mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
HahahahaMkiambiwa tupiganie Katiba mpya ooh machadema haya .sheria zikitekelezwa ooh inauma sana nyie vipi? Pumbavuu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaMkiambiwa tupiganie Katiba mpya ooh machadema haya .sheria zikitekelezwa ooh inauma sana nyie vipi? Pumbavuu
Mimi nitampigia kura. Ananifurahisha sanaTeh teh uyu mama hatoboi 2025
Walisha muingiza kwenye nyumba yakeMwenda zake naye atajegewa au ndiyo kaenda na nyumba yake?
Na uzuri katiba ipo vizuri, haisemi rais atapoteza urais kwa kuhama chama kilichompeleka Ikulu. Hivyo CCM wakimzingua nae atawazingua na kuhamia chama kingine au kuunda chama kipya, and we will support her. Rejea Rais Bingu wa Mutharika Sr dhidi Bakil Muluzi, mpaka leo chama cha Bakili Muluzi hakiamini kilichotokea.Naona wakati tunamzika mafuguli pia tutaizika na ccm mda sio mrefu
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] nimejikuta nalia wallah, why Jah anaruhusu haya?Hawa watawala ni wachoyo na wabinafsi hakuna maelezo.
Kugawana Ulithi na pesa za walipa kodi ambao wengi ni maskini wa kutupwa hospitali hakuna dawa hakuna madarasa hivi huwa wanawaza nini mioyoni mwao?
Aliyepewa Benz ataliendesha lini na wapi?
JK ana nyumba kila kona kwa nini lakini?
This is ridiculous
Nchi tajiri mfano mzuri USA Canada UK etc wastaafu hawapewi zawadi za magari sijui nyumba kwani hiyo inaashiria kuwa ni RUSHWA SIO FADHILA
Ukistaafu ni jukumu lako kununua nyumba na mortgage utalipa kama wengine, Gari la serikali utapewa na dereva was serikali was serikali kama unahitaji gari la familia utanunua kwa pesa yako japo ulinzi utapewa...
Lipo jambo tusilolijua
Hii tabia ikomeshwe
Hakuna la maana mlilowafanyia wananchi kujilipa fadhila
Mungu Yupo
Wee hebu niache au ni Riz1? Mbna unaniandama sana kila niki comment? Kwani wee unaumia kipi mie nikitoa dukuduku langu? MsieeeeeeewNakushauri usijipe presha sana unaweza kufa kabla ya siku zako angalia maisha yako acha kuumizwa na mafanikio ya wenzako.
Mnaonufaika na hayo marupurupu lazima mufurahi, ila yana mwisho hayo.Wananchi wa malaysia itakua,huku tz mambo ni swafi tabasamu limerejea
Wale tu hizo rasilimali za wananchi watakavyo, ila yana mwisho wake hayo.Nchi hii ndiyo ilivyo...
Mfumo huo
Ova
Mimi nakuambia kwa nia njema tuu. Vipi mzima lakini dear cocastic [emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji23]Wee hebu niache au ni Riz1? Mbna unaniandama sana kila niki comment? Kwani wee unaumia kipi mie nikitoa dukuduku langu? Msieeeeeeew
Sio kila anayepinga huu udhalimu bas hana cha kwake au hayupo buzzy na mambo yake, uzalendo kwanza. KheeeeehNa mtaendelea kuumiaaa kama mnawafatilia
Ndomana nasema pambaneni na hali zenu
Na nyie tafuteni kivyenu
Ova
Toka hapa, yaan mambo mengine yanaudhi kwakweli, tukisema mnajifanya kutoa neno,. Au mnanufaika na huu udhalimu?Mimi nakuambia kwa nia njema tuu. Vipi mzima lakini dear cocastic [emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji23]
Tuma kanamba ka simu unywe Pepsi basi .angalau upunguze hasira hata mimi naumia ujuwe cocasticToka hapa, yaan mambo mengine yanaudhi kwakweli, tukisema mnajifanya kutoa neno,. Au mnanufaika na huu udhalimu?
Tuache utan kwenye mambo serious khaaaah.
Nwei mie mzma, [emoji23][emoji23][emoji23]
Oh asante, ila wakubwa wanaipenda Dar pamoja na kuwa makao makuu ya nchi ni Dodoma, utakuta hata mwendazake kajichagulia plot ya kujenga jijini Dar, ila hawa wakubwa nao hiyo mijengo sijui wataifanyia nini kwa maana familia zao za karibu hakuna ambaye ni lofa, mwishowe zitabaki kuwa mijengo ya popo.Ipo masaki ya Ben
hapo mwenyewe am confused kwa kweli.Ile ya magu aliyomjengea mpaka akaenda kuikagua haikuwa bagamoyo kweli!!?
Maana hii wamesema ipo kinondoni
Hakuna cha mzalendo bongoSio kila anayepinga huu udhalimu bas hana cha kwake au hayupo buzzy na mambo yake, uzalendo kwanza. Kheeeeeh
Awamu ya sita, TutamkumbukaView attachment 1778738
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo amemkabidhi mfano wa funguo ya nyumba Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete kama ishara ya kumkabidhi nyumba mpya ya kuishi iliyopo Wilayani Kinondoni Mkoani Dar es Salaam ambayo amejengewa na Serikali kwa mujibu wa sheria.
Hahaha maneno hayo tunajifarijiWale tu hizo rasilimali za wananchi watakavyo, ila yana mwisho wake hayo.