MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Naona umekosa jibu ukaamua uweke wiki ambayo hujasoma pia.
Ujinga tu. Imeandika===
Mtakumbuka kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ilikuokoa maisha ya watoto wa masikini alipunguza gharama za matibabu ya kuondoa uchafu kwenye damu (dialysis) hii ikiwa ni baada ya figo kushindwa kufanya kazi ya kuondoa maji na taka mwili kwenye damu vizuri
===
Rais Samia alipunguza bei ya dialysis kwa mara ya kwanza kutoka TZS 300,000 hadi kuwa chini ya TZS 100,000 sasa tayari huduma imeshafika kwenye hospitai za rufaa za mikoa sita ndani ya kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Hassan
===
Mikoa hiyo iliyofikiwa na huduma hii ya dialysis ni Tanga, Mtwara, Mara, Arusha, Kagera na Kigoma kwa Zitto Kabwe,Tuendelee kufurahia matunda ya Rais Samia Suluhu Hassan huku tukimwombea na kufanya kazi kwa bidii.
View attachment 2006409
VIVA SAMIA || VIVA TANZANIA VIVA
Mkuu umesoma au unabwabwaja tu.?Naona umekosa jibu ukaamua uweke wiki ambayo hujasoma pia.
Marekani pesa haitumiki mpaka bunge lipitishe. Trump alifeli hapo akaishia kufanya maigizo na repair ambazo kila mwaka zipo. Hata Biden amepata tabu huu mwaka wake wa kwanza, hata comfortable majority kwenye senate.
Hakuna ukuta uliojengwa.... wacha kuleta maneno mengi. Labda hufuatilii siasa za US. Trump alijaribu kutumia ujanja kwenye bajeti lakini hakuna ukuta uliojengwa zaidi ya kufanya repair za kawaida.Mkuu umesoma au unabwabwaja tu.?
Hakuna ukuta uliojengwa.... wacha kuleta maneno mengi. Labda hufuatilii siasa za US. Trump alijaribu kutumia ujanja kwenye bajeti lakini hakuna ukuta uliojengwa zaidi ya kufanya repair za kawaida.
Weka picha moja tu ya ukuta aliojenga Trump. For reference huu ni ukuta wa Israel na Palestine.
View attachment 2008702
Umejibu vizuri Sana hii,Mkuu sio pesa zote ni kodi ya wananchi, kumbuka nyingine ni misaada ya wahisani na mikopo
Na serikali ina mihimili mitatu
Samia anasimama badala ya mhimili wa kwanza ( Raisi ) Ukisikia Samia ni sawa sawa na umesikia Raisi
Ndugai anasimama badala ya Bunge
Jaji mkuu anasimama badala ya Mahakama
Watu wanaposema Samia, wanamanisha Raisi kama mhimili ambao una nguvu kuliko mihimili mingine
Mkuu ni hesabu ndogo sana
Naona umekosa jibu ukaamua uweke wiki ambayo hujasoma pia.
Marekani pesa haitumiki mpaka bunge lipitishe. Trump alifeli hapo akaishia kufanya maigizo na repair ambazo kila mwaka zipo. Hata Biden amepata tabu huu mwaka wake wa kwanza, hata comfortable majority kwenye senate.
Wanaboa kinyama, kama wanafikiri wanamuuza wajue ndiyo wanamharibia kwa watu wanaojitambua. Hii ya kusema Rais Samia katoa wajue inanunuliwa na mataburalasa pekee.
Ni hela/kodi zetu zimefanya hayo kupitia serikali,Samia hana huo uwezo! Ujinga peleka kwa wajinga labda mtafanana
Urais ni taasisi chief kwani shida iko wapi?Wajinga sana hao,badala ya kutupongeza sisi tuliotoa hela/kodi wao wanampongeza tuliemtuma/Rais.
Asilimia kubwa ya watz bado ni wajinga kupindukia.
Pongeza wenye taasisi ambao ni wananchi,taasisi ni chombo tu mmiliki ni mwananchi.Urais ni taasisi chief kwani shida iko wapi?
Sawa wewe uko Sahihi,Pongeza wenye taasisi ambao ni wananchi,taasisi ni chombo tu mmiliki ni mwananchi.
Mimi niko sahihi kwa mujibu wa katiba,yeye yuko sahihi kwa mujibu wa hisia zake zilizojaa ujinga.Sawa wewe uko Sahihi,
Na yeye yuko sahihi,
#Kila mtu acheze mechi zake
Na wewe usiwe referee wa mambo usiyoyajua,ni upunguani.Sawa wewe uko Sahihi,
Na yeye yuko sahihi,
#Kila mtu acheze mechi zake
Na wewe usiwe referee wa mambo usiyoyajua,ni upunguani.
Hivi huu utamaduni wa kusema rais katoa hiki au kile umetoka wapi. Rais hatoi pesa yaje mfukoni kwa mambo ya nchi bora mkasema serikali imetoa hiki au kile maana ni kodi za wananchi zinazotoa hiyo pesa. Sikuwahi sikia kauli hizi enzi za Mwl au zilizofustia mwinyi na mkapa, hebu turudishe angalau ufahamu wa nchi inavyoendeshwa basi===
Mtakumbuka kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ilikuokoa maisha ya watoto wa masikini alipunguza gharama za matibabu ya kuondoa uchafu kwenye damu (dialysis) hii ikiwa ni baada ya figo kushindwa kufanya kazi ya kuondoa maji na taka mwili kwenye damu vizuri
===
Rais Samia alipunguza bei ya dialysis kwa mara ya kwanza kutoka TZS 300,000 hadi kuwa chini ya TZS 100,000 sasa tayari huduma imeshafika kwenye hospitai za rufaa za mikoa sita ndani ya kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Hassan
===
Mikoa hiyo iliyofikiwa na huduma hii ya dialysis ni Tanga, Mtwara, Mara, Arusha, Kagera na Kigoma kwa Zitto Kabwe,Tuendelee kufurahia matunda ya Rais Samia Suluhu Hassan huku tukimwombea na kufanya kazi kwa bidii.
View attachment 2006409
VIVA SAMIA || VIVA TANZANIA VIVA
Hayo ni mawazo yake kwa utashi wake...msingi na muamuzi uwa ni katiba.Ukweli ni upi "Rais kafanya" au "Serikali imefanya"?
Maneno haya yanamaana sawa kimantiki " Rais kafanya X " " Serikali imefanya Y " au " " Tumefanya Z " tumia lolote utakuwa sahihi tu. Kunabaadhi ya wenzetu wameishiwa hoja hasa huku mitandaoni kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakipinga kwa nguvu zote kutumika kwa sentesi " Rais X kafanya...www.jamiiforums.com
Soma hapa
Kwa hiyo tukisema "Samia afukuza wamachinga barabarani" tutakuwa sawa pia,au sio?Mkuu sio pesa zote ni kodi ya wananchi, kumbuka nyingine ni misaada ya wahisani na mikopo
Na serikali ina mihimili mitatu
Samia anasimama badala ya mhimili wa kwanza ( Raisi ) Ukisikia Samia ni sawa sawa na umesikia Raisi
Ndugai anasimama badala ya Bunge
Jaji mkuu anasimama badala ya Mahakama
Watu wanaposema Samia, wanamanisha Raisi kama mhimili ambao una nguvu kuliko mihimili mingine
Mkuu ni hesabu ndogo sana
Hiyo ni mibongo lala itakusumbua tu ipotezeeKwa hiyo tukisema "Samia afukuza wamachinga barabarani" tutakuwa sawa pia,au sio?
Vipi tukisema "Samia atangaza mgao wa maji Dar?"