Rais Samia amteua Dkt. Ramadhan Dau kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB)

Inqleta tafsiri fani kurundikia mtu mmojq vyeo lukuki.

Hongera zake
 
Tatizo ni mfumo wenyewe wa Muungano hauna tafsiri sahihi umevifanya vya Tanganyika vyote viwe vya muungano
 
Hilo la serikali moja ni gumu kutekelezeka maana Wazanzibari hawatokubali
 
Kwa hasara kubwa ya mabilioni ya yale magorofa pale kigamboni yeye akiwa CEO wa NSSF,asingefikiriwa kuteuliwa kwenye utumishi wa Umma kamwe abadan!

Actually alipaswa kuwajibishwa kwa hasara zile!
 
Wanatumia ujinga wa wadangika wengi kama Mtaji wa kufanya watakavyo lakini Mwenyezi Mungu kuna namna ataingilia kati ipo siku ! InshaAllah!

Mwenyezi Mungu anaona kila kitu vya wazi na sirini.

Mwenyezi Mungu anajua kuichunguza mioyo ya Wanadamu na kujua mawazo yao na hila zote na kila uovu.
 
Hiyo TTB yenyewe haijawai kuwa na ufanisi, utalii unakuwa kwa mwendo wa kinyonga hakuna ubunifu na wala hatutarajii mpya kutokana na hizo Teuzi, hofu ni wanyama wetu na maliasili kwa ujumla.....
 
Hawa jamaa hawapaswi kupewa madaraka makubwa;huwa hawajui kutofautisha shughuli za serikali na msikiti!
 
Wahuni tu,sema udini ndiyo unawasumbua!
 
Vijana acheni kusambaza CV mjini bila connection hakuna kitu, utajitolea bure huku mchana unashinda njaa wenzako wanaenda kula wèwe unaanza kucheza magemu na kujifanya unaongea na simu za uongo
Mwambie Lucas Mwashambwa kila siku anatujazia magazeti ya kumsifia Rais Samia na chini anaweka namba ya simu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…