Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Mwelekeo mzuri kwa ustawi wa taifa letu.Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh. John Mnyika ametoa taarifa kuwa Rais Samia amekubali ombi la Mh Mbowe kukutana naye katika tarehe itakayopangwa baadaye.
Angalau tupongeze kwa hili.