Dhalimu ndio nani? Mada inamhusu mama yenu, wewe unakwenda kwa wasiohusika. Hakika Jembe bado linawatesa. Kila kukicha na usiku hamlali mnatafuta mapungufu yake tu. Sawa, lakini haibadili kitu. Legancy yake itabaki maana aliyoyafanya hamuwezi kuyabadilisha wala kumnyang'anya. Hakika kaacha legacy kubwa.
Mkitaka kumpoteza ni kukaa kimya na kuacha kutaja jina lake na matendo yake, vinginevyo mkiendekea hivi hata wajukuu wenu watakuta umaarufu wake uko juu na hapo ndipo mtakapo jua hamjui.
Mkuu wa mkoa alitangaza zawadi ya ng'ombe 2, na kilo 100 za mchele kwa Rais, bado umasikini, Maradhi na ujinga vinatuandamaMfano Rais ameambiwa Barabara ya Geita kwenda Kahama ni kms 58 na imewekwa kwenye Ilani ya ccm vipindi viwili na haijafanyiwa kazi hakujibu chochote.
Pili ameelzwa suala la kuigawa wilaya ya Geita vijijini kupata wilaya mpya ya Busanda wananchi wanatembea kms 107 kupata huduma hakujibu chochote.
Tatu makamba kudanganya wananchi kuhusu upatikanaji wa umeme Kwenye maeneo ya uchimbaji wa dhahabu mama hajasema ni Lini pesa zitatolewa ili kazi ianze na kila siku ni maneno matupu.
Ninajiuliza mkoani Geita ni nini wamepata au kufanikiwa kutokana na ziara ya Rais ?
Nimeona maajabu Mkoa wa Geita.
Kila Rais anakopita haruhusu wananchi watoe yaliyo moyoni mwao kwa nini?
Ukweli wananchi wana kero nyingi ambapo JPM alikuwa anawasikiliza na watu kuuliza sasa mikutano imekuwa kinyume.
wewe mburura kweli . hujui kuna kero hushindikana huku chini sababu ya kujuana na kuogopana. na rais huja kumaliza palepale hukuona jpm alivyokuwa anayamaliza uwanjani , au wewe ni mkenya haishi tz
Kero zao wapeleke kwa Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi ndiyo wawakilishi wa Rais
Acha upopoma,rais ni mtumishi wa wananchi na unaposema eti Kuna wawakilishi mbona kwenye swala la mradi inayojengwa chini ya KIWANGO hatuoni hao wawakilishi wakienda kuonyesha izo kasoro mpaka waziri mkuu aende ivi watu km wewe mlizaliwaje Tanzania?rais kusikiliza wananchi wako ni jambo zuri Niko inapopata ufahamu wa nn kinachoendelea huko na wore tunajua wazi hao unaowaita wawakishi wanavyofanya kazi.kwanza kuwaoma tu mziki wake sio mchezoSio kila kero unapeleka kwa Mh. Rais, yaani kila mwananchi aanze kusema kero yake kwa Mh. Rais, huo utakuwa sio mkutano na muda unatoka wapi? Wasaidizi wa Mh. Rais wako kibao na wabunge wa Geita wapo..
Alafu kero zingine waambieni baba na mama zenu, acheni ujinga. Sio kila kero kwa Mh. Rais, hiyo sio
Na yeye awe na wakupangwa tumuome akijibuJPM alikuwa hasikilizi kero bali ilikuwa inaandaliwa watu wanamuuliza maswali ya kutafutia kiki za kisiasa. Ilikuwa ikitokea bahati mbaya akauliza mtu ambaye hajapangwa, alikuwa anaishia kumkejeli na vitisho. Yale maigizo tulikuwa tunayoana.
Hana muda wa maigizo ya kitoto.Na yeye awe na wakupangwa tumuome akijibu
Kwahiyo mkuu ulifuatilia wale watu waliyokuwa wanaeleza kero zao kwa Magufuli na ukagundua kuwa waliyokuwa wanaeleza sio kweli ni uongo tu?Hana muda wa maigizo ya kitoto.
Ana muda wa kula tozo tuHana muda wa maigizo ya kitoto.
Kwahiyo mkuu ulifuatilia wale watu waliyokuwa wanaeleza kero zao kwa Magufuli na ukagundua kuwa waliyokuwa wanaeleza sio kweli ni uongo tu?
Hujajibu lakini kwamba ulifuatilia watu waliyoeleza kero zao na ukagundua haikuwa kweli ni mchongo tu?Kwanza huo ni utaratibu wa kawaida wa wanaccm, lakini huo ulikuwa ni utamaduni wa Magufuli kupanga wetu ili ionekane anasikiliza wanyonge. Na ikitokea ukapewa nafasi ya kuuliza kisha ukamuuliza asichopenda alikuwa anaishia kukushushua na kukudhalikisha. Unakumbuka mtu aliyeambiwa abaki na mavi yake nyumbani? Unakumbuka yule aliyehoji tatizo la maji akamwambia ametumwa kuvuruga mkutano wake?
Na hayo mambo yalifanyiwa kazi au hayakufanyiwa kazi?Magufuli alikuwa anawapanga watu wamuulize maswali aliyiyaandaa,alikuwa bonge la msanii
Hujajibu lakini kwamba ulifuatilia watu waliyoeleza kero zao na ukagundua haikuwa kweli ni mchongo tu?
Kijijini kwetu mpaka leo maji shida na babu yangu walimpanga amuulize kuhusu maji siku alipokatiza,yule alikuwa msanii sanaNa hayo mambo yalifanyiwa kazi au hayakufanyiwa kazi?
Wewe ni mlamba asali uchwara tu, kwani Mbona Jembe aliwasikiliza na kutatua kerozao papo kwa papo.Sio kila kero unapeleka kwa Mh. Rais, yaani kila mwananchi aanze kusema kero yake kwa Mh. Rais, huo utakuwa sio mkutano na muda unatoka wapi? Wasaidizi wa Mh. Rais wako kibao na wabunge wa Geita wapo..
Alafu kero zingine waambieni baba na mama zenu, acheni ujinga. Sio kila kero kwa Mh. Rais, hiyo sio
Unamkumbuka kijana wa makambako? raisi wa wanyonge aliagiza polisi wamshughulikie kisa kuinua bango tu? hamkusema kitu mlikenua.Nimeona maajabu Mkoa wa Geita.
Kila Rais anakopita haruhusu wananchi watoe yaliyo moyoni mwao kwa nini?
Ukweli wananchi wana kero nyingi ambapo JPM alikuwa anawasikiliza na watu kuuliza sasa mikutano imekuwa kinyume.
jembe la kua na kuteka watu lisilo wapendaDhalimu ndio nani? Mada inamhusu mama yenu, wewe unakwenda kwa wasiohusika. Hakika Jembe bado linawatesa. Kila kukicha na usiku hamlali mnatafuta mapungufu yake tu. Sawa, lakini haibadili kitu. Legancy yake itabaki maana aliyoyafanya hamuwezi kuyabadilisha wala kumnyang'anya. Hakika kaacha legacy kubwa.
Mkitaka kumpoteza ni kukaa kimya na kuacha kutaja jina lake na matendo yake, vinginevyo mkiendekea hivi hata wajukuu wenu watakuta umaarufu wake uko juu na hapo ndipo mtakapo jua hamjui.