelewa kitu chochote
 
Back
Top Bottom