Hivi tangia ujana wake wooote mpaka urais hadi kustaafu, Yeye kikwete alikuwa hana nyumba?.Au ndo ule mwendelezo wa matumizi mabaya ya pesa za umma?.
 
Acha urongo hizi sheria hakuzitunga JPM zilianza kipindi cha Mwinyi baada ya Mwalimu kustaafu alipojengewa nyumba na JKT, mumezidi kumuonea JPM bana
 
Wakati wa mazishi kikwete alisema alijua watakutana wakati wa makabidhiano ya nyumba ili waweze kuonana na kuongeza lakini haikuwezekana... Ila Jambo lakufikirisha hao wastaafu Wana majumba mazuri na makubwa hizi nyingine hata usikute hawatakaa za Nini?
 
Hivi tangia ujana wake wooote mpaka urais hadi kustaafu, Yeye kikwete alikuwa hana nyumba?.Au ndo ule mwendelezo wa matumizi mabaya ya pesa za umma?.
Hao walioshiba hawamjui mwenye njaa

Nchi hii masikini badala ya kuangalia wananchi masikini, wao wanajigawia mavitu ambayo wala hawayahitaji

Wewe Kikwete, Umri wote huu, nyumba wapi na wapi? —Ina maana huna nyumba wewe?
 
Kumbe huyu mzee alikuwa kapanga nyumba, kuna watu walizusha kwamba kajenga hekalu pale msoga...
 
Hao walioshiba hawamjui mwenye njaa

Nchi hii masikini badala ya kuangalia wananchi masikini, wao wanajigawia mavitu ambayo wala hawayahitaji

Wewe Kikwete, Umri wote huu, nyumba wapi na wapi? —Ina maana huna nyumba wewe?
Muuuuuh labda alikuwa amepanga kule msoga.
 
Magufuli mwenyewe kahamia nyumba yake ya Masaki naona ile ya pale ada estate ostabei watakua wamemuachia Joseph .
 
Saaanaa
Hayo mabega lazima tuyashushe kwa nyundo
Naona mkuu na mnayashusha kweli, kina Mwinyi migari ya milioni 400.

Hakika matagaa wanakoma
 
Naona mkuu na mnayashusha kweli, kina Mwinyi migari ya milioni 400.

Hakika matagaa wanakoma
Acha ujinga wewe
Nyie ile trillion 1.5 mlifanyia nn?

Lazima tuwanyooshe mataga woteee
Tumerudi ulingoni Sasa
 
Acha ujinga wewe
Nyie ile trillion 1.5 mlifanyia nn?

Lazima tuwanyooshe mataga woteee
Tumerudi ulingoni Sasa
Kabisa mkuu! Inabidi Samia yeye apige mara 10 ya hizo ili mataga wazidi kunyooshwa,
 
Nyumba gani tena!jpm si alishawapa

Ova
JPM alimkabidhi Mwinyi nyumba maeneo ya Masaki. Nyumba ya JK ilikuwa inajengwa bahari beach na JPM aliitembelea siku aliyomkabidhi Mwinyi ujenzi ulikuwa unaendelea.

 
Ni Jambo jema kbs, hebu tuione hiyo nyumba msijempa chumba na sebule
 
Lazima tuwakanyage bila kujali umevaa helmet au laa!!!!
Kabisa mkuu!

Tena ili uwakanyage mataga vizuri lazima hapo JK aongezewe jumba na Mwinyi apewe benzi lingine.
 
Watanzania wacheni unafiki. Wapo wabunge 19 pale bungeni hawastahili kuwa pale wanalipwa na serikali karibu milioni 230 kila mwezi mbona sikusikii ukilipigia kelele?
Kamuulize ndugai kama hao covid 19 hawamnyimi usingizi kwa jinsi watu wslivyomkalia kooni....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…