Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Mkapa pia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kutesa kwa zamu. Ni zamu ya wanyonge kuishi kama mashetani.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Wacha weee wazee wa fursa, mnajimwaya mwaya, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna cha mzalendo bongo
Mtu ukipata line piga ila kwa step
Ova
Wale sana na washibe vizuri, yana mwisho wake haya.Hahaha maneno hayo tunajifariji
Lakini wenzetu wanaendelea kula
Ova
Ahsanteeh sana.Pole sana mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mnajua kwanini mmeona picha ya funguo tu?
Hatuwezi kuwaonesha hilo bangaloo mtakufa hasira.
"Nyie mtaitikia kazi iendelee"
Hamna hujatuma.Heeeeeh hebu usinwehushe bas, tayar nshatuma sababisha pedesheeeh ndama, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wabongo tuna shida sana.wakati wanasiasa wanajitengenezea mazingira mazuri ya wao kuneemeka kilaini sisi tuko busy kupiga umbea,majungu na ushabiki wa vyama na mipira inapofika muda wanasiasa wanajitekelezea kile ambacho walijitengenezea tunaanza kupiga kelele.Sisi tuna shida sio bure.Mkiambiwa tupiganie Katiba mpya ooh machadema haya .sheria zikitekelezwa ooh inauma sana nyie vipi? Pumbavuu
Nshatuma mbna, hebu ntumie bas na weeHamna hujatuma.
Bado anadhani yeye ni makamo wa rais ...BURE KABISAMama hana kazi bado hajafanya la maana
Futa machozi, usilie tenaAhsanteeh sana.
Wanagawiana utajiri wa nchi hii kama Njugu.
Kikwete mwenye Lijumba lote lile Msoga ana shida gani ya nyumba?
Wanajitungia misheria ya kulipana mibenefits ya kufuru halafu tukiwauliza wanajitetea kwa sheria hizohizo!
Hiyo nyumba wala hajajengewa Kikwete bali ni urithi wa Riziwani, Miraji, Salama, Mama Salma na watoto wa Kikwete.
Mambo mengine ya nchi hii yanatia kinyaa ajabu.
Samia kasema wanarekebisha sheria ili wajane nao wajengewe... yani marehemu Magufuli... as if hajawahi kupata nyumba ya serikali...Ajengewe ya pili wakati hayupo?