Rais Samia amekubali ombi la kukutana na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe

Rais Samia amekubali ombi la kukutana na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe

Akaongee vitu vya maana.aachane na akina mdee..
Azungumzie tume huru n.k
 
Na kweli maana nitakuwa nimejishusha kwa kujilinganisha na mtu ambaye anafurahia watu wengine kwenda kunywa chai Ikulu.

Halafu sasa itakuaje maana rais si atakuwa amefunga sasa hao makobe watapewa chai hivyo hivyo au ndio wataenda kunywa chai jioni.
Corona inatisha sana jamani
 
Akaongee vitu vya maana.aachane na akina mdee..
Azungumzie tume huru n.k
Hao kina Mdee habari zao zimeahakwisha maana hata wana ccm wenyewe pale bungeni wanawakataa kama ukoma
 
Huu ni ushindi kwa Watanzania wote dhidi ya ukandamizaji tuliouona kwenye Awamu ya 5 ya Mwendazake.

Mwendazake alikuwa anatamani hata kubadili Katiba kwenye Ibara ya vyama vya Siasa ili visiwepo kabisa. Mwendazake alikuwa anawashambikia kwa risasi kama alivyomfanyia Tundu Lissu au kama alivyobomoa Bilicanas hotel and casino.

Ushauri:
Vyama vya upinzani viitumie fursa hii kwa hekima na busara na siyo kuonyesha kiburi kwa kuwa tu Rais SSH anatoka kwenye Chama kilicho kandamiza upinzani. Tusiiharibu fursa hii kwa ajili ya kuleta mazingira ya Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi
Well Noted
 
Lazima tuelewe,Bimkubwa kukubali kukutana na taasisi hiyo jambo LA kheri,..heri hiyo isiharibu kabisa matokeo taasisi itambua kukubaliwa nijingine kufanyiwa kazi yatokanayo na mazungumzo nijambo jingine na litakua jipya.....

Hongera mama umeaza vizuri nakimbunga kimeishiwa nguvu kilivokaribia mipakani mwa nchi....

Sijui mama yetu atakua anasikilizaga nyimbo gani akiwa kwenye gari(itakua raggae sijui ,mana ningumu kuwaita hawa wana anga
 
Leadership style yake sawa sawa JK .....safii Mama SSH
Tafadhari msipende kufananisha na MTU ....mama shabiki wamziki wa raggae mambo ya upatanishi kwake nikawaida.kikubwa umshawishi yaani jenga hojaa.
 
Safi sana aende akaunge hoja mkono ilani ipate support.

Ujuaji hauta wasaidi ifike mahali mtulie kazi iendelee bila makelele tayari tupo kwenye uchuni wa kati tuungane wote tuwe kama chama kimojatu tujenge nchiyetu.

Kuchongeana MIGA ni ujingatu.
 
Sawa tunaimani Mbowe ataenda na nondo zilizoshiba kwa maslahi mapana ya Demokrasia
Siyo maslahi ya watanzania tena katika kujihakikishia wanajikomboa kikweli kweli kwenye ukoloni wa kiuchumi na kiteknolojia bali "demokrasia". Aisee, nadhani baadhi yetu hatujajua tunataka Tanzania iwe ya namna gani. Hili ni tatizo, linatakiwa kutatuliwa.
 
Safi sana aende tu akaunge hoja mkono kazi iendelee bila makelele.

Tayari tupo kwenye uchumi wa kati tuungane pamoja tuwe kama chama kimoja tu, tujenge nchi yetu.

Maendeleo hayana chama.

Kuchongeana MIGA niujinga.
 
Back
Top Bottom