Rais Samia amteua Jacob John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF)

inaonyesha ni mapendekezo ya mstaafu mabeyo kwa raisi ndio maana kupandishwa cheo na hapo hapo kuwa mkuu wa majeshi.

navofahamu jeshi kunarekodi zinazoweza kukubeba kutokana na ukaribu wa ngazi kubwa ndani ya jeshi
 
upande wa polisi uko sahihi yaani kuanzia RPC wanatumia neno KAMANDA..... Upande huu wote ni maafande
 
naunga mkono hoja yako kwa masilahi ya kujenga taifa imara na lenye uzalendo lazima pawepo na UWIANO sio tu kwenye nafasi moja moja bali ifanyike katika kila idara zote za Serikali.

Endapo tutafanya uwiano sawia ktk kila idara za Serikali basi Taifa letu litakuwa Imara kwa muda mrefu zaidi, sio sahihi kila miaka tunasikia watu wa dini fulani wanaishi wame kuwa marginalized wakati wanazo sifa zote za kitaaluma jambo hilo ni hatari kwa mustakbali wa Nchi yetu.

Awamu hii ya 6 imeliona hilo na sasa inalifanyia kazi hivyo ni vyema pia Idara zote za Serikali zikazingatia hilo kwa maslahi ya Nchi. Nchi imara lazima ijengwe na watanzania wote sio aina moja ya watu halafu wengine wakajiona hawana nafasi ya kulijenga taifa lao..hilo ni jambo hatari sana.

Nchi yetu itajengwa na watanzania wote kwa pamoja sio kundi au aina moja ya watu.
 
Kwahiyo watu wasiteuliwe kwa uwezo iwe kwa uwiano wa dini? shame on you
 
Sifa kuu ni kada wa CCM
 
Yuko vizuri kwa kweli anastaili.namjua sana kama ni kifaa mmepata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…