Rais Samia amesema tuwe na jamii yenye ujasiri wa kuhoji

Serikali yetu chini ya uongozi mahili na shupavu wa Rais samia ilipokea maoni ya watu na wadau wote na ikayafanyiaa kazi mawazo ya wote. Ndio maana wakati wote ilikuwa ikitoa maelezo katika lengo la kututoa hofu watanzania juu ya uwekezaji huo.
Tumbo lenye njaa huwa halikipi kichwa nafasi yake ya kufikiri.
UCHU WA MADARAKAA UNATUZIBA MACHO NA KUFUNGA AKILI ZETU
 

Yule mwandishi alimhoji Paul Makonda kuhusu tuhuma za Lissu kupigwa Makonda alijibuje?
Kamuulize ma…

Kijana mdogo alimuuliza swali mwenyekiti mpya mkoa wa Arusha mh. Sabaya alijibiwaje?
Kaa chini hilo sio swa…..


Wazari mkuu aliulizwa swali kuhusu alipo makamu wa rais alimjibuje yule muuliza swali?
Yupo kwenye ma…..

Huyo mama aache unafiki!
Kuhoji wanahoji sana shida ni majibu ni ya hovyo.
 
Hoja ni kuwa tuwe na jamii yenye ujasiri wa kuhoji mambo au vitu bila kujali aina ya majibu yatakayotolewa.
 
Umetumia vigezo gani kumpa hizo sifa,Na Tanzania bara ni nchi gani na ilipata uhuru kutoka kwa mkoloni gani.
 
Naomba tuwe jasiri na hodari katika harakati zetu za kujenga mustakabali bora kwa Tanzania. Heri ya Siku ya Uhuru kwa Watanzania wote!,”amesema.
Tunahitaji vijana wabishi nawene uwezo wa kuhoji, hao ndio wanaweza kulitetea Taifa lao. J K Nyerere
Leo hoji kitu chochote kuhusu Taifa lako uone kitakacho kukuta.
 
Rais anaongea km amekatwa kicha hafikilii
Watu kibao leo wamepotea kisa kutoa maoni af saiv anaongea pumba na mashavu yake
 

Chawa unakaz kwel kwel yan kusema tu Raisi unashindwa ad kuongezea uongo eti raisi mpendwa kipenzi cha wananch na nyota ya matumaini duuh kwel uchawa ni kipaji
 
Chawa unakaz kwel kwel yan kusema tu Raisi unashindwa ad kuongezea uongo eti raisi mpendwa kipenzi cha wananch na nyota ya matumaini duuh kwel uchawa ni kipaji
Nilichoandika ni sahihi kabisa maana Rais samia ndiye kiongozi anayependwa na kukubalika sana ndani ya nchi na ndani ya bara zima la Afrika kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…