Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
Mpaka wa Tanganyika ndani ya Bahari ni Maili 100 kutoka Maili 12 Mashariki mwa kisiwa Cha Unguja. Tanganyika baharini inapakana na Ushelisheli Comoro. Hivyo, Wazanzibar tulieni dawa iwaingie vizuri maana hata visiwa vya Unguja na Pemba vinapatikana ndani ya mipaka ya Tanganyika, hivyo vyote ni Mali ya Tanganyika. Ndo maana hatuna taabu sana Wazanzibar maana nyie mali yetu.Sehemu ya bahari ya Hindi kutoka Zanzibar hadi pwani ya Tanganyika
Unasema hivyo kwa kuwa watanganyika ni dhulmati, mmezoea kuiba rasilomali za Zanzibar na kujimilikisha mazima.Mpaka wa Tanganyika ndani ya Bahari ni Maili 100 kutoka Maili 12 Mashariki mwa kisiwa Cha Unguja. Tanganyika baharini inapakana na Ushelisheli Comoro. Hivyo, Wazanzibar tulieni dawa iwaingie vizuri maana hata visiwa vya Unguja na Pemba vinapatikana ndani ya mipaka ya Tanganyika, hivyo vyote ni Mali ya Tanganyika. Ndo maana hatuna taabu sana Wazanzibar maana nyie mali yetu.
Huyu mama ni mbaguzi hata kuliko watanganyika. Namshangaa sana.tpaul hivi Pemba siyo sehemu ya Zanzibar? Mbona Samia huwa haendi huko wala kufanya uwekezaji huko?
Nashauri., Samia amuige Magufuli kwa kuwajengea wananchi wa nchi ya Zanzibar daraja la kuunganisha Pemba na Unguja ili kurahisisha usafiri baina ya hivi visiwa.
Imewezekana daraja la Kigongo - Busisi na huko nchi ya Zanzibar inawezekana kujenga daraja baina ya Unguja na Pemba
Mbwa wapumbavu oyeeeπ€£π€£π€£
Kote huko uwekezaji unatekelezwa mkuu..@tpaul hivi Pemba siyo sehemu ya Zanzibar? Mbona Samia huwa haendi huko wala kufanya uwekezaji huko?
Kweli kutesa kwa zamu. Huku bara naona ujenzi wa barabara ni kama ume stuck kabisaKote huko uwekezaji unatekelezwa mkuu..
Miradi mikubwa ya barabara inavyoifungua Zanzibar
Pamoja na viashiria vingine, kiwango cha maendeleo ya taifa lolote kinapimwa kwa kuzingatia miundombinu yake hususani barabara na kushamiri kwa majengo ya makazi na biashara.www.mwananchi.co.tz
Hizi ni mbinu za wazanzibar kutuibia wa Tanganyika,wa Tanganyika tunathaminiwa na wazanzibar na wazanzibar kuutambua Muungano ni pale wanapotaka kutuibia lakini uhalisia wa muzanzibar raslimari zote za Zanzibar ni za wazanzibar wenyewe suala la muungano kwa raslimari za Zanzibar muungano haupo Mali za wazanzibar ni wazanzibar,muungano upo kwenye raslimari za wa Tanganyika.Kwani muungano umevunjika hadi wazanzibar wasiruhusiwe kumiliki na kutumia rasilimalii za Tanganyika? Unajua nyie watanganyika kinachowaponza na kitakachowaumiza ni roho ya chuki na ubaguzi. Mbona nyie mnatumia bahari ya Zanzibar bure? Punguza chuki mkuu.
Yap,Kweli kutesa kwa zamu. Huku bara naona ujenzi wa barabara ni kama ume stuck kabisa
Hii mikopo ni midogo sana ukilinganisha na mikopo aliyokopa magufuli kujenga Chato.Yap,
Tatizo lingine ni Tanganyika kukopa mikopo mikubwa kwa ajili ya Zenji kutumia, halafu inalipwa na Tanganyika pekee..
tpaulRais Samia kakopa trillion 1 kujenga airport, Hospitali, VETA na Depo ya mafuta Zanzibar
Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700 Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar...www.jamiiforums.com
Kwani anayewaongoza pande zote ni mtu wa bara? Kula kitimoto upate afya ya akiliAstafaghallah! Nyie majitu wa bara ndio mnakula hawo wadudu ndio maana mmekuwa na roho mbaya za kudhulumu rasilimali za wazanzibar bila huruma.
Haya ndiyo mambo ambayo wazanzibar hawataki. Magufuli katumia mabilioni ya fedha kujenga kwao lakini yeye anakuja kutumia peanuts kujenga stadium uchwara wakati rasilimali za nchi zinatakiwa kunufaisha pande zote mbili za muunganoEti kawajengea Football Academy na kuwapelekea tamasha! πππ
Mbona mnamchanganya sasa, mlitaka maendeleo yapelekwe wapi? pemba, unguja au arabuni?Naingia kwenye mada moja kwa moja. Kabla sijaenda mbali naomba ku declare interest kwamba mm ni mtu mwenye asili ya Pemba. Nimesikitishwa sana na aina ya uwekezaji ambao mama Samia ameufanya hapa Kizimkazi. Inasikitisha sana.
Tangu Zanzibar iungane na Tanganyika, waZanzibar hawajawahi kuenjoy rasilimali za Tanzania ndewe wala sikio. Kila siku matanganyiko ndio yanafaidi rasilimali za nchi. Nilitegemea baada ya mzanzibar kupokea kijiti cha urais, Zanzibar ingepata afueni lakini kila kukicha inazidi kudidimia kwenye dimbwi la umasikini.
Rais Magufuli aliposhika usukani wa nchi alipeleka nyumbani kwao Chato maendeleo makubwa sana. Alijenga International Airport,,barabara na madaraja makubwa. Pia alisogeza huduma kwa wananchi kwa kuwajengea benki, chuo cha VETA na hospitali ya rufaa. Kana kwamba haya hayatoshi, Magufuli alianzisha mbuga ya wanyama Chato na kujenga ikulu ndogo. Haya ni baadhi ya mambo machache ninayoweza kuyakumbuka ambayo Magufuli aliwafanyia wananchi wake.
Sasa tukirejea kwa Rais Samia alichowafanyia wanaKizimkazi ni kichekesho na kituko cha mwaka. Eti kawajengea Football Academy na kuwapelekea tamasha! What kind of nonsense is this? Ndio maana nasema Wazanzibar hawaji kuendelea kamwe hata wakimpata Rais wa dunia. Mama Samia anashindwaje kuiga kwa mtangulizi wake anakuja kuwaletea wanaKizimkazi miradi uchwara ambayo hailingani hata kwa asilimia moja na miradi ambayo Magufuli aliwapelekea wanaChato?
Wazanzibar wataendelea kubaki hivi hivi hadi kiyama. Kila mtu mwenye nia njema alipoona mzanzibar kaingia ikulu alisema hewallah Mola atupe nini! Matokeo yake mzanzibar kabisa tena anayetarajiwa kuwanyanyua wazanzibar wenzake anawafanyia dhihaka. Yakhe unyonge huu hadi lini?
Wakati anahangaika kuwahamisha wamasai kutoka Ngorongoro kwenda Msomela tulidhani labda angewaacha wakae huko huko lakini ahamishe wanyama awalete Kizimkazi aanzishe mbuga ya Kizimkazi lakini ameamua kukomaa na wamasai na kuwaacha wanyama. Zanzibar hawana hata mbuga moja ya wanyama.
Rais Samia anashindwa nini kumzuia Rais mwinyi asiuze visiwa vyote walau aache kisiwa kimoja tukibadilishe kuwa mbuga ya wanyama? Mbuga zote zipo Tanganyika, sisi hatunayo hata moja. Kama Magufuli aliweza kuhamisha wanyama akaanzisha mbuga yeye anashindwaje?
Kusema kweli Rais Samia anapaswa awaombe radhi wazanzibar kwa hii dharau aliyowafanyia kuwapelekea miradi uchwara huku akiwaacha watanganyiia wakijipendelea kwa miradi mikubwa mikubwa. Inauma na inasikitisha sana.