Rais Samia amteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa

Rais Samia amteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa

Huyu Mzee ni Jasusi wa TISS, alopelekwa na Mzee wa Msoga kule Rwanda .


Utendaji wake mbovu ,ndio ulipelekea kudhorota Kwa uhusiano wa Rwanda na Tanzania, kiasi Cha Marais wawili kutupiana Vijembe.



Itoshe tu kusema, DPW wameamua na Rwanda Imeamua !!.
Sidhani kama alikuwa mtendaji mmbovu. Inaweza ikawa hisia au maneno tu.

all in all haya ni matokeo ya kutokuchagua watu kwa umakini hasa maeneo nyeti kama hayi
 
Hiki ndio anaweza, kuteu au kutengua. Roho yake inakuwa safi mnooo. Lakini yale mambo magumu na muhimu kwa watanganyika.

Kwa mfano sasa imekuwa haki yao wamiliki wa petrol Station kuficha mafuta na kusubilia kila Jumatano ya mwanzo wa mwezi bei ipande ndio wauze, huko hapana kabisa gusa

1. Mkuu wa EWURA ni mume wa spika

2. Waziri wa nishati ni mtoto wa kada mwandamizi.
Na anamiliki sheli mpya nyingi njia ya mby-dsm
 
Gas ya mtwara tunamiliki kwa zaidi ya 25%,gas ya Lindi ndiyo tupo mazungumzoni,dhahabu mkwere alitumia diplomasia tukaongeza mrabaha mpaka 16% toka 3% ya mzee mkapa,ukitaka ufaidi rasilimali Kama hizo ni serikali kuweka hela kwenye utafiti na uchimbaji,tunazo hizo hela!?

Hiyo 16 bila magufuri isingepatikana,mkwere yeye aliendelea kupiga dili la dhahabu na gasi achilia mbali ecowas,richmond na ule mkataba uliotupiliwa mbali wa ujenzi wa bandari ya bagamoyo.
 
Hiyo 16 bila magufuri isingepatikana,mkwere yeye aliendelea kupiga dili la dhahabu na gasi achilia mbali ecowas,richmond na ule mkataba uliotupiliwa mbali wa ujenzi wa bandari ya bagamoyo.
Hata mimi nimemshangaa sana jamaa eti 16% ilipatikana kwa juhudi za Kikwete! Ila sema wananchi wengi si watu wa kufatilia mambo! Kikwete alikuwa kilaza hata kwenye gesi aliingia mikataba ya kisenge isiyo na manufaa kwa wananchi Ikiwa ni pamoja na kugharimu roho za wananchi wa Mtwara!
 
Hiyo 16 bila magufuri isingepatikana,mkwere yeye aliendelea kupiga dili la dhahabu na gasi achilia mbali ecowas,richmond na ule mkataba uliotupiliwa mbali wa ujenzi wa bandari ya bagamoyo.
16% mrabaha ipo kwenye katiba kabla magufuli hajaota kuwa rais, fuatilia mambo,halafu ECOWAS ndiyo nini!?..Kama unamaanisha escrow ile si pesa ya serikali ndiyo maana maaskofu wako waliila na benki yako takatifu ilitumika
 
Hata mimi nimemshangaa sana jamaa eti 16% ilipatikana kwa juhudi za Kikwete! Ila sema wananchi wengi si watu wa kufatilia mambo! Kikwete alikuwa kilaza hata kwenye gesi aliingia mikataba ya kisenge isiyo na manufaa kwa wananchi Ikiwa ni pamoja na kugharimu roho za wananchi wa Mtwara!

Mkwere ndio mpiga dili wengine wakasome[emoji28]
 
Alichelewa kumu approve na haikuwa bahati mbaya ukichukulia tayari kulikuwa na tension ya nchi hizi. Huyu mzee lazima atakuwa alishastaafu na hii kurudi itakuwa kazi maalum kurudisha heshima hasa kwa experience yake maana ameishi generation zote. Hisia zangu lakini ...
Huenda hatafika 25
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa.

Balozi Siwa ameapishwa leo tarehe 28 Agosti, 2023 Ikulu jijini Dar es Salaam na anachukua nafasi ya Bw. Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi.
View attachment 2731582
View attachment 2731584
vikongwe wanaendelea kuteuliwa
 
Vijana bado wanabalehe ya madaraka, wakipewa nafasi wanazitumia kujipatia wanawake kinguvu na kuumiza wengine. Bado wazee waliotulia kiakili wanahitajika sana.
Maneno ya kipuuzi tu,hao wazee hawana maajabu tena! Kijana akikosea mmoja wasihukumiwe vijana wote wapo wana uwezo mzuri na wanaendelea kujifunza kila kukicha! Hao wazee ubunifu zero ni mambo ya unafiki na kujipendekeza tu!
 
16% mrabaha ipo kwenye katiba kabla magufuli hajaota kuwa rais, fuatilia mambo,halafu ECOWAS ndiyo nini!?..Kama unamaanisha escrow ile si pesa ya serikali ndiyo maana maaskofu wako waliila na benki yako takatifu ilitumika
wewe acha maneno mengi yasiyo na tija 16% ni juhudi za JPM kama ilikuwepo kwenye katiba ilitusaidia nini na Kikwete na Mkapa mbona hawakuisimamia? Kwa hiyo kuitekeleza walimsubiria Magufuli awe Rais! Kikwete ni kiongozi wa hovyo na fisadi na haitakaa ibadilike! Juzi alitaka kufisadi Tanga Cement kwa kutumia Chalinze Cement wabunge wakamsitukia!
 
Aisee, nikikumbuka vituko vya Gambo, Mnyeti, Makonda, sabaya....yaani umenipiga nyundo takatifu mpaka nimekoma😂
Wale ni viongozi wazuri ila malimbukeni wa uongozi pia lilichangiwa na propaganda nyingi sana za kisiasa!
Lakini hilo haliwafanyi viongozi vijana kuwatosa na kukumbatia wazee wenye mawazo ya miaka ya 80 huko! Mfano Nehemia Mchechu ameanza kuwa mkurugenzi kwenye umri wa 30+ na bado anaendelea licha ya makandokando ya hapa na pale!
 
Huwezi kuelewa kama you are an outsider.
Nyie CCM mnatakiwa msikilize clip ya ATIKU ABUBAKAR former president of Nigeria [ Current ECOWAS emissary to NIGER] alivyoainisha sababu za nchi za kiafrica kupinduliwa na majeshi!! Inaelekea kwa analysis aliyofanya nyie CCm mnaipeleka Tanzania huko huko!!
 
Masorro amedumu kwa miezi 7 na 27 ofisini.

Soon tutapata IGP mpya…ni suala la muda
Nashauri watu waliopo Ikulu ambao wamepewa tu favour ya kuwa pale lakini hawastahili kuwa pale, waondolewe, ili Ikulu ibaki na staff wa Ikulu tu!
 
Kwa rate hii, sensa inayokuja mnamo 2032 tutagonga angalau milioni 75.

Baada ya hapo next stop 2042 angalau milioni 95.

Na hayo ni makadirio ya chini kabisa.
Labda kuna haja kumulika vizuri kule uhamiaji pia? The growth rate is alarming, ukizingatia kuwa hata Mungu naye anao mkono wake kwenye balance hiyo
 
Back
Top Bottom