Kauli yako ni sawa umerudi nyumbani kutoka Safari, na hautaki watoto wakupe kero za hapo nyumbani kwa hoja kwamba wanapaswa kuwasilisha hoja zao kwa dada yao wa kazi kwa sababu tu yeye ndio umemuamini ahudumie watoto kwa niaba yako!!Kero zao wapeleke kwa Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi ndiyo wawakilishi wa Rais