Rais Samia amteua Dkt. Ramadhan Dau kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB)

Kuna watu exposure inawabeba sana akiwemo Dr Dau na Mchechu, ni vile Siasa inafifisha juhudi zao wakati mwingine.

Kila la kheri Balozi kwenye Majukumu yako mapya, ni muhimu kutumia uzoefu wako uliopata huko Duniani kuja kuifanya Benki ya TIB kuendana na soko la Sasa
 
Tatizo ni mfumo wenyewe wa Muungano hauna tafsiri sahihi umevifanya vya Tanganyika vyote viwe vya muungano
Nyerere ndiyo alitaka iwe hivyo ili atumie loopholes hizo kwa Tanganyika kuimeza Zanzibar...luckily Karume senior alishtuka mapema. Lukuvi said it all katika ile famous video clip.
 
Mkajenge vyoo vya dharura haraka pale kwenye vyoo vya njia ya oldvai NCAA ni aibu wageni kupanga foleni kupeana zamu ya kujisaidia kwenye matatundu mawili na wengine hulazimika kujisaidia nje na watoto wao!

BARABARA ZA ZA SERENGETI NI KIMEO KWA SASA chacharikeni!
 
Ki ukweli Dr. Dau ilitakiwa apewe zaidi ya kishirika kidogo kama hiko.
 
Kila CEO na mazuri na mapungufu yake, Hata kwa Dau pia alikuwa na mapungufu ila zaidi siasa tu ndio ambazo huwa sinaweza kuchafua jina la mtu ila kiutendaji Dr. Dau bado ni the best katika Management na kutoa results.

Ni sawa na miamba kama Lawrence Mafuru, Nehemia Mchechu wote hawa ni vichwa hasa katika masuala ya Management.

Exoosure na Experience ndo vinafanya watu kama hawa na Dr Dau waendelee kuaminiwa katika kila awamu, tusichukie hebu tujifunze qualities zinazowafanya wawe hapo juu walipo.
 
Huyu si ndiye alikuwa mkurugenzi mkuu wa NSSF halafu alifanya ubadhirifu huko wa kufa mtu!!! au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…