Rais Samia amteua Dkt. Ramadhan Dau kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB)

Samia niteue na miye
 
Kuna mwaka walitangaza kazi nssf wakati tunapeleka cv zetu pale, nikaona mlinzi anaongea na binti aliyekuwa mbele yangu huku akiwa amefunua nyalaka zake akamwambia "dada hizi passport zako ungevaa hata ushungi, yaani wakiona pocha iko wazi hivi hawataweza shughulika na doc zako" kiukweli niliumia sana. Wakati wa huyu bwana was like kazi walikuwa wanapeana misikitini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…