Rais Samia Ameiheshimisha Tanzania Kimataifa, Ushawishi Wake waviteka vyombo vyote vya Habari

Rais Samia Ameiheshimisha Tanzania Kimataifa, Ushawishi Wake waviteka vyombo vyote vya Habari

Tanzania Ni imara kuliko wakati mwingine wowote na inasonga mbele na kuimarika kiuchumi kila Siku iendayo kwa Mwenyezi Mungu na kila siku Kuna mtanzania na watanzania wanaoinuka kiuchumi na kuanza kupata Milo mitatu mezani pao
Kuna wakati unatakiwa kujifunza kwa wengne pia, kla mtu anaviews zake and you can't change that, and ofcourse you can be wrong tu sio dhambi mkuu
 
Kuna wakati unatakiwa kujifunza kwa wengne pia, kla mtu anaviews zake and you can't change that, and ofcourse you can be wrong tu sio dhambi mkuu
Ndio mkuu Tuendelee kukosoana kwa hoja hata Kama tunatofautiana Tusikubali kuvunjiana heshima kwa lugha za matusi, wote lengo letu Ni kuijenga nchi yetu na kutaka kuona ikisonga mbele zaidi
 
Sina Shida kabisa na Rais wangu mpendwa. Shida yangu ni wewe Kama mpaka leo ukiona nchi ya Africa inaandikwa vizuri na wazungu unadhani ndo sifa. Usipogusa maslahi yao hawana Shida Ila siku Zote wana ajenda za Siri. Uchumi ndo msingi wa mahusiano yoyote. It’s never a win win situation. Mzalendo fake.
Swali Ni je hayo wanayoandika Ni ya uongo? Kwa hiyo hutaki tupongezwe tukifanya vizuri?
 
Ndugu zangu Rais Samia ameirejesha heshima ya Tanzania Kimataifa, Sasa Tanzania inazungumzwa na kuandikwa kwa Mazuri, Sasa kurasa za mbele za magazeti Ni juu ya fursa ambazo Tanzania imezipata kutokana na kuimarika kwa diplomasia yetu ya kiuchumi iliyoimarishwa na Rais Samia,Sasa Tanzania inagonga vichwa vya habari kwa Mazuri, Sasa Tanzania ipo msitari wa mbele katika unufaikaji wa fursa mbalimbali za kiuchumi kimataifa ,

Sasa Tanzania haisimangwi Wala kuchafuliwa katika vyombo vya habari au Taasisi za kimataifa, Sasa hakuna mabarua au mataarifa ya kuilaani Tanzania juu ya ukandamizaji wa haki za binadamu, Hakuna maonyo na matahadhari ya kuwekewa vikwazo na jumuiya au Taasisi za kimataifa, Hakuna mwanaharakati anayekwenda Taasisi za kimataifa kutaka Tanzania itengwe au kuwekewa vikwazo vya kiuchumi, Sasa kila mtu anaipenda na kuikubali Tanzania kwa namna inavyozingatia misingi ya utawala Bora na Sheria katika kuongoza nchi

Sasa kila Taasisi ya kimataifa imerejesha Imani kwa Tanzania,Sasa Tanzania imekuwa Kama funguo yenye uwezo wa kufungua kila kufuri, Sasa Tanzania inaaminika na kila Taasisi na kila nchi na kila kiongozi anatamani kushirikiana na Tanzania katika nyanja tofauti tofauti, Sasa Jina Tanzania unaweza pokelea Msamaha , Sasa Tanzania imekuwa kivutio Cha watalii na wawekezaji wakubwa, Sasa makampuni na wafanyabiashara wakubwa wanatafuta fursa za kuwekeza Tanzania, Sasa Biashara zinaongezeka badala ya kupungua, Sasa watanzania wanaheshimika ,kupokelewa vizuri na kukubalika popote waendapo,

Hakika ushawishi wa Tanzania Chini ya uongozi wa Rais Samia umekuwa mkubwa Sana na umeipatia heshima kubwa Sana Tanzania kimataifa, Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia na kutumia fursa hii ya kuimarika kwa diplomasia yetu ya uchumi inayosimamiwa na kuongozwa na Mama Samia katika kuinuka kiuchumi

Kazi iendeleee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Wewe ni walewale hamna lolote!
Jitahidi kutunza Maneno yako haya !
IMG-20221104-WA0008.jpg
 
Uhuru una mipaka yake inayosimamiwa na Sheria, kanuni taratibu na miongozo mbalimbali, huwezi ukatumia Uhuru wako kutukana au kudhalilisha wengine halafu ukasema huo ndio Uhuru
Kwenye ule wimbo alimtukana ?
 
Tatizo lako hujui kuwa humu kuna watu wana akili na elimu yao. Hayo kayasememe kwenye vijiwe vya bao huko tandika
Anadhani ana discuss na watoto wa chekechea akiwaambia sema "a" wana itikia tu "a"...Hajui huku ni JF kila kitu kinahojiwa, kinachunguzwa kwa kina, Na kinapingwa kwa Hoja hata awe Yesu ,mtume hadi Muumba.
 
Anadhani ana discuss na watoto wa chekechea akiwaambia sema "a" wana itikia tu "a"...Hajui huku ni JF kila kitu kinahojiwa, kinachunguzwa kwa kina, Na kinapingwa kwa Hoja hata awe Yesu ,mtume hadi Muumba.
Leta Basi hoja yako ili ujibiwe kwa hoja
 
Hivi wachina na nchi za magharibi wakitussmehe madeni wao wanapata nini?
Maana nawaza kwamba Kodi za wananchi wao wanaweza vipi kusamehe bila maslahi yoyote kabisa?
 
Hivi wachina na nchi za magharibi wakitussmehe madeni wao wanapata nini?
Maana nawaza kwamba Kodi za wananchi wao wanaweza vipi kusamehe bila maslahi yoyote kabisa?
Kwani misaada tunayopokeaga kutoka marekani na ulaya huwa siyo za walipa Kodi?
 
Back
Top Bottom