Rais Samia ampandisha cheo mpambe wake (ADC) sasa ni Brigedia Jenerali

Mama anaendelea kupanga safu upya, amechoka kubambikiwa watu 'asowajua' vema.


Vv
 
Duh haya, kwahiyo sasa ni Brigedia General.

Ina maana sasa JD yake ni ya Brigedia General, kipi kinapandisha cheo jeshini?
 

Ukiona hivyo ujue anataka kumpiga chini
 
Kwahio kamuondoa kimtindo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…