Rais Samia ameshinda, watanzania tumeshinda, Taifa limeshinda na tunamaliza mwaka kwa ushindi

Rais Samia ameshinda, watanzania tumeshinda, Taifa limeshinda na tunamaliza mwaka kwa ushindi

Meanwhile pale lumumba.....
Screenshot_20221111_104451.jpg
 
Sehemu ya akili isiyokuwa na akili, kweli kuwa uyaone. watoto wanaogopa mende duh_ ukubwani kuna chawa.

haki bila wajibu. Bongo akili sifuri mafanikio makubwaaa.
 
Rais Samia ameshinda, watanzania tumeshinda, Taifa limeshinda na tunamaliza mwaka kwa ushindi wa kukopa na kuongeza deni la taifa kwa kasi ya ajabu

Kazi ya kukopa iendelee
Hakuna Taifa Ambalo halikopi,kikubwa unaangalia unakopa kwa ajili ya nini? Ni aina gani ya mkopo? Riba Yake ipoje? Mkopo unalipwa kwa muda upi? Utapata Nini mahali ulipokwenda kuwek mkopo wako kiuwekezaji?

Serikali yetu imekopa na Tumeona kazi zilizofanyika na miradi mbalimbali ilivyojengwa kutokana na mkopo huo,Tumeona pia bado nchi yetu inakopesheka lakini pia bado tunao uwezo wa kuhimili ulipaji wa madeni yetu. Usimamizi wa fedha za umma umekuwa Ni wa kuridhisha chini ya uongozi shupavu wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia
 
Ndugu Zangu,

Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema kuwa kwa hakika Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan Ameshinda katika mapambano ya kulijenga Taifa letu na kuwaongoza watanzania katika ujenzi wa Taifa letu kwa mikono yetu wenyewe na Taifa letu limeshinda kwa kubaki likiwa Imara na Tulivu.

Rais Samia na serikali yake ameipigana kwa uhodari,ujasiri na ushupavu mkubwa Sana Vita ya kuliletea Maendeleo Taifa letu,Amekuwa Ni Askari mzalendo na mvumilivu katika mapambano haya ya kulipa heshima Taifa letu kiuchumi,Amekuwa mstari wa mbele katika kujenga uchumi shirikishi unamgusa na kumnufaisha kila mmoja wetu pasipo kumwacha mtanzania yeyote nyuma.

Rais Samia Na serikali yake ameweka Alama katika kila Secta utakayo kwenda unakuta kazi kubwa imefanyika,unakuta Rais Samia ameirejesha Kodi na Tozo za mtanzania zikafanye kazi za kugusa maisha ya watanzania,kwa kutatua kero na changamoto zinazokuwa zinawakwamisha watanzania katika maisha yao ya kila siku pamoja na kujenga miradi mbalimbali inayomnufaisha mtanzania,

Rais Samia amemshika mkono kila mtanzania aliyehitaji kushikwa mkono na serikali yake,Rais Samia amezibeba secta zote na kuzipa umuhimu wa kipekee kwa kutambua kuwa watanzania wapo kila secta na hivyo kupuuza secta yoyote ni sawa na kuwapuuza watanzania na hivyo kuwadidimiza na kuwadhoofisha kiuchumi watanzania.

Kila mtanzania amefikiwa na kuguswa na juhudi za mh Rais,kila eneo limeguswa na kubebwa katika mikono na mabega ya mh Rais,kila sehemu kumefikiwa na kutazamwa na jicho la mh Rais ,kila mahali kumepitiwa na kupewa ufumbuzi,kila Kona ni matumaini kwa kesho iliyo Bora Zaidi ya leo.

Watanzania wamesikilizwa na kusaidiwa mahali walipo na wanapofanyia kazi na kuishi, watanzania wamepewa sikio la Rais kuwasikiliza na kuwapa majibu, Rais Samia Amezunguka Kanda zote na kutoa majibu kwa changamoto zinazotukabili,ametoa usuluhishi kwa migogoro, Amatufikisha hapa kwa Amani na utulivu.

Watanzania Tumeshinda kwa kufika hapa tukiwa wamoja na wenye ushirikiano,Tumeungana na serikali yetu na kusimama nayo katika nyakati zote,Tumempa ushirikiano na kumuunga mkono Rais wetu wakati wote alipotuhitaji kufanya Hivyo,Umoja wa kitaifa umekuwa mkubwa na wenye Afya kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya Taifa letu,Hatujatoa Nafasi kwa Adui yeyote aliyejaribu kutugawa na kutuchonganisha, Tumekuwa wavumilivu katika changamoto zote tulizozipitia Kama Taifa kwa kutambua na kuona juhudi kubwa zilizofanywa na Rais wetu mpendwa pamoja na serikali yake,

Ni matumaini yangu kuwa umoja huu tulioujenga Sasa tutaingia nao mwaka mpya na Kuendelea na kazi ya kulijenga Taifa letu litakalokuwa Bora Zaid ya hapa tulipo hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa Tumejaliwa na Mwenyezi MUNGU kuwa na Rasilimali nyingi ambazo zinatutaka kutumia akili na maarifa katika kuzitumia ili zisibadilike na kuwa Kama laana kwetu kwa kutuacha tukiwa maskini na fukara katikati ya utajiri wa Asili.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Unafaa kuwa mwalimu mkuu au afisaelimu kata, uko vizuri mkuu.
 
Ndugu Zangu,

Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema kuwa kwa hakika Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan Ameshinda katika mapambano ya kulijenga Taifa letu na kuwaongoza watanzania katika ujenzi wa Taifa letu kwa mikono yetu wenyewe na Taifa letu limeshinda kwa kubaki likiwa Imara na Tulivu.

Rais Samia na serikali yake ameipigana kwa uhodari,ujasiri na ushupavu mkubwa Sana Vita ya kuliletea Maendeleo Taifa letu,Amekuwa Ni Askari mzalendo na mvumilivu katika mapambano haya ya kulipa heshima Taifa letu kiuchumi,Amekuwa mstari wa mbele katika kujenga uchumi shirikishi unamgusa na kumnufaisha kila mmoja wetu pasipo kumwacha mtanzania yeyote nyuma.

Rais Samia Na serikali yake ameweka Alama katika kila Secta utakayo kwenda unakuta kazi kubwa imefanyika,unakuta Rais Samia ameirejesha Kodi na Tozo za mtanzania zikafanye kazi za kugusa maisha ya watanzania,kwa kutatua kero na changamoto zinazokuwa zinawakwamisha watanzania katika maisha yao ya kila siku pamoja na kujenga miradi mbalimbali inayomnufaisha mtanzania,

Rais Samia amemshika mkono kila mtanzania aliyehitaji kushikwa mkono na serikali yake,Rais Samia amezibeba secta zote na kuzipa umuhimu wa kipekee kwa kutambua kuwa watanzania wapo kila secta na hivyo kupuuza secta yoyote ni sawa na kuwapuuza watanzania na hivyo kuwadidimiza na kuwadhoofisha kiuchumi watanzania.

Kila mtanzania amefikiwa na kuguswa na juhudi za mh Rais,kila eneo limeguswa na kubebwa katika mikono na mabega ya mh Rais,kila sehemu kumefikiwa na kutazamwa na jicho la mh Rais ,kila mahali kumepitiwa na kupewa ufumbuzi,kila Kona ni matumaini kwa kesho iliyo Bora Zaidi ya leo.

Watanzania wamesikilizwa na kusaidiwa mahali walipo na wanapofanyia kazi na kuishi, watanzania wamepewa sikio la Rais kuwasikiliza na kuwapa majibu, Rais Samia Amezunguka Kanda zote na kutoa majibu kwa changamoto zinazotukabili,ametoa usuluhishi kwa migogoro, Amatufikisha hapa kwa Amani na utulivu.

Watanzania Tumeshinda kwa kufika hapa tukiwa wamoja na wenye ushirikiano,Tumeungana na serikali yetu na kusimama nayo katika nyakati zote,Tumempa ushirikiano na kumuunga mkono Rais wetu wakati wote alipotuhitaji kufanya Hivyo,Umoja wa kitaifa umekuwa mkubwa na wenye Afya kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya Taifa letu,Hatujatoa Nafasi kwa Adui yeyote aliyejaribu kutugawa na kutuchonganisha, Tumekuwa wavumilivu katika changamoto zote tulizozipitia Kama Taifa kwa kutambua na kuona juhudi kubwa zilizofanywa na Rais wetu mpendwa pamoja na serikali yake,

Ni matumaini yangu kuwa umoja huu tulioujenga Sasa tutaingia nao mwaka mpya na Kuendelea na kazi ya kulijenga Taifa letu litakalokuwa Bora Zaid ya hapa tulipo hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa Tumejaliwa na Mwenyezi MUNGU kuwa na Rasilimali nyingi ambazo zinatutaka kutumia akili na maarifa katika kuzitumia ili zisibadilike na kuwa Kama laana kwetu kwa kutuacha tukiwa maskini na fukara katikati ya utajiri wa Asili.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Kumbe kuna mashindano
 
Hakuna Taifa Ambalo halikopi,kikubwa unaangalia unakopa kwa ajili ya nini? Ni aina gani ya mkopo? Riba Yake ipoje? Mkopo unalipwa kwa muda upi? Utapata Nini mahali ulipokwenda kuwek mkopo wako kiuwekezaji?

Serikali yetu imekopa na Tumeona kazi zilizofanyika na miradi mbalimbali ilivyojengwa kutokana na mkopo huo,Tumeona pia bado nchi yetu inakopesheka lakini pia bado tunao uwezo wa kuhimili ulipaji wa madeni yetu. Usimamizi wa fedha za umma umekuwa Ni wa kuridhisha chini ya uongozi shupavu wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia
Nenda uko kijijini kwenu ukawadanganye wajinga na mashudu yako uliyoyaandika
 
Ndugu Zangu,

Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema kuwa kwa hakika Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan Ameshinda katika mapambano ya kulijenga Taifa letu na kuwaongoza watanzania katika ujenzi wa Taifa letu kwa mikono yetu wenyewe na Taifa letu limeshinda kwa kubaki likiwa Imara na Tulivu.

Rais Samia na serikali yake ameipigana kwa uhodari,ujasiri na ushupavu mkubwa Sana Vita ya kuliletea Maendeleo Taifa letu,Amekuwa Ni Askari mzalendo na mvumilivu katika mapambano haya ya kulipa heshima Taifa letu kiuchumi,Amekuwa mstari wa mbele katika kujenga uchumi shirikishi unamgusa na kumnufaisha kila mmoja wetu pasipo kumwacha mtanzania yeyote nyuma.

Rais Samia Na serikali yake ameweka Alama katika kila Secta utakayo kwenda unakuta kazi kubwa imefanyika,unakuta Rais Samia ameirejesha Kodi na Tozo za mtanzania zikafanye kazi za kugusa maisha ya watanzania,kwa kutatua kero na changamoto zinazokuwa zinawakwamisha watanzania katika maisha yao ya kila siku pamoja na kujenga miradi mbalimbali inayomnufaisha mtanzania,

Rais Samia amemshika mkono kila mtanzania aliyehitaji kushikwa mkono na serikali yake,Rais Samia amezibeba secta zote na kuzipa umuhimu wa kipekee kwa kutambua kuwa watanzania wapo kila secta na hivyo kupuuza secta yoyote ni sawa na kuwapuuza watanzania na hivyo kuwadidimiza na kuwadhoofisha kiuchumi watanzania.

Kila mtanzania amefikiwa na kuguswa na juhudi za mh Rais,kila eneo limeguswa na kubebwa katika mikono na mabega ya mh Rais,kila sehemu kumefikiwa na kutazamwa na jicho la mh Rais ,kila mahali kumepitiwa na kupewa ufumbuzi,kila Kona ni matumaini kwa kesho iliyo Bora Zaidi ya leo.

Watanzania wamesikilizwa na kusaidiwa mahali walipo na wanapofanyia kazi na kuishi, watanzania wamepewa sikio la Rais kuwasikiliza na kuwapa majibu, Rais Samia Amezunguka Kanda zote na kutoa majibu kwa changamoto zinazotukabili,ametoa usuluhishi kwa migogoro, Amatufikisha hapa kwa Amani na utulivu.

Watanzania Tumeshinda kwa kufika hapa tukiwa wamoja na wenye ushirikiano,Tumeungana na serikali yetu na kusimama nayo katika nyakati zote,Tumempa ushirikiano na kumuunga mkono Rais wetu wakati wote alipotuhitaji kufanya Hivyo,Umoja wa kitaifa umekuwa mkubwa na wenye Afya kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya Taifa letu,Hatujatoa Nafasi kwa Adui yeyote aliyejaribu kutugawa na kutuchonganisha, Tumekuwa wavumilivu katika changamoto zote tulizozipitia Kama Taifa kwa kutambua na kuona juhudi kubwa zilizofanywa na Rais wetu mpendwa pamoja na serikali yake,

Ni matumaini yangu kuwa umoja huu tulioujenga Sasa tutaingia nao mwaka mpya na Kuendelea na kazi ya kulijenga Taifa letu litakalokuwa Bora Zaid ya hapa tulipo hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa Tumejaliwa na Mwenyezi MUNGU kuwa na Rasilimali nyingi ambazo zinatutaka kutumia akili na maarifa katika kuzitumia ili zisibadilike na kuwa Kama laana kwetu kwa kutuacha tukiwa maskini na fukara katikati ya utajiri wa Asili.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Analizungumziaje hili

 
Ushindi upi?..

Huu wakuongeza deni la Taifa?.
Huu wakurudisha wapigaji kila kona.
 
 
Analizungumziaje hili

Hilo lilishatolewa ufafanuzi na serikali yetu kuwajibu wazushi na waleta Taharuki juu ya ujio wa ndege hiyo iliyokuwa imetua kwa ajili ya kushusha mizigo,Hii pia inathibitishwa ukweli wa namna ambavyo Tanzania imekuwa chaguo namba moja la wawekezaji,wafanyabiashara na watalii kunakotokana na kuboreshwa kwa mazingira ya kiuwekezaji na kibiashara hapa nchini kwetu.
 
Tanzania Ni moja na wote Tunashirikiana kwa pamoja katika maisha yetu ya kila siku,hata hivyo Tambua kuwa kilimo Ni Biashara unaweza ukawa Ni mkulima na hapo hapo ukawa mfanya biashara ya mazao kwa kusafirisha kutoka mikoani Hadi Dar. Pia sielewi unepata wapi mamlaka ya kupinga na kuwakatalia watanzania wengi wakiwemo wafanyabiashara walioridhishwa na utendaji kazi wa mh Rais? Lini walikuja kwako wakasema hawaridhishwi na utendaji kazi wa serikali? Katika maeneo yapi walikwambia hawatendewi haki? Kwani wewe huoni namna makundi mbalimbali yanavyofanya kazi kwa amani pasipo kudidimizwa kwa aina yoyote Ile? Kazi ya serikali Ni kuweka mazingira mazuri kwa wananchi wake kujikwamua kiuchumi na kupiga hatua za kimaendeleo. Niambie Ni wapi ambapo serikali yetu inayoongozwa na mama yetu imeweka mazingira magumu kwa mwananchi kustawi kiuchumi? Huoni serikali ikifanya juhudi kubwa kila uchwao kuhakikisha mwananchi anakua na kuwezeshwa
Wewe bhana acha mambo ya kusemea watu wasio kuhusu. Unatakiwa ujisemee mwenyewe.
 
Ushindi upi?..

Huu wakuongeza deni la Taifa?.
Huu wakurudisha wapigaji kila kona.
Wapigaji wapi waliorudishwa na kwa ushahidi upi? Kukopa siyo dhambi Wala jinai hata nchi za ulaya baada ya Vita ya pili ya Dunia zilikopa Sana ili kujenga na kufufua uchumi wao, Tanzania tupo vizuri na Wala hatujaelemewa na Deni la Taifa Ndio maana unaona tunalipa na hata kukopeshwa tunapohitaji. Nani anayeweza kukukopesha hela hapo ulipo wakati anajuwa huna uwezo wa kulipa? Nani anayeweza kukuamini kukupa pesa zake wakati wewe siyo mwaminifu? Tanzania Ni waaminifu na tuna uwezo wa kulipa
 
Mh Samia Boma Yee! Mokili Mobimba! Nzambe na ngai !! Kokabanga Nye Nye nye!!! Mutu ya watu ,namba moya.
 
Wapigaji wapi waliorudishwa na kwa ushahidi upi? Kukopa siyo dhambi Wala jinai hata nchi za ulaya baada ya Vita ya pili ya Dunia zilikopa Sana ili kujenga na kufufua uchumi wao, Tanzania tupo vizuri na Wala hatujaelemewa na Deni la Taifa Ndio maana unaona tunalipa na hata kukopeshwa tunapohitaji. Nani anayeweza kukukopesha hela hapo ulipo wakati anajuwa huna uwezo wa kulipa? Nani anayeweza kukuamini kukupa pesa zake wakati wewe siyo mwaminifu? Tanzania Ni waaminifu na tuna uwezo wa kulipa

Ulaya walikopa hela wapi na wewe Tanzania unakopa hela wapi?..

Ni ngumu sana kujua kama wapigaji wamerudi au la kama wewe sio mtoto wa mjini, lakini mfano rahisi ni ziara za PM pale anapokutana na wizi kila mahala.
 
Ulaya walikopa hela wapi na wewe Tanzania unakopa hela wapi?..

Ni ngumu sana kujua kama wapigaji wamerudi au la kama wewe sio mtoto wa mjini, lakini mfano rahisi ni ziara za PM pale anapokutana na wizi kila mahala.
Kama umeweza kuingia humu Jf Basi naamini huwezi unashindwa kujuwa Ni wapi walikopa, lakini napenda kukwambia kuwa marekani aliwakopesha na kuyasaidia Sana mataifa mengi ya ulaya baada ya Vita ya pili ya Dunia
 
Back
Top Bottom