Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Sabaya atafungwa maisha, i knew this will come, sasa imefikia, muda si mrefu atakutwa na tuhuma kubwa kubwa na kufungwa muda mrefu huyu kijana amekuwa mpuuzi kabisa..
Mh. Rais Samia safiiii kabisa kabisa, umesikia kilio cha watanzania
 
Huyu Madam SSH anafanya kazi au anafanya maamuzi kwa kusikiliza kelele na porojo za mitandaoni.
Kuna clip toka hotel ya Mbowe akiwa na mabunduki akitesa wafanyakazi na kufanya uahlifu.
By the way source yoyote ya information kama wewe ni kiongozi mzuri ifanyie kazi. Mitandaoni mbona mnawafunga watu kwa taarifa za mitandaoni?
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili kuanzia leo, Mei 13, 2021

Aidha, Rais Samia amefanya teuzi za Viongozi mbalimbali ambao uteuzi wao unaanza leo
View attachment 1783582

Habari ndo hiyo

Nawatakia Eid Njema.

====
Alizaliwa mwaka 1980 katika mkoa wa Arusha

Hayati John Pombe Magufuli tarehe 28 Julai, 2018 alimteua Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai

CHAMA: CCM

#NA SASA KAZI IMEANZA#


TAARIFA ZA ELIMU YAKE


SVISC. MASSACHUSET UNIVERSITY USA

BSC.ED ST JOHN UNIVERSITY DODOMA

UNED: SINIOUR SIX –BUGEMA HIGH SCHOOL-UGANDA.

FORM IV: IKIZU SEC SCHOOL

STD VII: SAMBASHA PRIMARY SCHOOL.

OTHERS: IST: PRESIDENT ST. JOHN’S UNIVERSITY DODOMA 2007.

CHAPEL PREFECT BUGEMA HIGH SCHOOL UGANDA.

CEO: TANZANIA YOUTH DEVELOPMENT CENTRE

SEMINARS BSYMPOSIUM: S. KOREA YOUTH CONFERENCE ,SOUL

YOUTH SUMMIT COMMISSIONED BY HON. PINDA TYDC:2010

CAPRIPOINT YOUTH EMPOWERMENT 2014

View attachment 1783581
Anatakiwa awe amekamatwa muda huu
 
Mzee wa kusifia kila kitu.yaani ubongo wako umesitiwa CCM ikiclik hujiulizi mara 2 unaporomosha misifa tuu. Ukachunguzwe ubongo wewe si bure.
Ulitaka usetiwe Chadema kama wewe🙄🙄
Jiongeze bhana unaaibika huku
 
Ole Sabaya alikuwa Mungu mtu, alijifanya anajua kila kitu, ualimu yeye, udaktar yeye, u fanya biashara yeye, tajir yeye, usalama wa taifa yeye, fitina yeye. Alikuwa mtu hatar kuliko wote Kilimanjaro asiyeogopa kitu chochote na kiongoz yeyote.

Namshukuru MAMA, Rais wangu Samia hatuna cha kukupa nakuombea kwa Mungu akulinde na akupe busara uendelee kukupa hekima. Tumepoteza Ndugu zetu kwa sababu ya Ole Sabaya, Ndugu zetu wameumizwa mno na Ole Sabaya.
Sabaya kaua watu wengi sana, Mungu ni shahidi!
 
Nasindikiza uzi
IMG_20210513_202555.jpg


Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom