Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,920
- 8,675
Nonsense.
UJINGA ni tatizo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nonsense.
Hakuna mwenye military CV Tanzania. Mara ya mwisho tumekuwa na military project was 1979, kizazi cha viongozi wa kijeshi wa leo walikuwa chekechekea.Cv yake
Unahisi ni Rahisi kufanya hivyo au sio??Ningekuwa mimi ndio mabeyo saizi angali nipo Ikulu naitwa Rais na nisngetoka madarakani mpaka nife namaanisha mungu aingilie Kati.
Nimeambiwa kuwa kijeshi ni swala la kawaida,, Amiri jeshi mkuu anaweza kukupandisha vyeo kadri atakavyoona yeye ni sawa,,,,na CDF pia ana uwezo huo...Karushwa viwili
Jitahidi Uutibu ili usiendelee kuwa nao.UJINGA ni tatizo sana
Watu hawana masihara na ugali wao panda kwenye gari sit, nyingi ila utaishia kusimama kutoka mwanzo wa safari Hadi mwisho wa safari.Rais Samia Suluhu Hassan amempandisha cheo Meja Jenerali Jacob John Mkunda kuwa Jenerali, na amemteua kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF).
Kabla ya uteuzi huo alikuwa Mkuu wa Tawi la Operesheni na Mafunzo katika Makao Makuu ya Jeshi.
====
RAIS, Samia Suluhu Hassan amempandisha cheo Meja Jenerali Jacob John Mkunda kuwa Jenerali na amemteua kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (Chief of Defence Forces – CDF).
Kabla ya Uteuzi huo, Mkunda alikuwa Mkuu wa Tawi la Operesheni na Mafunzo katika Makao Makuu ya Jeshi (Chief of Operations and Training).
Rais Samia pia amempandisha Cheo Meja Jenerali Salum Haji Othman kuwa Luteni Jenerali na amemteua kuwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (Chief of Staff – C of S).
Kabla ya uteuzi huo Meja Jenerali Othman alikuwa Kamishna wa Utafiti na Maendeleo Jeshini (Commissioner for Research and Military Development) katika Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa.
Vile vile amemteua Luteni Jenerali Mathew Edward Mkingule kuwa Balozi ambapo kabla ya uteuzi huo alikuwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
Uapisho utafanyika tarehe 30/06/2022 saa saba mchana Ikulu, jijini Dar es Salaam.
View attachment 2276626
View attachment 2276683
Picha: Meja Jenerali Jacob John Mkunda
Tatzo lako unaendekeza ujinga mno, hata kama umeshaolewa bado unajiona msichana. AGE GO Mama Mwamtumu.Jitahidi Uutibu ili usiendelee kuwa nao.
Jiwe na mbuge wametoka mbali sanaa tangu mbuge akiwa pale ruvu.Kama Jiwe angelikuwa hai leo hii Mbuge angekuwa anaapa CDF
Hiyo error katika kutoa pasi na unapogundua umekosea unaurudisha mpira nyuma kidogo au unaendelea mbele.Niliposoma ulichoandika hapa nilikuwa bado sijaangalia jina.
Nashangaa kidogo, lakini nimeanza kuzoea tabia hizi za kiTanzania zinazobadilika kila mara. Hazitabiriki.
Sasa uliyoandika hapo, sijui kama utayakumbuka baada ya miaka miwili mitatu ijayo!
Ningekuwa na uwezo ningeyaweka kwenye paji la uso wako kama lebo, ili usithubutu kusahau ulichoandika hapa.
Na ili usinione mimi kama ninakuonea, hebu jikumbushe habari zako juu ya Lissu, miaka michache iliyopita.
Ha haa jina halionyeshi kwamba ni wa msikitini, otherwise ungesikia ya kupwa na kujaa hapa.Mmekuwa na nidhamu katika uteuzi huu. Sijaona maneno ya kejeli. Safi sana 🤣😂
Kama umri umekwenda bado miaka miwili kustaafu ni vyema apewe kijana angalau atumikie kwa miaka japo mitano.Kama Jiwe angelikuwa hai leo hii Mbuge angekuwa anaapa CDF
Dah,Hiyo error katika kutoa pasi na unapogundua umekosea unaurudisha mpira nyuma kidogo au unaendelea mbele.
Karata hazikuchangwa vizuri ndio maana haya hutokea.
Hata chanzo ulichoweka kinakataa kuita hilo tukio kama coup. Tofautisha coup na mutinyMutiny Nyerere asingekimbia Ikulu na wanajeshi wasingefukuza maofisa wao. Soma New York Times ya mwaka 1964. Kilishanuka ila bahati yake Nyerere alirudishwa madarakani na Waingereza
![]()
Tanganyika Leader Assails Mutiny and Asks for Calm (Published 1964)
Nyerere scores mutiny, radio s; urges pub remain calm, denies move to overthrow Govt; mutiny spreads as some Army unite force Brit officers to leavewww.nytimes.com
Napinga vikali jeshi kuwa na viwanda au kufanya biashara. Jeshi la Misri hapa Afrika ndio huwa linafanya hivyo, linasumbua sana serikali za kiraia. Jeshi la Pakistan nalo liko hivyo wasumbufu mno.ndiyo mambo yanavyokwendaga, ni kuishi vizuri na boss wako na kuchapa kazi !! hongera kwake ila tunataka jeshi ligeuke liwe chanjo cha technologia na ubunifu nchini - sina uhakika kama Jeshi lina kiwanda hata kimoja, au limeshiriki vipi kwenye sera ya viwanda ya Taifa.
Sina uhakika pia kama jeshi linazalisha zao la Kilimo lolote kubwa liwe la Chakula ama Biashara la kimkakati nchini - haya ni mambo ambayo jeshi linatakiwa kufanya wakati wa kipindi cha amani.
Hii staili ya kupandisha vyeo na kuteua alianza JPM ina maana ile safu ya juu haiamiki kwa Cha cheo Cha CDF.......??????