inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hicho chama ndiyo kinabeba mustakabali mwema wa Tanzania ndiyo maana wanaenda nachoKwa Chama kwanza Tanzania baadae sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho chama ndiyo kinabeba mustakabali mwema wa Tanzania ndiyo maana wanaenda nachoKwa Chama kwanza Tanzania baadae sana.
Dhahabu,Gas na sasa Bandari tungekuwa na mikataba bora hizo tozo za kijinga zusingekuwepo.Hicho chama ndiyo kinabeba mustakabali mwema wa Tanzania ndiyo maana wanaenda nacho
Gas ya mtwara tunamiliki kwa zaidi ya 25%,gas ya Lindi ndiyo tupo mazungumzoni,dhahabu mkwere alitumia diplomasia tukaongeza mrabaha mpaka 16% toka 3% ya mzee mkapa,ukitaka ufaidi rasilimali Kama hizo ni serikali kuweka hela kwenye utafiti na uchimbaji,tunazo hizo hela!?Dhahabu,Gas na sasa Bandari tungekuwa na mikataba bora hizo tozo za kijinga zusingekuwepo.
CCM ndio wameifikisha nchi njia panda,tuna dhahabu lakini si mali yetu.Tuna Gas lakini si yetu.Tuna Bandari soon hatutakuwa kuwa na tofauti na nchi kama Rwanda au Burundi.
CCM ni laana na janga la taifa.
Othman nae alitoka TANGA!! Hapo nauona mkono wa mkwere kwenye huu uteuzi!!Lushoto tanga
Hatuna huo utaratibu.....hata ungekuwepo bado hatuna bunge.Hawa watu wawe wanathibitishwa na Bunge
JidanganyePK anamjua huyo mzee. Ni sawa na kuletewa balozi alafu ni mwalimu wako kwenye intelligence. JK alijua lazima PK aingie woga [emoji28]
Sio uwanja tu bali hata mpira ni ule ule!!!Dah! Naona uwanja unaotumika ni ule ule wa Azam Complex Chamazi.
Ndio kuwanja kisichopanga matokeo, vile vingine wanapanga sana matokeoDah! Naona uwanja unaotumika ni ule ule wa Azam Complex Chamazi.
Hii comments imeenda vatican..Dah! Naona uwanja unaotumika ni ule ule wa Azam Complex Chamazi.
Mzanzibari ni mtanzania pia,Huyu bila shaka ni mzanzibar pia
Yote mazenji ni makondoo tupuMzanzibari ni mtanzania pia,
Mpaka mtapovunja muungano hapo utanzania utakoma
Kwahiyo mmekubali kutawaliwa na kondoo?Yote mazenji ni makondoo tupu
Alichelewa kumu approve na haikuwa bahati mbaya ukichukulia tayari kulikuwa na tension ya nchi hizi. Huyu mzee lazima atakuwa alishastaafu na hii kurudi itakuwa kazi maalum kurudisha heshima hasa kwa experience yake maana ameishi generation zote. Hisia zangu lakini ...Jidanganye
Hasa mikatabaKuna shida mahali, pengine ni siri nyingi kuvuja
Ali, Juma AThumani, Abdalla, Halfani,Ohoooooo !!!
Yote ni mashoga tu, sema ni ya mpito yataondoka tu ni muda utaongeaKwahiyo mmekubali kutawaliwa na kondoo?
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂