Rais Samia amekubali ombi la kukutana na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe

Rais Samia amekubali ombi la kukutana na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe

Sawa tunaimani Mbowe ataenda na nondo zilizoshiba kwa maslahi mapana ya Demokrasia
Hakuna maslahi ya demokrasia wala nini, wewe Wanasiasa bado hujawafaham vizuri.


Mbowe atataka arudishiwe mali zake zote pamoja na hasara alizosababishiwa na utawala wa mwendazake. Demokrasia ni geresha tu kwa sasa
 
Hakuna maslahi ya demokrasia wala nini, wewe Wanasiasa bado hujawafaham vizuri.


Mbowe atataka arudishiwe mali zake zote pamoja na hasara alizosababishiwa na utawala wa mwendazake. Demokrasia ni geresha tu kwa sasa
Kurudishiwa mali zake na kulipwa gaharama hiyo pia ni demokrasia iliyo porwa na jiwe.
 
Hakuna jipya hapo, wanaenda kuzubaishwa tu na yale macho malegevu.

Kuitwa halafu madai yako yasifanyiwe kazi na kutokuitwa kabisa yote ni yaleyale, kama kweli anamaanisha awape Tume Huru ya uchaguzi na Katiba Mpya.
Unateseka ukiwa wapi mzee?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uzuri ni kuwa wanuka konyagi na wanuka ubani wote ni Watanzania.
Hamia kwenye nchi ya waliofunga peke yao...

(Bora wazazi wako wangepeleka ngombe shule badala yako)
 
CCM iliyowaita ikulu enzi za JK ndio hii hii imewaita sasa. Ccm ni ileile juz jana leo nahata kesho. Kinachoenda kubadilika ni muimbaji tu,ila verse chorus mdundo niuleule.
Naona mama Samia kaamua kuwaonyesha jinsi ya nchi inavyoweza kutawaliwa kwa mashirikiano .

Mama Samia anataka kuwanyesha kuwa hata wapinzani pia ni sehemu ya watanzania na wana haki ya kusikilizwa.

Mama Samia amewaonyesha kuwa tanzania iliamua kukubali mfumo wa vyama vingi kupitia kwa muasisi wa nchi yetu mwl JK Nyerere.
 
Rais akikuita Ikulu hata akikupa maji ya kunywa tu ni heshima kubwa. Hakuna Buku 7 kule...
Hata nisipopewa maji ni sawa tu. Kitendo cha kukanyaga tu Ikulu na kumuona Rais ni heshima kubwa mno katika hali ya kibinadamu. Hongera sana Mh. Rais. Tulishasahau ukarimu huu miaka 5 na usher iliyopita. Tanzania ya kuheshimiana na uhuru imerudi. Mungu akulinde Rais wetu.
 
2414618_24gvpqh.jpg

".....kama zamani..." kwa sauti ya TX Moshi William (RIP)
 
Naona mama Samia kaamua kuwaonyesha jinsi ya nchi inavyoweza kutawaliwa kwa mashirikiano .

Mama Samia anataka kuwanyesha kuwa hata wapinzani pia ni sehemu ya watanzania na wana haki ya kusikilizwa.

Mama Samia amewaonyesha kuwa tanzania iliamua kukubali mfumo wa vyama vingi kupitia kwa muasisi wa nchi yetu mwl JK Nyerere.
Salamu yake ni "Ninawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano". Hapa amembeba kila mtu awe CCM au chama cha upinzani na asiye na chama. Huyu mama Mungu aliamua na iwe basi. Mungu amlinde na kumpa uhai.
 
Good start......Urais ni pamoja na kuwasikiliza hata walio na mawazo ama fikra tofauti na zako.

Mwendazake alikuwa ni muoga sana wa hoja za ana kwa ana - alikuwa na uwezo mdogo sana wa kuhimili kifua chake.
 
Naona mama Samia kaamua kuwaonyesha jinsi ya nchi inavyoweza kutawaliwa kwa mashirikiano .

Mama Samia anataka kuwanyesha kuwa hata wapinzani pia ni sehemu ya watanzania na wana haki ya kusikilizwa.

Mama Samia amewaonyesha kuwa tanzania iliamua kukubali mfumo wa vyama vingi kupitia kwa muasisi wa nchi yetu mwl JK Nyerere.
Pia kuheshimu katiba!
 
Mama akutane na wote kwa pamoja huu utakuwa ni ubaguzi asikubali kuingia ktk ubaguzi huu Mbowe na chadema ni sawa na vyama vingine tu hawana uspecial wowote kwa sasa
 
Hakuna maslahi ya demokrasia wala nini, wewe Wanasiasa bado hujawafaham vizuri.


Mbowe atataka arudishiwe mali zake zote pamoja na hasara alizosababishiwa na utawala wa mwendazake. Demokrasia ni geresha tu kwa sasa
Wanasiasa huwezi kuwakwepa hata,Samia pia ni mwanasiasa pia labda uniambie una ushahidi wa hiki ukisemacho
 
Back
Top Bottom