Rais Samia amteua Jacob John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF)

Kaka
Kaka paragraph ya mwisho umeandika kwa hisia sana
 
Kwa jinsi siasa zetu zilivyo jaa uchama, ubinafsi, Rushwa na matakataka mengine, Ki-intelligence Jeshi letu linaufahamu uwezo wa kijeshi wa nchi zinazotuzunguka? Maana this country kila kitu kinaongozwa na siasa.
Usingekua hapo ulipo na usingekua unafanya unachofanya kama jeshi JW lingekua kisiasa.Na yote hayo yangekua waz baada ya Rais kufia madarakani.

Acheni upotoshaji wa wajuaji mitandaoni ambao wkia hawana kaz za kufanya huamua kuzusha lolote wanalotaka.
It is well with JW ..it is well with TZ
 
Huyo jamaa alishaacha kuwa makini siku nyingi. Lt. Gen. waislamu waliwahi kuwepo wengi yeye anasema mmoja
Yaan wengi mnooo akina Imrani Kombe..Yan watu wanajitia ujuaji kwel yan
 
Rais hata akilipwa laki Tatu, hakuna wa kumzidi mshahara, huyo wa kupokea 40pm Katerina na rais. Rais anaweza safisha hazina akitaka.
Bado narudi pale pale. Kwamba rais ambae ni boss namba 1 nchi hii.. kwamba halipwi kuliko cdf?
 
huu umeandika utopolo tupu
 
Mtaani Wanaume ukipendeza tunatukanwa na Wanawake.Mh Rais Samia Suruhu Hassan awakanye.Wanaume wameheshimu utawala kwanini wanatutukana?
 
Hata mimi nimemjibu hapo, lakini naona hataki kuelewa. Yaani it was not even an attempted coup like the one in 1980s, just an army mutiny. A kiddo does not understand😂
 
Huyo wa logistics atakula hela ndio manunuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…